Naomba kujuzwa simu nzuri za kiswaswadu

Tafuta TECNO 402 au TECNO 375.
Napendekeza uchukue 402 kwa sababu kwenye USSD haina ule usumbufu wa kubonyeza # ili kuswitch kwenda kwenye namba.

375 ina kausumbufu fulani kwenye USSD mfano ukiingia menu ya MPESA kila ukibonyeza namba ukipiga ok, inaandika done, so inakulazimu ubonyeze tena ok ili ku-send. Inakuchelewesha.

Mimi ninazo zote za laini 3 TECNO 402 na TECNO 375, Bei zake ni 40,000. Uzuri wa hivi visimu ni vidogo sio makubwa sana.

Kwako Mundele Makusu
 
Tafuta TECNO 402 au TECNO 375.
Napendekeza uchukue 402 kwa sababu kwenye USSD haina ule usumbufu wa kubonyeza # ili kuswitch kwenda kwenye namba.

375 ina kausumbufu fulani kwenye USSD mfano ukiingia menu ya MPESA kila ukibonyeza namba ukipiga ok, inaandika done, so inakulazimu ubonyeze tena ok ili ku-send. Inakuchelewesha.

Mimi ninazo zote za laini 3 TECNO 402 na TECNO 375, Bei zake ni 40,000. Uzuri wa hivi visimu ni vidogo sio makubwa sana.

Kwako Mundele Makusu
Asante SANA mtaalamu huu ujumbe umenikosha Sana maana umenijibu vizuri na kunipa option nzuri ya kiswaswadu cha laini tatu
 
Asante SANA mtaalamu huu ujumbe umenikosha Sana maana umenijibu vizuri na kunipa option nzuri ya kiswaswadu cha laini tatu
Pamoja mkuu. Pia 375 ina ki-messaging chat kinaiwa letschat kinawaunganisha wajuba wote mnaotumia simu za aina hiyo na kuna magroup kabisa ya michezo, mapenzi, habari nk. Hata bibi unaweza kupata huko. sikipendi.
 
Back
Top Bottom