Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nyege mbaya asee nimeamka asubuhi na nyege balaa nikaingia mtandaoni nikatafuta Malaya tukakubaliana 100k body to body massage na sex Nikamuelekeza fresh akaja picha linaanza kajichora tattoo...
22 Reactions
236 Replies
5K Views
Habari za masiku wapendwa. Nimegundua haya machache pengine yanaweza kutufaa sisi wanaume tulio oa kuishi vema bila kusalitiwa na wapenzi wetu. uzoefu wangu mdogo kwa wanawake watatu unaweza...
12 Reactions
43 Replies
3K Views
Wakati wa kufunga ndoa, baba mkwe alipendekeza kutupatia nyumba yake, Ilikuwa ni nyumba ya kisasa, ikiwa na baadhi ya samani tayari. Baada ya kutafakari kwa kina, niliamua kukataa pendekezo hilo...
20 Reactions
65 Replies
2K Views
Oa Mwanamke kabila la Wakikuyu toka Kenya Ni mabepali wazuri sana
2 Reactions
63 Replies
614 Views
Single mother anaweza kupanga sehemu ya kuishi au kufanya biashara (chumba, frame au apartment) na watu wanaomzunguka wasijue kuwa ana mtoto. Mtoto anaweza kuwa anaishi kwa ndugu au sehemu...
2 Reactions
46 Replies
988 Views
Jana mtaani kwetu kulikuwa na mechi ya timu ya mtaani kwetu vs timu kutoka Mbande. Sasa Upande nilio kuwa nimekaa kulikuwa na wazee wa kiislamu kadhaa wakawa wanapiga story kuhusu wanawake.. Mada...
5 Reactions
77 Replies
885 Views
Huu ujumbe nawalenga mabinti kati ya umri wa miaka 15 hadi 26 kwasababu ndio ujumbe unaweza kuwasaidia maishani mwao wasije kuingia mkenge wa kuingia mkosi na laana ya kuwa single mother. Sote...
30 Reactions
63 Replies
4K Views
Tusikae kimya kujifanya hakuna tatizo. Kijana wa kiume kuanza mechi tayari ashapigwa 1-0, bloodline ya ukoo inavulugika, vile vile kuna suala la co-parenting ni manyanyaso ya kihisia na chanzo cha...
23 Reactions
57 Replies
2K Views
Nimekubali mimi ni mgeni maana kila post napewa lawama mgeni mgeni 🤔🤔 lengo ni kuondoa stress na kupotezea vitu nipo humu kukutana na watu tofauti Nahitaji marafiki zaidi karibuni sana 😘😘
9 Reactions
81 Replies
757 Views
Wakati fulani nimekuwa nikimtizama Joel Nanauka kwa upande hasi kwenye content zake ila sasa namuelewa. Joel kama umemsikiliza vizuri au kumsoma, hoja zake nyingi ni upande wa jamii...
7 Reactions
21 Replies
922 Views
Kabla ya Ndoa, haya ni mambo muhimu sana mnayopaswa kuyazungumza ili kuepuka maumivu na kuvunjika moyo baadaye: 1. Fedha - Tutazisimamiaje? Pamoja au kila mmoja kivyake? Nani ataweka akiba, nani...
4 Reactions
23 Replies
896 Views
kwa wale mliojaaliwa kuwa na mtoto au watoto. Je, ulimpata mtoto wako wa kwanza ukiwa na miaka mingapi ? Ulipanga au ilitokea kwa bahati tu ? Swali special kwa wanawake: ulipata mimba kwa mara...
5 Reactions
21 Replies
522 Views
Nimepata manzi mmoja wa kichaga ila hili suala lake la kuona aibu linanipa kutafakari ananiigizia au ni kweli yupo hivyo niambieni sifa za wanawake wa hivi niweke ndani au ndio nitakuwa nimepigwa?
10 Reactions
252 Replies
3K Views
Binafsi kuna jambo linanishangaza. Mtu alipitia maumivu ya kuachwa na mzigo wa kulea mtoto peke yake, lakini bado anakutana na mwanaume leo, kesho tayari wanafanya ngono. Je, kweli hapo kuna somo...
12 Reactions
72 Replies
918 Views
Una mda gani kikojolea chako hakijakutana na kikojoleo chenzie Siku moja? Wiki moja? mwezi mmoja? Mwaka mmoja ? Siku ukipewa unapewa yote au unapewa nusu nusu [unapunjwa🤪] au hakijawahi...
34 Reactions
758 Replies
6K Views
Wakuu habari, So nimerudi tena baada ya mazungumzo mengine marefu na rafiki yangu aliyeniita 'Toxic' Wakati huu tulikua marafiki kadhaa wanaume kwa wanawake tukipiga stori hasa Ubingwa wa Arsenal...
4 Reactions
15 Replies
359 Views
Nimetoboka hela ndefu kwa huyu mdada kiasi kwamba hata akinitext kunisalimia bado nakumbuka gharama zangu na kulinganisha nae hata haviendani. Nimekodi lodge ya gharama vyakula vya gharama na...
11 Reactions
33 Replies
488 Views
  • Redirect
Wakuu, sote tunafahamu kuwa habari ya mjini kwa sasa inayotreand sana ni hii ya single mothers. Utasikia, single mother hivi,single mother vile, je nini chanzo cha hawa single mothers na nini...
4 Reactions
Replies
Views
hili jambo jamii haitaki kulisema sijui inaona aibu kuliongelea kwa vile wenye indusrty yao watasema hakuna ushahidi wa kisayansi lakini amini usiamini matumizi ya porn yanaweza kusababisha kile...
5 Reactions
32 Replies
673 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…