Hi,
Mimi ni kijana wa Kitanzania(21) nasoma India
nimemaliza mwaka wa kwanza na nimerudi Tanzania.
Nitakuwepo mpaka mwisho wa mwezi wa nane
natafuta tempo work yoyote najua Computer na...
Company/Agency: Holtan (E.A.) Ltd
Location: Dar es Salaam
Contact Person: Ray Blumrick
Telephone: +255222701588
We are an established construction company in Tanzania...
Wakuu,
Japo nimechelewa naamini kuna ambao wanaweza ku-apply haraka iwezekanavyo kabla ya deadline.
Please note that COMESA Secretariat is receiving applications for the following vacant...
MIMI NI MHITIMU WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (MLIMANI) MWAKA 2008 KATIKA FANI YA BIASHARA (MARKETING &INTERNATIONAL BUSINESS); NA KWA SASA NI BANK OPERATIONS OFFICER NMB. NATAFUTA KAZI KATIKA...
Natafuta Kazi ya secretary/customer care or receptionist. nimesomea secretarial katika chuo cha Tanzania Public Service college in Tabora.
na nina uzoefu wa miaka mitano.(5)
The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania's central bank, is looking for suitably qualified young Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant...
Jamani wana forum, mimi natafuta kazi yoyote inayohusu tourism au wildlife management popote mkoani arusha.
please ikipatikana email yangu ni lina3000kiwelu@yahoo.com. for more detail.
Habari wana JF,Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza pale mzumbe university nachukua degree ya accountng and finance(BAF),natafuta kazi yoyote ambayo nitakuwa nafanya na wakati huo huo naendelea...
Habari members wa JF,
Mimi natafuta kazi HR, nimesoma na kuishi uingereza miaka mingi sana sina experience ya kazi Tz, nimefanya kazi uingereza na Dubai kama HR manager nina exp ya miaka kumi...
Habari members wa JF,
Mimi natafuta kazi HR, nimesoma na kuishi uingereza miaka mingi sana sina experience ya kazi Tz, nimefanya kazi uingereza na Dubai kama HR manager nina exp ya miaka kumi HR...
Wana JF,
Naomba kuuliza hivi ni kweli TZ kazi zipo au kila hata kidogo kilichopo kinachukuliwa na foreigners kwa sababu wa TZ hatuna uwezo wa kujieleza.
Leo nilipitia baadhi ya sehemu kama 4...
Employment Opportunities
Ardhi University has vacant positions in the Academic and Administrative cadre. The University subscribes to the policy of an equal opportunity employer and therefore...
Dear All,
I wish to introduce you to Maruk Vanilla Farming and Processing (MVFP), a registered business name emerging as vanilla marketing agency in Kagera.
MVFP is looking to hire...
DUWASA'S JOB VACANCIES
Dodoma Urban Water supply and Sewerage Authority (DUWASA) was established under section 3(I) of Cap. 272 of 1997 as reviewed by section 60 of Water supply and Sanitation...
A student needs an ASSISTANCE from a French teacher for a 1 to 1 course for at least 20 hours min.which will help her work in a French speaking country.
She has some basics in French. please pm...
ASSOCIATE Consultants
Background
SOTTA & PARTNERS CONSULTING LIMITED is professional services firm based in Morogoro with a branch in Nairobi Kenya, that offers comprehensive consultancy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.