Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

What is TX RX? tx rx is type of connection which will help to you to connect your phone with pc for software operation. its just a type of connection name. what is cpu? Central...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu natafuta Huawei smartphone QWETZ key yeyote anayefahamu inakouzwa anielekeze na iwe na mfumo wa GSM na sio CDMA
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu kuna hii site www.giveawayoftheday.com inayotoa free software moja kila siku, mi niliijua kupitia hapa jf. Nashauri hii post iwe maalum (special thread) kama ile ya arsenal/chelsea etc. Tuwe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimepata sms kutoka Tigo wakinitaka ninunue kifurushi cha wiki kwa shilingi 4500, lakini sijui wanatoa bundle ya MB ngapi, pia kwa anaefahamu vizuri tarrif za internet ya tigo na MB wanazotoa...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
new iPad 2 as being lunch today for 2011 Apple chairman Steve Jobs waves to his audience after he unveiled the iPad2 Apple boss Steve Jobs has returned from indefinite...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
zile rumors za kuhusu ni lini iPad 2 inatoka sasa nadhani zinaenda kuwa za kweli. Wameshatoa baadhi ya picha za iPad 2 na muda si mrefu itakuwa ipo sokoni tayari...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwanza napenda kushukulu kwa watu kuni omba niludi kwenye jf nilikasilishwa na majungu ambayo si ya msingi. 0712484995 step za kufanya si kila dish kama lina shika ila kama una lnb kubwa ambayo...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
greetins wakuu.... tafadhali naomba msaada kwa yoyote anaeweza nsaidia IDM yenye key.....
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna bosi hapa sasa kazidi, kwani ana tabia ya kufunga simu ya mezani (ttcl land line) kisa eti tusipige. Naye utumia pin kufungulia . Je kuna mtu mwenye master key ili atusaidie ?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Site Profile Estimated Value: $102,120.06 USD Estimated Revenue: $138.97 USD per day $4,169.24 USD per month $50,725.74 USD per year Estimated Pageviews: 61,375 per day 1,841,255 per...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nasikia AC za split unit ni energy saver kuliko ile aina nyingine ya split unit. Wengine wanasema Window type ni durable kuliko split units. Je zinaweza kulinganishwaje in terms of power...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Dutch Students Create World’s Largest Multi-Touch Screen Dutch Students Create World’s Largest Multi-Touch Screen Students at the University of Groningen created an enormous Multi-Touch...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakubwa nataka kutumia laptop isiyo na option ya fire wire pin kwa ajili ya ku-capture video direct kutoka kwenye video camera to Laptop . Je naweza kufanyaje kwa sababu hakuna (nadhani)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada kwa yoyote anayejua na ambaye ameshawahi ku-upgrade LG GW 305/300 au aina yoyote ya LG mobile inakuwa ni vipi caz nmejaribu ila mara nyingi inakataa. Kama unajua please nisaidie.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
wakuu baada ya kukomaa kwa mda nimefanikiwa kuiponya dv9000 lile tatizo la kuwaka blue light now ipo safi inafanya kazi kama kawa nimeona nirejeshe feedback kama nilivyoahidi hapa jamvini
0 Reactions
3 Replies
1K Views
HI
Jamani naomba msaada wenu na modem yangu ya huawei ec189 nataka ni frash niweke line yeyote inawezekana naomba jibu.:a s 13:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Java EE 7 work focusing on the cloud Work on the next enterprise edition of Java is proceeding at Oracle, with the company...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Likitokea kosa kwenye diesel Engine Machine Kimakosa ukaweka Petrol ina maana hiyo machine itakuwa imekufa ama kuna namna unaweza rekebisha? I stupidly put petrol in my 10 KVA silent Diesel...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jamani sijawahi kusikia kufanyika kwa confrernce yoyte, naombeni mniambie kama kuna yoyote inayofanyika hivi karibuni:decision:.
0 Reactions
6 Replies
960 Views
Jana nimepokea mesage hii ambayo ilinishangaza sana, "Your Vodacom Buddy transaction REF:XXXXXXXXXXXXXX has been completed" Cha ajabu zaidi, nilipoangalia salio nikakuta 79,000/= kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…