Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Kila la Kheri wale ambao mna tatizo la kushika Mimba (Ujauzito) kwani naamini kwa Waarabu hawa Watatu mtaweza.
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine...
50 Reactions
283 Replies
9K Views
Ni rafiki wa kushibana kwetu kama kwao na kwao kama kwetu, urafiki wetu ni zaidi ya undugu maana tunasaidiana kuliko hata hao ndugu zetu wanavyo tusaidia Urafiki wetu ulianza na kukua kwa kasi...
3 Reactions
40 Replies
1K Views
Wakuu, iko hivi: Wife alikuwa na ratiba ya kwenda saloon, kitu ambacho alilazimisha sana. Sikupenda kumzuia, kwa hiyo nikamuelekeza kuwa atachukua ten kwenye hesabu ya mauzo dukani, lakini...
32 Reactions
115 Replies
4K Views
Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile ni pamoja na kutumia via visivyo vya uzazi kufanya mapenzi, kwa mfano kutumia sehemu ya haja kubwa kufanya ngono, kutumia midomo, vidole n.k Kasi ya uovu huo...
8 Reactions
104 Replies
6K Views
Wakati mwingine sisi wanaume tunakutana na mikasa mbalimbali tunapokuwa kwenye harakati za kufukuzia na mwishowe kula K. Unaweza kutana na mdada ambaye ni mswahili mpaka hamu ya kuendelea...
44 Reactions
172 Replies
21K Views
Nikikumbuka mpaka nilipost uzi humu nyie Aiseee siamini kama sasa hivi moyo wangu umekua na ganzi kiasi hiki. Nitajaribu kuhadithia kwa mafungu mafungu Ili kwa yoyote anaepitia changamoto ya...
49 Reactions
186 Replies
7K Views
Katika mahangaiko yangu ya kuzichakata na kuzibananga mbunye hapa dar CHANIKA pamenishangaza sana. Kumbe wakati nilipokua nahonga elfu 60 mpaka laki 1 kwa watoto wa chuo wa hapa mjini nlikua...
8 Reactions
32 Replies
1K Views
Wiki inaisha safi, mashangazi tukiongoza 3 -1, kifua mbele hakuna unyonge. Nawakumbusha tu, ukimkalia usoni wala usiogope kuweka uzito wa mwili wote, akizidiwa kwa kukosa hewa atakunyanyua...
18 Reactions
142 Replies
4K Views
Endapo mwanamke atajua ume fall crazily kwa muonekano, status, personallity yake, etc atahakikisha akuweke under control yake, kumaanisha kuwa hatakuheshimu kwa kuwa jembe tena kwa maana umeanguka...
12 Reactions
48 Replies
2K Views
Hii michezo sasa inatosha Ukitazama miili yetu kama tumetoka guantanamo inavyochakaa kwa meno, hasa nyie wadada wa mikoa ya kaskazini kule moshi, arusha n.k Kwanini mtumie meno mnapofikishwaga...
4 Reactions
11 Replies
559 Views
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu KABLA YA NDOA Mwanamke...
31 Reactions
262 Replies
10K Views
Labda nikufafanulie kidogo. Niko kwenye mahusiano na wanaume wawili: mmoja ni kijana kama mimi, ana miaka 27, na mimi nina miaka 24. Anaishi kwao, na baba yake ni mtu mwenye pesa sana, hivyo...
10 Reactions
100 Replies
4K Views
Kila kitu kipo kwa sababu, watu wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa sababu mbalimbali zinazoeleweka kabisa kama kujenga familia nk. Sasa kwa nyinyi mlio single Nipe Sababu ya msingi kabisa kwa...
14 Reactions
222 Replies
8K Views
Hawa ni wanawake wenye kiwango kikubwa cha elimu, fedha, umaarufu au hata madaraka katika jamii. Hoja ya wanaume wenye mawazo haya ni ugumu wa kuwaongoza wanawake wanaowazidi. “Mwanawake akipata...
14 Reactions
68 Replies
3K Views
Mwanangu rapcha umeimba hili goma leo ndo nimejua kuwa wanawake ni watu wa ajabu mno can you imagine leo ni siku ya 11 wife ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi. Sasa leo nimeamua...
26 Reactions
156 Replies
8K Views
Salamu wakuu. Hii kitu nashindwa kuelewa Anampanga demu mida flani njoo geto demu anaitikia Mwisho wa siku unashangaa amekuja na marafiki zake na hao marafiki zake na wao wanakuja na marafiki...
13 Reactions
76 Replies
3K Views
Awali ya yote, ningenda kumpongeza Dr Samia Suluhu kwa kuendesha Kampeni za kistaarabu. Mama wa watu hatukani mtu wala hatwezi utu wa mtu. Tuje kwenye point ndugu zangu watanzania wenzangu, siku...
9 Reactions
93 Replies
3K Views
Sijui nisemaje lakini you people mmenishangaza sana, Always humu huwa nahisigi kuna watu flani hivi sijui nisemaje lakini mnisamehe nilivyokuwa nawawazia sivyo,. First of all mie ni mtu ambaye...
57 Reactions
130 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…