Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Unlimited internet ni ni internet unatumia bila kikomo, inapimwa kwa speed sio gb, speed yangu naweza kudownload file la GB 1 ndani ya dakika 6.
ipo sehemu, tupo huru kuitumia tutakavyoMtandao gani na unana nunuaje?
Hapo ni rahisi tu km ni maeneo ya nyumbani.ipo sehemu, tupo huru kuitumia tutakavyo
Wazo tayari naenda kupiga hela😂😂😂Hapo ni rahisi tu km ni maeneo ya nyumbani.
Waambie majirani unaunganisha internet kwa njia ya WIFI kwa mwezi ni 10k, 15k, au 20k
Weka bei ndogo au unaweza kuwaambia kwa wiki 5,000 kulingana na vipato vya watu kwahiyo utaamua.
Zingatia hasa vipato vya watu, unaweza kuweka buku masaa 5 si unlimited.
Zingatia bei ya mitandao ya simu ya dataWazo tayari naenda kupiga hela😂😂😂
Jumatatu nakamilisha mchakato na nafunga point to point mpaka sasa nimepata wateja 20Zingatia bei ya mitandao ya simu ya data
Sasa ukicheza vizuri kama Pele, unavuna hela. Kwasababu bando la 1GB ukiwa hata na device ya 3G na nimtumiaji wa data, halichukui hata masaa 2 limeisha.
- 1GB ni Tsh 2100 siku 7
- 1.4 GB ni Tsh 3000 siku 14
- 490mb ni Tsh 1000 siku 7
- 246mb ni Tsh 500 masaa 24
Hiyo ni kinyume na sheria kusbaza internet bila kibali maalumJumatatu nakamilisha mchakato na nafunga point to point mpaka sasa nimepata wateja 20
Njoo nikamate mkuuHiyo ni kinyume na sheria kusbaza internet bila kibali maalum
Internet ni ghali sana kwa sasa kwahiyo mtu akipata unafuu wa unternet lazima ajiunge na fursa.Jumatatu nakamilisha mchakato na nafunga point to point mpaka sasa nimepata wateja 20
Wala siyo kinyume na sheria kwasababu Kuna watu huwa wanachangishana pesa wananunua router kisha wanashea gharama za bando.Njoo nikamate mkuu