Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Al Ahly walijifanya vidume. Tulipowaambia tuwazungushe zungushe waijue mitaa wakajidai walishacheza hii game kwao Misri. Matokeo yake ndo hayo
El Merreikh hawa wamekuwa watiifu wakati tukiwazungusha mitaa mbalimbali waifahamu Tanzania. Na Wakulungwa wamewahikikishia ushindi upo. Na zaidi zaidi kuwa wakikosa sana ni pont moja. Ila wamepewa maelezo wakifuata maelezo hata points tano katika match moja wanaweza pata. Ndio ujue mjini hapa.
Kila la kheri. Hawa Simba wametuita sisi Mbwa, wametuita sisi Nyani wametuita majina mabaya ya kutudhalilisha sana. Basi nasi tunalipiza kisasi. Hii game lazima alie mtu vibaya sana. Wale mashabiki kindakindaki mkaangalizie game karibu na Hosp. Maana wengi mtaanguka na kupata mshtuko wa moyo, ini, figo na mapafu. Simba mnalala na viatu.
El Merreikh hawa wamekuwa watiifu wakati tukiwazungusha mitaa mbalimbali waifahamu Tanzania. Na Wakulungwa wamewahikikishia ushindi upo. Na zaidi zaidi kuwa wakikosa sana ni pont moja. Ila wamepewa maelezo wakifuata maelezo hata points tano katika match moja wanaweza pata. Ndio ujue mjini hapa.
Kila la kheri. Hawa Simba wametuita sisi Mbwa, wametuita sisi Nyani wametuita majina mabaya ya kutudhalilisha sana. Basi nasi tunalipiza kisasi. Hii game lazima alie mtu vibaya sana. Wale mashabiki kindakindaki mkaangalizie game karibu na Hosp. Maana wengi mtaanguka na kupata mshtuko wa moyo, ini, figo na mapafu. Simba mnalala na viatu.