Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Uamuzi wa serikali ya Uganda kuza watu ada ya kufanyiwa kwa hiari vipimo vya Covid-19 huenda vikaathiri usafiri kurejelewa kwa shughuli za utalii na biashar kwa Hatua hiyo pia huenda ikawaathiri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bobi Wine anasema madai hayo ni jaribio lingine la kuhujumu upinzani Mahakama nchini Uganda imemtaka mwanasiasa wa upinzani Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine, kufika mbele yake kujibu tuhuma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwana mziki na mwana siasa nchini Uganda kijana Robert Kyagulanyi maarufu kama Bob Wine amesema kuwa ni lazima sasa Rais Museveni athibitishe uraia wake. Ameyasema hayo leo hii kwenye makao makuu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Redirect
Ugandan President Yoweri Museveni has declared Saturday a national day for prayer The country recorded its highest single-day infections of 308 last Saturday following a dramatic rise in recent...
0 Reactions
Replies
Views
President Yoweri Museveni has issued an advisory for Ugandans to stop traveling to neighboring Rwanda, in yet another twist in the ongoing diplomatic negotiations between the two countries...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Safinah Namukwaya hakutegemea kuwa angekaa miaka 47 bila kupata mtoto baada ya kuolewa. Wakati Safinah Namukwaya alipoolewa na Badru Walusimbi, mkaazi wa kijiji cha Nunda huko Lwabenge katika...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Miezi kadhaa kuelekea uchaguzi mkuu wa Uganda utakaofanyika mwaka 2021, kijana mwenye umri wa miaka 19 amejitokeza na kuchukua fomu ya kugombea ofisi hiyo ya juu nchini humo. Hillary Kaweesa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Marekani imewafutia viza waganda wanne kwa tuhuma za rushwa zilizoathiri watoto katika mradi wa kuasili watoto Msemaji Mkuu wa Marekani, Mike Pompeo amesema majaji wawili, Moses Mukiibi na Wilson...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watoto 10 wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi katika Mji wa Arua. Eneo hilo limekuwa na mvua kubwa ambazo zimeambatana na radi Imeelezwa watoto hao walikuwa wakicheza mpira na waliamua...
0 Reactions
3 Replies
997 Views
  • Redirect
Rais Yoweri Kaguta Museveni ametangaza muda mfupi uliopita kwamba kutokana na kufuatwa na mtu fulani aliyedai ameoneshwa na Mungu maono kwamba amwambie Museveni aandae siku ya maombi ya Kitaifa...
4 Reactions
Replies
Views
Joto la uchaguzi nchini Uganda limezidi kupanda baada ya vyama vya upinzani nchini humo kujiunga ili kutengeneza nguvu ya pamoja. Bob Wine ameibukia kuwa tishio kwa rais M7 bila uoga na vitisho...
16 Reactions
68 Replies
6K Views
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Dr. Kizza Besigye amewaambia wafuasi wake kwamba hatagombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2021. Alikuwa akizungumza katika ofisi za chama cha Forum for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chama cha The Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda kimejipata katika njia panda baada ya muasisi wa chama hicho na mgombea mara nne wa urais , Kizza Besigye, kukataa ombi la kupeperusha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Uganda imeamua kutumia wanajeshi kuzuia muingiliano na Watanzania mpakani, maana watu wanaotokea Tanzania kila wakipimwa wanakutwa na kirusi, kwa sasa hamna cha undugu tena mpakani. Kule Tanzania...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
Vyama viwili vya upinzani nchini Uganda vinazozana juu ya haki ya kutumia rangi nyekundu, kila chama kikidai kuwa ndicho kina haki ya kuitumia rangi hiyo kama utambulisho wake. Chama kikongwe cha...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwanaume wa miaka 33, mkazi wa Lira, Uganda anashikiliwa na polisi baada ya kuwaua ndnguze waliomtuhumu kuiba kuku na redio Mtu huyo alimkataka mjomba wake, Jackson Olong na alimshambulia mke wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kumbuka huyu rais wao anasema ako na miaka 76, isipokua wataalamu na wanahabari wa kwao wanasema ashapitisha miaka thamanini, karibu anaingia mia.
2 Reactions
7 Replies
22K Views
Binti wa miaka 16 nchini Uganda amekatwa mkono baada ya kukataa kuolewa,tukio hilo linadaiwa kutekelezwa na mwanaume ambaye amemkataa. Polisi nchini humo wanaendelea kuchunguza tukio hilo la...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rais wa Ugnda Yower Museveni amethibitisha kugomea tena kwa muhongo wa nne tangu aanze kuwa Rais wa Uganda. Kiongozi huyo aliyeanza kuwa Rais wa Uganda mwaka 1986 na kuwa Rais wa Nchi hiyo kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
President Yoweri Museveni has joined world leaders in mourning Tanzania’s third President Benjamin Mkapa who passed away this week. Museveni hailed Mkapa for his role in bringing unity in Uganda...
5 Reactions
0 Replies
917 Views
Back
Top Bottom