Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

HAbari za muda huu wana JamiiForums. Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa afya njema na uzima wa kiroho na kimwili. Leo nimekuja kuwashukuru walio niadvice kwa busara zao na kwa neema ya Mungu...
9 Reactions
56 Replies
769 Views
Porno isikudanganye mwanamama Kataa kabisa kutoa makebo yako, katalia kabisa etugru yako. sio tu unabaki na sehemu iliotanuka kama nyavu za kuvulia samaki bali pia unajitengenezea njia ya...
6 Reactions
29 Replies
844 Views
Habari ndugu zangu. Wewe mwanaume mwenzangu usije ukazama kabisa penzini na mwanamke uliyekutana naye katika mitandao ya kijamii Hadi ukafikia hatua ya kutaka kumuoa. Mmekutana huko mkaanza...
10 Reactions
33 Replies
574 Views
My people, Wachangiaji wa JF Wanaifanya Ndoa Ionekane Ngumu Kuliko Uhalisia Wake Katika miaka ya karibuni, mitandao ya kijamii imekuwa kama kioo cha maisha ya watu, lakini mara nyingi kioo hicho...
9 Reactions
69 Replies
1K Views
Kaka mmoja hapa mtaani alioa mwanamke mwenye Watoto Wawili wa Baba Mmoja, huyo mwanamke Aliachana Na MUME Wake kipindi Watoto Wakiwa Wakubwa tayari wameanza shule, baada ya kuachana na mume wake...
42 Reactions
135 Replies
2K Views
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa mwenyekiti wa kamati ya harusi ya kijana mmoja kwenye kanisa nililokuwa ninasali hapa Dar. Upekee wa hii ndoa ni misuguano na mabishano yaliyokuwepo kati ya kijana na...
15 Reactions
48 Replies
1K Views
Mfano mke wako au mchumba anakwambia anataka afanye kazi ya online live streaming kwenye majukwaa ya watu wazima.hakuna kukutana na mteja yeyote ana kwa ana anafanya kila kitu akiwa chumbani...
5 Reactions
31 Replies
477 Views
Baada ya kukaa mwezi mzima amerudi leo wadau huwa mnawqpokeaje wapenzi wenu wakirudi toka safarini?
3 Reactions
19 Replies
261 Views
Yaan hii iko ndani ya akili yangu kwamba wengi kama si wote wanaotumia jukwaa hili wenye Majina ya Kike ni Njemba za kiume Akili inanituma hivo Kuanzina miandiko, exposure na mitego yao Unajua...
13 Reactions
78 Replies
932 Views
Mnaotaka kuoa, nini kinakufanya ushindwe kufanya harusi ya aina hii?
17 Reactions
70 Replies
2K Views
Jana nmekuja kuwapa hai wazee wangu kama kawaida ni muda kidog umepita sasa katika kupiga stoli mother akaniambia mwanang mbona umekonda sana nikamwambia Amna mama kawaida akadai hapana sio...
3 Reactions
12 Replies
215 Views
Kisa cha kweli, mwaka Jana katika kurupushani moja uku Singapore nikapata sehemu kuna mtandao wa wadada wanao fanya escort (hunters) nikasema ngoja nifanye research kuhusu suala ili. Nikagundua...
17 Reactions
114 Replies
16K Views
Ukweli ni mchungu lakini acha niuseme mwenye HEKIMA atajifunza jambo. Mwanaume aliye na malengo lazima ajue kabla yakukosea njia sahihi ya kuoa. Huna haja ya kulala na mchawi ili umsaidie...
0 Reactions
3 Replies
478 Views
Faida nilizopata ni nyingi Sana Mimi sio yule wa mwaka 2025 -july najishukuru, Hamu ya sex sometimes ilikua kali sana ila nilifanya mazoezi makali Gym na kufikiria mambo magumu yasiyo na majibu...
30 Reactions
429 Replies
5K Views
Baada ya ujana kuuputia vya kutosha sasa naamua kuacha mambo haya hasa ya wanawake ,ninamrudia Mungu na ninataka kuwa mtu wa heshima sasa maana nimefanya mengi mno, Nakumbuka nimeshatembea na wake...
13 Reactions
51 Replies
9K Views
Ujana una mambo mengi Nina story nyingi hasa ujana ukiwa unachemka Ujana huu umenipa story za kusimuulia maishani, Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010, nilikuwa nakaa kigamboni Dar as salaam sehem moja...
35 Reactions
254 Replies
94K Views
Cheating ni kosa kubwa, lakini si sababu pekee inayovunja mahusiano. Mara nyingi mahusiano hufa polepole kutokana na tabia zinazojirudia kila siku bila watu kuzitambua. Upendo hauondoki kwa siku...
4 Reactions
20 Replies
393 Views
Mapenzi kwangu hayana maana na sitaki kuumizwa bora tu nipende hela natunza uvulana wangu
3 Reactions
9 Replies
108 Views
Na sio kuvunja ndoa tu, hata njia za kimafia Kuna baadhi ya jamii ambazo tangu mtoto akiwa mdogo anakulia mfumo wa kuamini kwamba thamani ya mtu inapimwa zaidi kwa kiwango cha fedha na mali...
4 Reactions
23 Replies
374 Views
Hii ni kwasababu ukioa mwanamke mwenye watoto kuanzia 2 basi unajua kabisa toka mwanzo kwamba umeoa mke wa mtu hivyo unaishi kitaalamu. Na kama mmewe amefariki basi unakuwa una uhakika zaidi...
6 Reactions
14 Replies
219 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…