Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Kuna mtu alishafanyaga interview Mbeya University kama Tutorial Assistant kwa upande wa Electrical Engineering?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu .. Kama wewe ni kijana upo kwenye vigezo vya kufuatilia kazi ya bomba la mafuta ,training dit ,na season za online tukutane hapa kupeana updates na taarifa mbali mbali ...
15 Reactions
445 Replies
42K Views
Kwanza, Freelancer ni nani? Freelancer ni mtu yoyote self-employed anayefanya kazi kwa watu/mtu au makumpuni mbalimbali bila kuwa na long-term relationship nao wala commitment za kazi nyingne...
5 Reactions
27 Replies
4K Views
Jamhuri ya muungano. Katika moja na mbili nikakutana na kijana anayeishi upande huu wa pili wa shilingi (Zanzibar), akiwa mnyonge sana, mdomo mkavu mithili ya dagaa wa nyasa waliokaushwa, kichwa...
1 Reactions
8 Replies
806 Views
Wakuu habari, Nimegraduate Bachelor of Science in Forestry 2022, na kwa sasa nipo Dodoma najitafuta. Natafuta mtu yeyote anaeweza nisaidia kupata nafasi ya kufanya Internship kwenye ofisi ya...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu, ninakaribia kutimiza mwaka tangu nihamie sehemu hii ninayoishi sasa. Lakini hali niliyokutana nayo hapa inaniumiza sana, hasa kutokana na biashara ninayotaka kuanzisha. Biashara hii...
4 Reactions
8 Replies
497 Views
Habari wakuu Kuna yoyote aliyewahi Fanya online test za eacop project kwa upande wa law wanauliza maswali gani msaada make pale Kwenye description hawakusema Chochote haswa kwa watu wa...
2 Reactions
3 Replies
765 Views
Habari wadau, Natumaini ni wazima, naombeni kuuliza kwa yeyote anayejua kuhusu hii njia ya kwenda, Ulaya kwa njia ya kanisa na baadae kujilipua na kubakia hukohuko ulaya, na mwishowe kupata...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Anonymous
Wilaya ya kisarawe, hivi karibuni kumefanyika uhamisho wa baadhi ya watumishi kwenda vituo tofauti vya kazi, uhamisho huo umefanyika bila malipo ya stahiki ambazo watumishi wanatakiwa kupatiwa ili...
0 Reactions
0 Replies
325 Views
Ingien ajira.go.tz Land valuation, surveyors, cartographers, geographist,GIS, town planners and alike. Data recorder kwa Level ya degree.
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Natafuta mfanya kazi mwenye uzoefu wa kazi ya uwakala (money transaction) Tigo pesa, Airtel money, M-PESA, Halopesa, CRDB & NMB Ofisi ipo kigamboni Mikadi /Dar es salaam Tanzania. awe na uzoefu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Poleni na kazi wakuu, Mimi kijana nahitaji kupata bajaji ya mkataba, kwa yeyote anayemiliki au anataka kufanya biashara ya bajaji basi mimi niko tayari. Napatikana Dar. Kwa mawasiliano zaidi...
4 Reactions
3 Replies
628 Views
Nina kijana/rafiki Fundi mzuri wa magari (mechanics), yupo Dar anatafuta kazi Ni Kijana muaminifu sana (hatumii kileo chochote), Elimu kidato cha nne; amepata ujuzi huo kwa kufundishwa katika...
2 Reactions
6 Replies
574 Views
Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Nipo Dar es salaam ila nipo tayari kufanya kazi hata nje ya Dar es salaam. Umri = 31 Elimu = Form four Uraia = Mtanzania Uzoefu = Miaka minne Note...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga. 1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la...
34 Reactions
250 Replies
15K Views
Fursa kwa walimu wa ufundi Kusoma zaidi: https://www.jamiiforums.com/attachments/ajiraleo-com_tangazo-la-kazi-septemba-17-pdf.3099151/
2 Reactions
1 Replies
878 Views
Ambao mmepata kazi kupitia hii application site. Naona hii ishu ya affidavit kwene kuattach document!! Ni lazima au option
1 Reactions
3 Replies
987 Views
Jaman wadau nauliza kuhusu post za ualimu diploma zimetoka au bado
1 Reactions
3 Replies
584 Views
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT VACANCY ANNOUNCEMENT 1.0 BACKGROUND INFORMATION On behalf of The Planning Commission (PC), Public Service Recruitment Secretariat (PSRS), Invites...
0 Reactions
2 Replies
846 Views
Back
Top Bottom