Habari za leo wana jamvi, tafadhali msaidie rafiki hapa, kama bandiko lake linavyoeleza...
Nimeolewa miaka mitatu iliopita na mume wangu ni dereva wa bolt. Tatizo kubwa alilo nalo ni hajitumi...
MREJESHO
Habari ndugu ZANGU...NADHANI...nilileta Uzi ulisema. MKE WANGU KAACHA NDOA YAKE KISA KAZI..
..
...
Leo nawaletea MREJESHO...
Baada ya Mwanamke kuondoka kusikojulikana,,huko alipokuwa...
Natumai mumeamka salama wakuu!
Wazee juzi Jumapili nipo kwenye pub moja hivi napiga bia na nyama choma kiasi kwaajili ya kumalizia wikiendi yangu vizuri sikutaka kutoka na mwanamke siku hiyo ili...
Jamani jamani jamani kuna watu ni wafukunyuzi hasa, na kimsingi huwa wanatuchora vilivyo na kwa sehemu kubwa wakiangalia baadhi ya viungo mwili vinavyoonekana na kulinganisha na visivyoonekana...
Hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wetu hasa hawa wa kiume wanahamasishana kila kona na kampeni yao yenye hashtag #KATAA NDOA
Sababu wanazotoa zinachekesha mno na kwakweli hazina mashiko.. Kubwa...
Kwa mimi nahisi ukiwa na mwanamke mwenye maono itakusaidia kutojisahau kwamba utajikuta kila ukitaka kurudi nyuma mke anakupush kimawazo, changamoto nk huku ukiwazia familia hiyo yote itakufanya...
Mwanaume unayependa kuchepuka na wake wa watu n dhaifu.Kwan umeshindwa kutafuta mke wako ndo ukanyemelee vya watu.
Utahudumia familia isiyo yako na mwishowe hawatakutambua.familia itakayo...
Nilicho gundua ndoa nyingi zime kufa mda mrefu sana ila watu wana pretand kama bado wapo pamoja
Hii baada ya kuambiwa mwenyekiti wa jumia yetu na mkewe wamegawana vyumba lakn kwa watu wanaonesha...
Kama unazaidi ya miaka 35 na bado unapambana na wanawake wanaotaka pesa ya kucha, kope, nywele, nguo, chakula, gesi, vocha, kodi ya pango, na bando; juwa hauko siriazi na maisha, badilika haraka...
Siku hizi, kuna mjadala mzito kwa vijana: "Kaa nyumbani mpaka ujiweke vizuri kifedha au ondoka mapema ili upambane na maisha?"
Wazazi wetu walikuwa wanaheshimu sana mfumo wa mtoto akae nyumbani...
Kusema kuwa sijijui kuwa natengeneza bomu ambalo litakuja kunilipua mwenyewe nitakuwa nadanganya ila maksudi kabisa natengeneza na ipo siku kweli litanilipukia, stori iko hivi
Mimi ni mwanaume...
Kadada kametunzwa na kujitunza, kamevutia macho na ukaona anafaa kuwa wa ndani, ukirejea kwenye mihangaiko upate pumziko na mfanye maisha.
Ukaoa.
Sasa baada ya kukaweka ndani, unategemea...
Nimeona jambo hili kwa baadhi ya wanawake, hasa wale waliotoka kwenye ndoa Zenye changamoto.
Mwanamke anapokuwa kwenye ndoa yenye changamoto labda ameumizwa, amepuuzwa, amenyanyaswa au hakupata...
Baada ya kwenda home kusalimia kwenye moja ya mkoa wa kaskazini, nikasema nikatembee kwa siku 7 upande wa kenya, Nikaanzia taveta then nikaenda Voi,kimana then leitoktok.
Nilichogundua wanawake...
Vijana wa sasa wengi wao wanataka familia na hata wale wanajikuta tayari wanafamilia kwa maana Mke na mtoto au watoto lakini maisha anayoishi na hiyo familia yake ni ujinga mwingi
Kijana huyu wa...
Huwa nashangaa mibaba mzima na mitumo yao na midevu na Mijimama mzima mijitu mzima ya hovyo. Kwa nyege zako umezaa watoto ambao hawakukutuma uwalete duniani kumbe inakuja kuwatesa tu.
Sasa...
Angalia historia za kuvuja kwa connection zote duniani na hapa nchini jamii itamsema vibaya mwanamke badala ya mwanaume.
Mwaka 2008 dunia ilishuhudia kichupa kikivuja cha mjuba Ray Jay na Kim...