Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nimeifuta watu wanaweza kui abuse, nashukuru hata walioiona ni wachache
2 Reactions
4 Replies
668 Views
Habari, Tatizo la bili kubwa ya umeme kwa wateja limekuwa likiwasumbua sana. Zipo sababu za matatizo ya kiufundi, lakini pia kuna sababu ambazo si za matatizo ya kiufundi. Tunapokagua nyumba na...
40 Reactions
89 Replies
20K Views
Kampuni kubwa ya kuzuia Virusi ya Kaspersky Labs ambayo makao makuu yake yapo Nchini Urusi inajiandaa kuondoka Marekani baada ya utawala wa Rais Joe Biden kupiga marufuku uuzaji na usambazaji wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MBPS = Mega Bytes Per Second Mbps = Mega Bits Pee second Byte 1 ni sawa na Bits 8. Ukiuziwa internet unlimited unaambiwa ina speed ya 10Mbps haimaanishi MB 10 kwa sekunde, maana yake inaweza ku...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wadau Ofisi yetu umeme unaenda unit 40 kwa siku. Tunaomba msaada wa mtaalamu aweze kutusaidia Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
36 Replies
8K Views
Wataalam. Ninatumia hii router ya Airtel 5G, sasa kwa hapa nyumbani nikirun test inanipa hizi download na upload speed: Je, ni speed nzuri? Nimelipia ile ya Elfu 70. Nikirun speed uwa inakuja...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
inahitajika housing ya hii laptop. Mwenye nayo ajitokeze
2 Reactions
2 Replies
342 Views
Ni ajabu sana nina simu ya 5G na laini zote Tigo na Voda nazotumia mtandao unaishia LTE tu na simu ina hadi 5G!! Na laini zote ni za current, kimara,mbezi nyumbani kwangu Goba inaniambia eneo...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
===== UPDATED: July 2021 This wikiHow teaches you how to download YouTube videos to your computer, phone, or tablet. Keep in mind that while downloading most YouTube videos isn't illegal, it...
1 Reactions
2K Replies
669K Views
Habari... Naomba namna ya kutengeneza picha kama hizi. Zenye hizo caption. Kwa simu au computer
2 Reactions
2 Replies
582 Views
Moja kwa moja kwenye point. Wajuzi watujuze ni kwa vipi Google inazo barabara na vinjia hata vya vijijini swekeni kabisa. Na mara nyingine wameweka hadi majina ya mitaa.
11 Reactions
84 Replies
5K Views
Jamani kama kuna aliyewahi kufanya manunuzi ali express naomba experience jinsi wanavyo fanya kaz
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari waungwana! Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Nahitaji kutumia huduma ya E-sim ambayo siku hizi makampuni yetu ya huduma za mawasiliano yameileta nchini. Je, kwa simu aina...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Baada ya Airtel Tanzania kuwa wa kwanza Tanzania kuja na hii huduma ya kisasa ya e-SIM, leo Vodacom Tanzania nao wamezindua rasmi hii huduma. Kuna tofauti gani kati ya eSIM na SIM kadi halisi...
14 Reactions
43 Replies
9K Views
Habar zenu wadau, Ndgu yangu kaibiwa sim aina ya infinix, alikuw kwny daladala wahuni wakapita nayo. Alivoshuka kwny kituo chake kajikuta hana simu, Akaazima simu kuipiga namba yake,jamaa...
6 Reactions
58 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijaribu Mara kadhaa kujiunga na Alibaba lakini kila Mara naambiwa hivi.
1 Reactions
6 Replies
501 Views
Nahitaji kujua namna ya kuiweka simu yangu iwe na uwezo wa kusoma sms za mtu mwngne hata tukiwa mikoa tofauti,je nifanyaje au nitumie mfumo upi man mambo yangu hayaendi sawa please!
1 Reactions
13 Replies
8K Views
Katika programu nzuri na tamu katika ukokotoaji, uchambuzi, uwasilishaji wa data zilizopo katika namba na kupanga mambo mbalimbali ya kihesabu tunajua Excel Ina fanya yote hayo, Excel imekua...
5 Reactions
144 Replies
11K Views
Napendelea hasa yenye Bluetooth, radio, na ports za kuchomeka flash etc
3 Reactions
44 Replies
45K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…