Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari za kazi wadau?naomba kwa mwenye keys za window 7 ultimate anisaidie,nimejaribu kutumia loaders lakini zimegoma kua activate!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hellow wanajamii wenzangu wataalamu!! Tatizo langu ni Umeme wa tanesco kuwa mdogo, nadhani ni eneo zima ninaloishi so hii inanipashida sana kwa vifaa vyangu vya umeme. Nina flat tv 32 inch...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Kutokana na usumbufu nliokuwa naupata wa kuungaunga downloads,nikaamua kufanyia ka research hii kitu ya kukosa 3g signals ukienda mbali na mjini tu. Najua inawakera wengi but before we go...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Could be useful for beginners in Tech.... Product Specifications: Takes the ordinary keyboard and gives you three different ways to use it, making it great for one or two finger typists Press...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, niliona software flani sehem, sadly i lost the link! software hiyo inawezesha kumpigia mtu bure (gharama kidogo ya data) kupitia simu yako ya mkononi. Mwenye ujuzi na hi kitu anifahamishe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kesho twategemea kuoneshwa icloud services tetesi zinasema yaenda sambamba na itunes na twaweza kupakia vitu hewani kama apps na muziki bila kuchomeka na USb. Hiyo itakuwa kivution, halafu nazani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
No offence ndugu,nimejiunga juzijuzi tu hapa ili na mimi nimwage sumu zangu kama ifuatavyo...wengi mnaijua hii njia na wengi hamuijui. Mahitaji: 1.Mozilla firefox browser Firefox web...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Natumia Nokia 2700 classic, nimejaribu kupiga huduma kwa mteja hawajapokea . Naomba msaada wenu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika vitu ambavyo vimeshika vichwa vya habari za TEHAMA wiki hii ni pamoja na kuzinduliwa kwa iCloud -- huduma ya cloud computing kutoka Apple. Najaribu kufikiri ni kwa namna gani nchi zetu za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
haya soon we will b having solar laptops!!!!hahahah,, imagine world free from tanesco kero for users watakaotumia this kind of laptop The worlds of computers and the environment usually do not...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu, nimepata software ya kurekodi maongezi yote ninayofanya na marafiki zangu automatically ila ni 14 dayz trial,naomba kama kuna mtu ana activation...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Umekuwa ukihangaika na baadhi ya torrents kuwa slow kutokana na idadi ya seeders na leechers? tumia website hii kusearch for full downloads of stuffs: www.filecrop.com uncheck rapidshare...
1 Reactions
1 Replies
974 Views
Habari ndugu wana JF.. Ninafanya project kwa kutumia C sharp.. Nilikua nafungua hiyo Visual studio na nikapata error message kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu.. Nilishindwa kufungua project...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiswahili speakers can now use Microsoft windows 7 in their language thanks to Windows 7 Kiswahili interface pack launched this week in Dar es Salaam.The Windows 7 users may switch anytime to any...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Scientist at CERN have managed to trap anti hydrogen particles for little less than 16 min ,long enough to enable scientist to study its properties (emission spectrum /CPT for instance).such study...
0 Reactions
1 Replies
860 Views
Hey najua wengi mpo bize na siasa za Mbowe...!! Nisaidieni hapa: Nina dual boot(XP na MINT-JULIA) sasa hard disk moja nikilog kwenye windows haionekani,wakati nyingine zote zinaonekana na zote ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Microsoft kupitia msimamizi wake wa kitengo cha Windows, leo mchana wamezindua rasmi (at least kwa kuiongelea kidogo) OS yake mpya kabisa ya WINDOWS 8. Officially WINDOWS EI8GHT itaachiliwa...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
  • Closed
Nimekuwa nikiufuatilia sana ule uzi wiki yote, but nimeutafuta leo siuoni, what happened?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau naombeni kama kuna mtu anayo software ya MTUHA anisaidie. Ni Database inayotumiwa na secta ya Afya sana sana.
0 Reactions
2 Replies
7K Views
wakuu nahitaji cartridge ya Canon Fax-L900.nimetafuta Ms na AR sijapata.PM me please for price and wapi na weza pata.Thanks in advance
0 Reactions
2 Replies
970 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…