Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Wakuu ni hivi pamoja na kwamba sikuwahi kumaliza diploma in mechanical engineering. Lakini hapo nyuma miaka ya 2021-2023. Nilitamani siku Moja nifanye kazi kama fundi. Lakini baada ya mapito ya...
4 Reactions
8 Replies
558 Views
Habarini ndugu wana JamiiForums, Hivi kiwanda cha Bakharesa pale Buguruni ni uhakika kupata kazi ya kibarua ukiwa na barua ya utambulisho wa makazi? Na hivi wanalipa kwa siku au wiki?
26 Reactions
413 Replies
59K Views
Huu ni utani na wananchi ambao hawana ajira. Jiji la Arusha mlifikiria hili mkiwa wazima wa afya. Enyi serikali hebu wajarini wananchi wenu kwa usawa. Watu hawana ajira, inatokea ajira ya muda...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari tena wadau. Natafuta kijana mkazi wa Dar es Salaam, kazi yake itakua ni kutafuta tenda ya kubeba mizigo kwenye makampuni na viwandani kwa kutumia malori. Elimu kuanzia certificate, mwenye...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAPRESIDENT'S OFFICE Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) Date: 17/09/2024WRITTEN INTERVIEW RESULTS Tutorial Assistant (Electrical Engineering) Chuo Kikuu cha...
3 Reactions
8 Replies
858 Views
Habar zenu wana jukwaa. Kama kichwa cha habar kinavojieleza, nimeona niwaletee hii ili vijana waongeze maarifa na uelewa kutoka kwa wajuvi. Hii wiki imeanza kwa mimi kusumbuliwa na vijana juu ya...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Vijana wameenda kwenye Mahakama za Kanda wamefanya usaili, wengine wamesafiri kwa kutoa nauli zaidi ya shilingi elfu 30 kwenda tu. Kuna wengine walifikia lodge na wengine kwa ndugu. Baada ya...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Poleni na majukumu ndugu zangu Nilikuwa naombeni connection ya kazi. Nina Degree ya Sheria pia nimefanya kwenye maswala ya HR pia ni knowledge ya kufanya kma HR hata nafasi ya kujitolea. Nipo...
4 Reactions
13 Replies
929 Views
Mi naomba kuuliza wakuu ,hivi mfano course ya Bachelor Degree in Management of Social Development ni ofisi zipi unaweza kufanyia field practice
0 Reactions
2 Replies
676 Views
Natumai mko wazima. Mimi ni kijana wa kitanzania, nina shahada ya Usimamizi wa Manunuzi na Mnyororo wa Ugavi (Procurement and Supply Chain Management) pamoja na cheti katika matumizi ya kompyuta...
1 Reactions
8 Replies
645 Views
Katika jamii yetu, mara nyingi kazi zinazochukuliwa kuwa "za ovyo ovyo" au zisizokuwa na hadhi ya juu zimedharauliwa. Watu wamekuwa na dhana kwamba kazi kama hizi hazina mbele wala nyuma...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. Nafasi zilizopo 11,000/= Walioomba. 200,000/= Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18. Interview ya Kwanza Written. Washiriki 200,000 Nafasi zinazogombewa...
13 Reactions
117 Replies
8K Views
Tunaomba serikali itambue kozi ya Health information Science kwenye Portal za Ajira za serikali. Je, serikali Ina mikakati gani? Maana huu ni mwa wa Saba na intake ya 8 Toka ianzishwe pia...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu wana JamiiForums Naomba mnisaidie natafuta kazi yoyote kahama kama kuna mtu anamtafuta mtu wa kumsaidia kwenye kazi zake kama kuuza duka au kwenye restaurant kazi kama hizo naweza na...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Wanahitajika vijana kwa ajili ya sales & marketing kwenye mradi wa real estate. Eneo ni Kigamboni Dar es Salaam Tuma CV yako kwenda; sophiahamidu59@gmail.com Piga: 0655738017
3 Reactions
0 Replies
529 Views
Hello, Mimi ni msichana ninayevutiwa sana na kufanya kazi Casino, sina connection na wala sijawahi fanya kazi hiyo. Naomba mwenye mapenzi mema anasaidie connection. Sipo DSM, ila naweza...
10 Reactions
99 Replies
6K Views
Natafuta fundi wa furniture mzuri awe dar eneo la kazi Mbezi Beach kwa ajili ya kufanya nae kazi ya kutengeneza furniture's mbali mbali vifaa nahitaji
1 Reactions
3 Replies
700 Views
Ni pongeze Utumishi wa umma Kwa hatua zote za uboreshaji wa Mifumo yao ya usaili na taratibu za kuajiri kwa ujumla Lakini naona ni muda muafuka Sasa kuweka matokea ya Oral hadharani ili kuondoa...
4 Reactions
8 Replies
863 Views
Wakuu..!! Kama mnavyojua sasa Serikali ipo kiganjani kwa kuthibitisha hilo, kwa upande wa utumishi wa Umma mambo yote ya kiutumishi yanafanyika kupitia mtandao(ESS). Hivyo basi nimejaribu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani niko Dar hapa naombeni please nisaidieni conection ya kazi please 0625544723
0 Reactions
7 Replies
703 Views
Back
Top Bottom