Asee Comoro ya sasa siyo ile ya kujipigia kama zamani,nimefatilia kikosi chao vijana wengi wanacheza nje Ufaransa, Ubelgiji n.k
Sina hakika kama Tanzania tukicheza nao watatuacha salama...
Naangalia mpira hapa wa Equatorial Guinea vs tanzania naona kabisa hawa Equatorial Wana jambo lao mana sio kwaukosaji huu wa magoli
Watanzania tunahitaji dua zenu tupate angalau draw.
[emoji1428][emoji1428]Kuna wakati unaweza kufikiri kuwa unapofanikiwa kimaisha basi unafanikiwa pia kuwa na busara na hekima.
[emoji3499]Unadhani kabisa busara na hekima hizo, ni sawasawa na...
Al Ahly walijifanya vidume. Tulipowaambia tuwazungushe zungushe waijue mitaa wakajidai walishacheza hii game kwao Misri. Matokeo yake ndo hayo
El Merreikh hawa wamekuwa watiifu wakati...
Itakua jambo la furaha kuona club zetu pendwa za mpira wa miguu zikipatikana kwenye games kama fifa, Pes na magame mengine!
Hizo picha nimezitoa kwenye ukurasa wa habari tu za kimichezo africa zone !
MCHANGANUOA WA MIKATABA YA SPORTPESA NA VILABU VYA SIMBA SC NA YANGA SC
YANGA
Mkataba wa jumla wa Yanga SC na Sportpesa ni shilingi 5,229, 349,688.
Mkataba huu una ongezeko la asilimia 5%...
Poleni kwa msiba,
Aliyekuwa kocha wa Simba SC, Sven Vandebrock ameishtaki klabu ya simba fifa kwakuwa klabu hiyo imeshindwa kumlipa kiasi cha Tshs 101 milioni kama hela za mishahara na posho...
Klabu ya al hilal ya sudan imeruhusiwa kuingiza mashabiki 1000 uwanjani.
As Vita imeruhusiwa kuingiza mashabiki 3000 uwanjani. Rais wa As vita athibitisha.
Hii imekaaje wadau au ndio figisu za soka?
Kwanza kabisa nianze kuwapongeza kwa mwendelezo wa matokeo mazuri katika michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika hatua ya makundi na mapaka sasa mpo kileleni na jumla ya alama 10.
Sisi wadau kwa...
Njia pekee ya kumuenzi kwa mema yake na uchapakaji kazi ni ninyi Kuleta Kombe la CAF hapa Tanzania. Hili ndilo Deni mlilo nalo kwa Marehemu JPM aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Moja kwa moja kwenye mada, Clouds fm ni kituo cha redio chenye watangazaji (wachambuzi/watoa maoni) wengi zaidi katika kipjndi cha michezo japo hawakutani wote kwa pamoja.
1. Shaffi Dauda
2. Alex...
Katika kizazi hiki Msanii bora wa kutunga nyimbo za maombolezo zener hisia ni Msechu peke yake Tunzi bora na sauti safi hawa wengine wanatupigia kelele
SIMBA huenda ikapata ushindi wa mezani dhidi ya Al Merrikh kutokana na timu hiyo ya Sudan kudaiwa kuwatumia wachezaji wawili ambao hawakupaswa kucheza katika mchezo baina yao uliochezwa jijini...
Sasa si ajabu tena kuona mchezaji kutoka klabu ya Tanzania anaingia katika kinyang'anyiro cha tuzo ya mchezaji bora Afrika. Piga kura yako kupitia link hapa chini ili kumpa nguvu kijana kutoka...
Kunako michuano ya Uefa Champion Lague iliyofikia hatua ya mtoano (16 bora) baada ya draw kupangwa walijitokeza watu kutoa maoni yao juu ya timu zitakazo fuzu kwenda hatua ya robo fainal lakini...
Muda mfupi kabla ya mpira kuanza, ripoti ya Corona imeonesha wachezaji nane wa Al MERRIKH ya Sudan wana maambukizi ya virusi vya Corona.
Kupitia ukurasa rasmi wa Istagram wa Al Merrikh umeripoti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.