Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu salamu! Kama heading ilivyo, naomba msaada kwa anayejua. Rafiki yangu aliweka pattern kama lock ya simu (aina ya Oppo F1s) siku chache zilizopita, sasa akaniletea ili niweze kumsaidia...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
NB: Ukichangia Toa Sababu Strong usiende na Upepeo lengo ni kujua kwanini tunatumia Simu zetu na kipi cha kujifunza ambacho hukijui Android ni Program endeshi(OS) inayotumika kwenye Brand nyingi...
10 Reactions
75 Replies
4K Views
Looking for a technical SEO expert with experience. Awe na uwezo wa kutatua matatizo yote yanayohusu site SEO ikiwemo Speed as per Google page speed.
2 Reactions
14 Replies
2K Views
HABARI ZENU NNATAKA KUTUMIA AI KUTENGENEZA VIDEO NAOMBA KUJUA IPI NZURI KATI YA GROK AI AU DEEPSEEK AU KM KUNA NYINGINE YOYOTE NZURI ZAIDI YA HZO NAOMBA KUJUA
3 Reactions
2 Replies
827 Views
Kama unatumia iphone au Android leo nakupa tricks 3 za kutoa picha kali kwenye simu yako. kutoa picha kali sio uchawi ni Settings tu unafanya na kuifanya simu yako iweze kutoa picha kali...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
USITUMIE SOFTWARE YA WIZI (CRACKED): Hizi Ndio Hatari 4 Kuu Unazojitafutia Mwenyewe Imeandikwa na MalekoGJ Katika dunia ya sasa ya kidigitali, wengi wetu tumewahi kushawishika kupakua software ya...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Ipi ni sahihi..? Kuchaji simu mpya au power bank mpya kabla ya kuitumia AU kuitumia kwanza hadi 0% kisha kuchaji..? Maana Kuna wengine wanatushauri tuanze kwanza kuchaji kabla ya kutumia, wengine...
0 Reactions
3 Replies
277 Views
Teknolojia inazidi kushika kasi watumiaji wa window 11 na window 10 wamewekewa mfumo Rahisi wa kuweza kuingiliana kati ya simu na kompyuta na kuweza kutumika bila shida yoyote. Tunajua wengi...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Karibu Tantech ujipatie huduma mbalimbali kwa bei nafuu kama website,system,application design.,Digital marketing,social media boosting followers tiktok 1k=8000tzs instagram 1k=8000tzs likes...
0 Reactions
1 Replies
255 Views
Huawei imezindua mfumo wake binafsi wa kompyuta na imetoa laptop yake ya kwanza kutumia mfumo wa uendeshaji wa HarmonyOS, baada ya leseni yake ya kutumia Microsoft Windows kumalizika mwezi Machi...
0 Reactions
6 Replies
509 Views
Habari zenu wakuu, nina shida kidogo nahitaji ufumbuzi. Miezi miwili iliopita nilinunua gari toka Japan (2001 Land Cruiser Prado) na kwa sasa limeshafika na nimeanza kulitumia. Tatizo ni kwamba...
2 Reactions
30 Replies
11K Views
Top 10 Hacking Attacks Zilizotikisa Dunia (Kwa Historia, Impact, na Ujanja) --- 1. The Melissa Virus (1999) Iliundwa na David L. Smith Iliambukiza Microsoft Word docs kupitia email Ilienea...
2 Reactions
4 Replies
632 Views
Phishing Link ni Nini? Hivi ushawahi kuona zile link zinakuja WhatsApp zinasema: "Tazama nani anakupenda," "Bonyeza upate GB 50 za bure," au "Tazama nani anakuchukia kwenye group." Zile link...
5 Reactions
1 Replies
478 Views
USHAWAHI ZURURA KWENY SIMU UAKO UKAKUTA NENO "NFC" 🥲 AU WATUMIA 😂 INFINIX okay NFC NI KIFUPI CHA (Near Field Communication) NFC ni teknolojia ya wireless communication inayoruhusu...
2 Reactions
7 Replies
653 Views
Kwa Nini Huwezi Kumuhack Mtu Mwenye Simu Ndogo A.K.A kiswaswadu mfano Tecno T301, Itel i2180 etc. 1. Hazina Operating System ya wazi (kama Android/iOS) Hakuna OS yenye uwezo wa ku-run malware...
1 Reactions
2 Replies
529 Views
IFAHAMU eSIM | LAINI YA KIDIGITALI! Wengi huenda Mmesikia Mahali au wengine mmeona Neno “eSIM” na hamjaelewa nini Maana yake, Karibuni tuifahamu vyema Huduma ya eSIM na maana yake. 🔎 eSIM NI...
0 Reactions
1 Replies
624 Views
USHAWAHI ZURURA KWENY SIMU UAKO UKAKUTA NENO "NFC" 🥲 AU WATUMIA 😂 INFINIX okay NFC NI KIFUPI CHA (Near Field Communication) NFC ni teknolojia ya wireless communication inayoruhusu...
1 Reactions
0 Replies
276 Views
Project hiyo hapo Nachohitaj mtaalamu anidavulie Gharama na nini cha kufanya
1 Reactions
18 Replies
688 Views
A few weeks ago, I made a decision that could shape my future: I started learning front-end development. My focus right now is on HTML, CSS, and CMS platforms like WordPress. It’s exciting...
2 Reactions
6 Replies
675 Views
Habari na poleni na majukumu wanajukwaa, Hivi karibuni nimekuwa nikijihusisha na kutengeneza web applications zinazojumuisha maswala ya malipo. Kwa kipindi hicho chote, nilikuwa natumia APIs za...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…