Somo la thread linajieleza,natafuta laptop computer zenye uwezo wa kati hasa zile nyembamba zenye screen pana,je ni maduka gani yako reputable kwenye uuzaji wa laptop nzuri,pia na hata bei ziwe...
Tuki entertain upuuzi kama huu, tutaua hata hiki kidogo tulichonacho kwenye tech.....
Sijajua kwanini watu wamekua kimya kwenye hiki kitu, lakini ni moja kati ya policy ya kipuuzi kuwahi...
Wenzetu wanazidi kusonga mbele.Usalama wa dubai swala la wizi unaweza kuwa umezibitiwa sana.
Sasa wamekuja na ATM ROBOT ambayo itajileta yenyewe na kutoa pesa.
๐ Kibongo itakuwaje ikaitwa...
Nilianza muda si mrefu LAKINI bado nakumbana na kero ya maswali ya WATU , watu wanakuja dm wanaanza kama wateja Kisha ubadili agenda zao na kuanza kuuliza maswali hapa KWENYE attachment ,
Swali...
Tofauti Kati ya GTX na RTX
Kama wewe ni mpenzi wa teknolojia, gamer, au unatafuta laptop yenye uwezo mkubwa, huenda umewahi kuona maneno GTX na RTX kwenye maelezo ya kompyuta.
Lakini, je, unajua...
Kampuni ya Jolla imetambulisha simu mpya yenye kutumia Mfumo wa linux inayofadhiliwa na jamii oda ya awali ni Euro โฌ499 mpaka kufikia Euro โฌ599.
Jolla ni kampuni ya Teknolojia inajulikana zaidi...
Kama umeshawahi kutumia simu ya iphone ukifungua apps nyingi wakati unatumia simu yako, ukizitaka kuzifunga kwa pamoja haiwezekani kabisa ? Unajua kwanini ๐.
Mtumiaji wa simu ya iphone hawezi...
Wakuu kutokana na kua na simu zisizokuwa bora kwa upande wa kamera. Sasa nimepata wazo la kununua kamera ndogo ya nje. Na katika pitapita zangu nimekutana na moja wapo hio apo chini. Je wakuu...
๐๐๐ฆ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ข ๐ฒ๐ ๐ค๐ข๐๐ก๐ข๐ง๐ ๐๐ข๐ง๐ฐ๐ ๐๐๐๐ก๐ง๐จ๐ฅ๐จ๐ ๐ข๐๐ฌ ๐ข๐ฆ๐๐๐ง๐ณ๐ ๐ฆ๐๐๐ง๐๐๐ฅ๐ข๐ณ๐ข ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐ข๐ซ๐ฎ๐๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ฌ๐จ๐ค๐จ๐ง๐ข ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐ ๐๐ฅ๐๐๐ค ๐๐๐ซ๐ซ๐ฒ ๐๐ฅ๐๐ฌ๐ฌ๐ข๐ kwa jina jingine inaitwa Q20 ikiwa na mabadiliko kadhaa kwa ndani yenye kuvutia...
Katika maisha yangu simu ya kwanza kununua ni Siemens kidole mwaka 2007 mkononi. Sikuwa na matumizi sana wala maana yeyote kwangu.
Miaka kabla ya android kuwa maarufu na kuenea TZ ulikuwa...
Je Imewai kukutokea ?
โSimu yako imeibwa. Dakika tano baadaye, benki yako imetuma ujumbe: 'Shukrani kwa kufanya malipo ya milioni 2 kwa Bitcoin wallet isiyojulikana.' Ulifikiri hauwezi kulizwa...
Infinix NOTE 30 na Samsung A24 ni miongoni mwa simu janja ambazo zimeachiliwa Mwaka huu na kuuzika katika mataifa mbalimbali. Simu hizi zinatofautiana bei na baadhi ya sifa hivyo basi leo...
Sijawahi kuwa na uhuru wa kutumia internet kama sasa baada ya kununua unlimited internet, Sina hofu ya kumaliza MB, sina haja ya kupunguza ubora wa video, siogopi video calls, sizikwepi post zeny...
Habari wakuu nina sony 10iii ilianza kuonyesha arama kam kotone ka wino kwenye kioo kadri nilivozidi kutumia na yenyewe ikawa inazidi kujaa wino kwenye kioo saa hizi hata siwezi kutumia tena na...
Hizi kampuni tatu simu zao nyingi ni mafamba! Hivi majuzi nilikua Dubai kwa mambo fulani hivi kwenye pita pita nikakutana na hizi simu nikanunua kampuni mojawapo
Nyingi zinawekwa Specification za...
Japanese company Science Inc. has officially released the โMirai Human Washing Machine,โ a high-tech spa pod first shown at the Osaka World Expo earlier this year.
The pod works like a fully...
Tofauti Kati ya Laptop Refurbished na Laptop Feki (2025)
Imeandikwa na
MALEKOGJ
Mawasiliano kwa maelezo zaidi au ununuzi salama: +255 675031229
Katika soko la sasa la teknolojia nchini...