Mwenye kujua/kufahamu popote iwe hapa Dar es salaam mahali ambapo kuna kazi za Hotel kwa nafasi za Front office,Marketing,Hotel Supervisor,Hotel Manager na House keeping supervisor,nina watu...
zimamoto waliokuwa wafanyiwe usahili tar20 april 2016 ghafla bin vuu mara wakasitisha hiki ndio chanzo kutoka kwa taarifa zilizofuja kikosini makao makuu
iko hv majina walioomba nafasi za...
Wale mliokuwa mkisubiri kwa hamu, Zimamoto tayari leo hii. Majina yako ktk gazeti la Uhuru la leo May 5,2014. Litafuteni.
Thanks sana kwa kunivumilia niwa_update. Jana niliwaambia this time...
Fununu nilizozipata kwa wale walioitwa kwenye ajira nafasi ya assistant inspector wa zimamoto, kuwa baadhi hawataweza kuudhuria depo kutokana kuwa wajawazito.
Kwa matokeo aya wanaweza kuita...
Wakuu watu wanauliza hasa mheshimiwa kishindo atoa japo taarifa watu wa konstebo na sajini wataitwa lini kazini? Maana hapasomeki huku mjini.watu wanapanga mipango ya kwenda bush kupiga dili za...
wadau ni habari ndani ya gazeti la habari Leo....zimamoto wametoa majina mengine tena,,,,
sijafuatili sana.but that how it is....
usaili utafanyikia bwalo la ukonga na sio kurasini kama...
Taarifa Zilizonipata ni kwamba Zima Moto kesho. Be patient na usikose kuja JF kusoma jina lako wewe uliye-apply.
Updates:
Gazeti la daily news halina link. We tafuta gazeti kwanza au check...
Habari zenu,
Waungwana kuna post zilitangazwa na TPB mwezi wa saba km za credit clerck na bank operation officer.
nimedokezwa wameanza kuita watu wiki hii, kwa yeyote atakayesikia au aliyesikia...
Jamani ,nilikuwa naulizia zile nafasi za kazi za JS(John Snow) vip,watu waeshaitwa kwenye interview,mimi niliaply nafasi ya Logistic officer!! naomba wenye taarifa wakuu!!
Wadau eti zile nafasi za security officer Tanesco Power Plant Ubungo zilizotangazwa December wametoa kwenye gazeti gani? mwenye shortlisted naomba aweke majina ya walioitwa kuna baadhi ya watu...
IHI walitoa nafasi za ajira 40 kwa Field workers na 30 kwa Interviewers mwezi wa TANO. Vipi wanajamii nafasi hizo zimeshajazwa? mimi na mdogo wangu tuliomba hadi leo tunasubiri kuitwa kwenye...
Wadau huko Mtwara kwenye gesi kuna makampuni kibao yameenda kuchimba gesi na mafuta ila ukiacha zile za TPDC mbona sijawahi kuona nafasi za kazi za hayo makampuni huko Mtwara
Waziri Ummy Mwalimu alihaidi kuwa kufikia mwezi December watakasema ameajiri walimu elfu 10.
Hiyo ilikuwa mwezi wa 8, mwezi wa9 majaliwa akasema kibari Cha ajira kimetoka,lakini mpaka Leo mwaka...
Sio kwa kuachana njia panda huku ajira hizi zilimwagwa kwenye gazeti la habari Leo zikaanikwa gazeti la nipashe waziri akijinafsibisha kwenye kipindi cha dakika 45(ITV) na kusema muda wowote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.