Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu nimekuwa mtumiaji wa hii mifumo miwili inayobeba devices nyingi duniani kwa maana ya Ios na Android kwa muda mrefu sasa! Nilichokuja kugundua hawa jamaa wa ios walitumia akili nyingi sana...
5 Reactions
17 Replies
700 Views
Hapo katika dishi la c band hilo kubwa ni uelekeo wa Azerspsce degree 45 e hapo unapata Clouds tv, Star tv, Channel ten, tv E, Mwangaza na Wasafi tv bila malipo kwa mwezi. Hilo dishi la kushoto...
9 Reactions
367 Replies
69K Views
Kuna mambo kadhaa katika activities za WhatsApp yanayoweza kufuatiliwa (tracked) hata kama kuna usimbaji fiche wa mwisho-hadi-mwisho (end-to-end encryption), hasa kupitia ukusanyaji wa data-mama...
4 Reactions
6 Replies
658 Views
Kuna mjadala unaendelea kuhusu nani ni Baba wa Fizikia ya Sasa au ya Leo "Father of Modern Physics" Wengine wanasema Baba (Muasisi) wa Physics ya leo ni Galileo kutokana na kuitoa Dunia kwenye...
4 Reactions
6 Replies
374 Views
Ni VPN gani naweza tumia kwenye desktop computer?
6 Reactions
40 Replies
1K Views
Hapo mwanzo, iPhone zilikua na bei ya kawaida tu. Ila sahivi.
0 Reactions
1 Replies
264 Views
Kwenu wanajamvi. Naombeni msaada wa app ya mpira uefa nzuri. Nilizo nazo zinazingua.
0 Reactions
11 Replies
587 Views
Ivii Umewai kujiuliza Internet Shutdown Inavyofanya Kazi Yaani kujiuliza Kwanini ghafla unakuta WhatsApp, Insta au net nzima Imekata Internet Shutdowns ni moja ya silaha ya serikali nyingi za...
2 Reactions
6 Replies
465 Views
Wataalam hii inatatulika vipi Wakuu, nilikua Dubai last week kikazi nikakutana na hii simu nikainunua ambayo ni oppo reno 12 Kipengele inagoma kujisajili whatssap inaniambia "you need official...
7 Reactions
13 Replies
594 Views
Tunauza Generator Spare parts kwa upande wa Engine, Ac alternator(Kinu) and Automation( Automatic Mode). Kuna plc za Deepsea zpo mpya na Used(Refurb). Model 7320 MKI, 7320MKII, 7420MKII...
0 Reactions
0 Replies
194 Views
Sikiliza kionjo tu cha dakika moja kisha toa maoni.
0 Reactions
17 Replies
950 Views
Katika ulimwengu wa sasa wa kidijitali, huduma za kifedha kupitia simu za mkononi zimekuwa mkombozi mkubwa kwa watu wengi. Applikesheni kama M-Pesa zimeleta urahisi wa kufanya miamala, kulipia...
13 Reactions
99 Replies
5K Views
Kuna hii platform ya kimtandao inayojihusisha na kutoa huduma za kifedha inaitwa SELCOM HUDUMA. Hawana huduma kwa wateja nzuri, kubwa lililonileta kwenu miamala imekwama kwa muda wa wiki moja...
6 Reactions
17 Replies
18K Views
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake. Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo. Ukiwachukulia poa utasema ni garbage...
17 Reactions
71 Replies
5K Views
🔥 Je, SSD Yako Ina Afya Nzuri? Hivi Ndio Namba Zinavyosema Wengi hudhani SSD (Solid State Drive) ikishafanya kazi basi haina matatizo—lakini ukweli ni kwamba, kila SSD ina maisha yake. Kila namba...
1 Reactions
8 Replies
943 Views
Je, umewahi kujiuliza programu zinazotumika kwenye simu yako au kompyuta zinafanyaje kazi? Au unatamani kuunda programu zako mwenyewe? Basi kujifunza programu kwa kutumia Java ni njia nzuri ya...
4 Reactions
69 Replies
4K Views
Xiaomi wamekua wakitoa models za Xiaomi (zamani Mi) flagship tokea 2011 walivyotoa Mi 1 hadi 2021 wakaona waziite tu Xiaomi 12 na kuachana Mi. Sasa mwaka jana walitoa Xiaomi 15 ikiwa na simu nne...
14 Reactions
95 Replies
4K Views
Wakuu habari? Nataka kupendezesha kasebule kangu, nakosa mdundo mzuri tu sebuleni. Wadau wanashauri ninunue Sound Bar za JBL. Nimefanya ununuzi wa madirishani kwenye baadhi ya maduka yanazouza...
18 Reactions
71 Replies
10K Views
Kampuni ya kutengeneza 'Videogame' ya Electronic Arts (EA), ikiwemo EA Sports, imeuzwa kwa thamani ya dola za Marekani bilioni 55 na kugeuzwa kuwa kampuni ya binafsi. Wanunuzi hao ni pamoja na...
2 Reactions
2 Replies
322 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…