Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Daraja hili limekula karibu milioni 245 za Kitanzania. Kwa mtindo huu, acha tu wazungu watutawale sisi hatuwezi. Urefu wake mita 45 tu jamani.
1 Reactions
2 Replies
201 Views
Polisi nchini Rwanda, imejibu malalamiko ya wananchi wa Rwanda, waliohoji inasaidia nini jamii, wimbi la mauaji linaloongezeka kwa kasi kati ya wanandoa. Kwa kujibu,Polisi imesema si rahisi,kwa...
0 Reactions
1 Replies
202 Views
South Africa imetangaza kuwa, kundi la kwanza la wanajeshi hao, waliokuwa DRC kwa jukumu la kupambana na M23, litawasili nchini humo tarehe 13 Juni, 2025. Wanajeshi hao pamoja na silaha zao...
0 Reactions
1 Replies
165 Views
Hakuna kitu kinachouma, kama kumuona mzazi ambae hajasoma, akijipigapiga na kujimaliza, mpaka anauza chochote alicho nacho, kusomesha watoto mpaka watano au zaidi, hadi chuo kikuu. Na baada ya...
0 Reactions
1 Replies
187 Views
Tangazo lililotufikia, ni kwamba chanzo ni Rwanda kuchelewa kutumia ardhi iliyopewa. Rwanda ilipewa heka 11, na makubaliano yalikuwa kwamba ifikapo Desemba 8, 2024 bila Rwanda kuanza kutumia...
0 Reactions
1 Replies
217 Views
One of the saddest photos ever taken Pratik Joshi had been living in London for six years. A software professional, he’d long dreamed of building a life abroad for his wife and three young...
0 Reactions
1 Replies
221 Views
Awali, nguo za mtumba, zilikuwa zikitozwa 35% ya manunuzi. Ikumbukwe, bei ilikuwa makadilio kwa nguo mpya wala si za mtumba, na sasa ushuru utakuwa Dola za kimarekani 2.5 kwa kilo ya nguo hizo...
0 Reactions
1 Replies
269 Views
https://www.facebook.com/share/v/16ayaaBEph/
0 Reactions
0 Replies
147 Views
Dr. Rusa, mchambuzi wa kisiasa nchini Rwanda, alipoulizwa maoni yake kuhusu maeneo ya Uganda na DRC kuwa maeneo ya Rwanda, miaka ya 1880 kabla ya kukatwa kwa mipaka ya sasa, mwaka 1885; alisema...
1 Reactions
2 Replies
279 Views
Mwanamke halisi hujulikana katika nyakati za umasikini wa mume wake, ama akiwa hajazipata pesa au akiwa kafilisika au kupoteza madaraka. Hapa utaijua sura halisi ya mwanamke wako. Sura na tabia...
1 Reactions
2 Replies
297 Views
Kama kuna kitu kigumu maishani, ni kumiliki nyumba nchini Rwanda. Kuanzia ardhi, mpaka vibali, ni mtihani. Jambo hili husababisha walio wengi wajenge tu kutokana na uwezo wao. Mbaya zaidi, kila...
1 Reactions
7 Replies
472 Views
Pale unapoamka na kukuta wajomba wamechukua wanachokitaka. Hasa kama una Flat TV, ujue hiyo si mali yako, watunzie wenyewe siku wakihitaji wataijia. Uzuri ukitoa taarifa mapema na ukawa na...
0 Reactions
2 Replies
370 Views
Mama yangu aliwahi kuniambia kuwa kwa mwanamke aliyeolewa, adui yake wa kwanza wa maisha na uhai wa ndoa yake ni mdomo wake meenyewe. Usinyanyue mdomo wako mwanaume anapoongea haijalishi...
0 Reactions
1 Replies
264 Views
Ministry of Health have been conducting outreach programs on mental health issues, but don’t you think it’s time to move beyond the generic playbook and focus on context-specific solutions...
1 Reactions
1 Replies
269 Views
Serikali ifikie hatua iwahurumie raia wake. Pichani, ni watoto wanne wa mama mmoja aliekuwa akilea mwenyewe. Baada ya zoezi la kamati ya jiji la bomoa bomoa kuanza, lilimuathiri. mama huyu...
0 Reactions
1 Replies
224 Views
Wanawake jamani! Sijui laana! Maana hata Shetani wanaemsingizia, nina uhakika atakuwa anawacheka tu mkitaja jina lake. Kamama hapo pichani, tayari kanaenda kutumikia kifungo cha maisha. Alikuwa...
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Pichani, ni mtambo wa kuvuta na kuchakata Gas iliyopo ziwani(Kivu), kati ya DRC na Rwanda. Gas hiyo ijulikanayo kama Methane, inajulikana kuwa ni hatari sana ikilipuka. Ziwa Kivu, lipo karibu na...
1 Reactions
2 Replies
296 Views
Baada ya Rwanda Investigation Bureau kuwasaidia watu wapatao 10, kurudi nchini wakitokea Myanmar,walikopelekwa na matapeli kwa ahadi ya kazi, uongozi wa RIB umefanya kikao na vyombo vya...
1 Reactions
3 Replies
242 Views
Kwa mjibu wa ujumbe huu, waalimu wanalazimishwa kufungua account kwenye SACCOS ya Mwalimu. Wao, hutumia Banks nyingine za kibiashara, kutokana na faida wanazozipata, ikiwemo mikopo ya kuweza...
0 Reactions
1 Replies
229 Views
Back
Top Bottom