Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kampuni zinapofanya modifications kwenye logo zao nakuzitumia, kunakuwaga na mawazo tofauti, lakini hili la vodacom litaleta mitizamo tofauti hasa kwa tusiosupport LGBTQ. Hii ni account ya X...
1 Reactions
46 Replies
2K Views
China imeanza uzalishaji kwa wingi wa chipu za kisasa za akili bandia (AI) zinazotumia mfumo usio wa jadi wa “non-binary” — yaani hazifanyi kazi kwa mfumo wa kawaida wa tarakimu mbili (binary) wa...
0 Reactions
3 Replies
439 Views
Habari zenu wadau, Naomba kujuzwa bei ya laptop na desktop bora na imara za kisasa na Kama kuna mtu anaweza kunielekeza utofauti na ubora wake nasikiliza.
7 Reactions
150 Replies
30K Views
Toleo jipya la ios 26 imekuja ikiwa na feature mbalimbali zenye kuipendezesha iphone lakini asilimia kubwa Feature nyingi zilizopo kwenye toleo jipya la iOs 26 zimetolewa kwenye android miaka 5...
1 Reactions
8 Replies
705 Views
Mnaojua simu kampuni ya Sonny zina weakness gani? Nahofia kuingia mkenge maana pesa zenyewe za kutafuta kwa tochi
0 Reactions
5 Replies
375 Views
Hisabati imenipa Fikra Tunduizi “Mathematics is the universal dialect; where words fail, equations speak.” Nikiwa kijana mdogo nilipenda sana Algebra, nilipenda Maumbo na sura zake, tangu...
3 Reactions
5 Replies
483 Views
Kama unatumia simu basi ni muhimu kuwa na program hizi 5, kama hauna basi your phone is useless 😌, wakati unafungua simu yako Toka kwenye box lake baada ya kununua kuna hisia fulani ya Furaha...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
64 GB ~59.5 GB 128 GB ~119 GB 500 GB ~465 GB 1 TB ~931 GB 2 TB ~1.81 TB 3 TB ~2.7 TB 8 GB ~7.4 GB
2 Reactions
6 Replies
534 Views
WhatsApp Inazindua Features mpya kwenye Advanced Chat Privacy — Hii Inabadilisha Kila Kitu! Wengi wetu tunazidi kuwa na wasiwasi… Je, jumbe zako za WhatsApp zinatumika kufundishia AI? Je, chats...
3 Reactions
6 Replies
742 Views
Habari. Nahitaji kutengenezewa vipeperushi na kuprinti vinavyohusu MATANGAZO ya SHULE. Namba ya watsup ni 0754004189.
0 Reactions
0 Replies
226 Views
Niaje wakuu Hii nimesikia mtu akikukuta unatumia iPhone anasema kuwa iPhone ni simu za wadada, au Tecno na Infinix "za wamama"! Kuna ukweli wowote katika hili? Cc: Samsung & Pixel Fans
7 Reactions
51 Replies
2K Views
Nikiwa Rais wa Tanzania kutatengenezwa electric motor ambazo zitakuwa zina-speed zaidi ya mwanga na zitakuwa zinatumiwa na rockets Ni ukweli kwamba technology ya sasa ya electric motor haiwezi...
5 Reactions
67 Replies
2K Views
Habari, Naitwa Jordan , naongoza mradi wa Trustika, platform mpya kabisa inayolenga kuleta mabadiliko makubwa katika biashara za mtandaoni barani Afrika, hasa Tanzania. Tatizo tuliloligundua...
1 Reactions
11 Replies
775 Views
Wakorea wanazidi kupamba moto kupitia Kampuni ya simu Samsung inataka kufanya game changer mwaka huu 2025, ambayo wanataka kuleta mapinduzi baada ya Huawei kuleta simu inayoweza kujikunja mara...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Usafi wa Laptop:(Usafi ni Uhai wa Laptop Yako ). Unajua laptop yako nayo inahitaji “kupumua”? Yaani kama huifanyii usafi mara kwa mara, inajaa mavumbi kama kabati la bibi,Leo ngoja nikusimulie...
3 Reactions
2 Replies
513 Views
Unahitaji programu gani ya kompyuta nikupe (Windows OS peke yake) Napatikana mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145 Kwa mahitaji ya kuweka Windows 10 OS Genuine gharama yake ni...
2 Reactions
66 Replies
3K Views
Habari zenu wadau,naombeni msaada kwa mwenye uelewa..natumia Simu ya Xiaomi Redmi note 3 pro ina IR blaster kwa ajili ya ku control vitu kama Tv,AC,fan n.k tatizo nlilonalo ni kuwa kwenye...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
nimechukua simu ya mkopo nmeshindwa kulipia nataka kuendelea kutumia msaada tafadhari
6 Reactions
22 Replies
12K Views
Smahani wadau, naomba kuuliza. Wapi naweza kupata bettery ya sim Aquos zero 6. Sim yangu imekufa bettery.
0 Reactions
2 Replies
358 Views
M.2 SSD ni Nini? Fahamu Chanzo cha Kasi Mpya kwenye Kompyuta za Kisasa Na Maleko GJ Ikiwa kuna kitu kimoja watumiaji wa kompyuta wanataka zaidi kila siku, ni kasi. Kasi ya kuwasha kompyuta...
4 Reactions
13 Replies
739 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…