Naombeni mwenye uelewa na hili anijuze, ni namna gani naweza weka link ya folder kwenye html, ili mtu akibofya hiyo link then ifunguke na kudownload files za pdf zilizopo ndani ya hiyo folder...
wadau salaam, nina simu hapa ni Huawei Y300 imepatwa na hilo tukio la kujiwasha data hata pale ninapoi disable. Naombeni suluhisho kwani chaji imekua ni tatizo sasa.
Asanteni
Wana Jamvi kwa wale wapendao sinema nimeona bora ni-share hii App na nyinyi ili mpate kuburudika "Popcorn-time" ni app ambayo unaweza kuona movie zote za Hollwood na za Kihndi na nyenginezo bure...
Yap...kama kichwa kinavyo jieleza kuna mobile games meng sana lakn toka nicheze movie mobile games bado sijaona game zuri kama vampire romance liko tofauti sana na mengne uliocheza ww jaribu...
Me kabla cjaanza kutumia tecno p3,nilikuwa nnatumia samsung c5212 nilikuwa nnadownload movie nyingi tu,lakini hii tecno kila nikitaka kudownload naambiwa niweke download manager nikijaribu...
Amani kwenu wa jamii.
Naomba kuelekezwa nitumie program ipi inayoweza kudownload move katika simu za smartphone itakayoonyesha zaidi ya nusu saa. nitashukuru kama nitaelekezwa,
Maana nyingi...
Habari zenu wakuu? mimi ni mwanaJF mkongwe japo kwa muda mrefu kidogo nilikuwa busy kidogo na kitabu, now I'm back. nafurahi kuona JF imekuwa improved kuanzia kwenye templates, page zinaload...
Huwa naamnini hapa tuna watalaam siyo wa Kawaida kwenye mambo ya IT.
Nimedownload Total Video Converter sasa wanataka ninunue ili kuitumia namimi sina pesa.
Tafadhali msaada mwenye ujuuzi ili...
Habarini Wadau,
Ni laptop mpya, na hii line nikiiweka kwenye simu natumia internet vizuri tu ila nahitaji kujuzwa namna ya kuconnect kwenye laptop kupitia Modem.
Hapa kwenye configuration ya...
Kuna situation huwa zinatupata tunahitaji kutumia wifi kwenye simu na laptop zetu ila tunakuwa katika eneo lisilo na wifi, leo tunajifunza jinsi ya kujitengenezea wifi hotspot zetu binafsi kwa...