Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mwanamke masikini ni liability. Kaa nae mbali kama bado unajenga maisha yako. Hakuna chochote chenye thamani anachoweza kuchangia kwenye mahusiano. Hawezi kukupa hela, connections za michongo wala...
78 Reactions
383 Replies
5K Views
Wadau, kuna vidume mandezi yanapigwa kifala sana na mademu. Demu ukimuonyesha unamuhitaji sana kingono kuliko yeye atakupiga tu na mbunye hupati. Vilio vimekuwa vingi sana mtaani, vidume...
3 Reactions
10 Replies
159 Views
Habari za wakati huu wakuu, Mwanamke wangu niliyeishi naye kwa miaka mitatu amenifanyia jambo la kikatili sana katika maisha yangu. Ni mwanamke pekee niliyempeleka nyumbani kwetu kumtambulisha...
22 Reactions
159 Replies
3K Views
Hodi wana jamvi, Katika pirika za maisha japokua tunapambana kutafuta maokoto Kunamda tunahitaji faraja angalau kutibu stress.ndipo pale tunakua na binadamu eva(mwanamke) ili kuweka msawazo wa...
13 Reactions
88 Replies
1K Views
Kuanzia watu wenye miaka 33 ambao hawajaingia kwenye ndoa Kuna uwezekano wakashindwa kuzimudu ndoa kabisa na kupelekea ongezeko la single mothers nchini Sahivi maisha yanaenda Kasi sana ebu...
6 Reactions
15 Replies
211 Views
Mnakataje ndoa kwan hamtak utamu wako mwenyewe ambao sio wakushea na masela. kama mimi hapa naenjoy utamu wa mama amina sishei na yeyote.
2 Reactions
7 Replies
100 Views
Wadau habari zenu, Hili swali ni kwa wote, yaani me na ke tujadili Umemfumania mpenzi au mke wako na mtu mwingine unapaswa kudili na nani? Kuna wanaume wanafikia hatua ya kuwaua au kuwafanya...
11 Reactions
75 Replies
587 Views
Muda muafaka haujafika? Bado unajipanga? Hauplan kuishi katika ndoa? Au bado upo 50 kwa 50 kuhusu uamuzi huo? Haujapata mdada sahihi?
4 Reactions
15 Replies
178 Views
Kwa tamaduni zetu za kiafrika mwanaume ndio amekuwa na jukumu kubwa katika mapenzi kuhudumia mpenzi,mke au familia kiujumla. Ikitokea mwanaume wako ameshuka kiuchumi kwa maana ya kwamba kapoteza...
3 Reactions
12 Replies
203 Views
Kuna watu wakishaoa au kuolewa tayari jukumu la kulinda afya zao wanawachia wenza wao. Yani anaamini kwa kuwa na mtu huyo huyo hataweza kupata magojwa? Swali je mwenza wako ni mwaminifu? Je...
8 Reactions
41 Replies
567 Views
🔥💪FANYA HIVI KUCHELEWA KUFIKA KILELENI ⬇️ Leo tena tunagusa kitu cha msingi sana tumia dakika 3-5 tu—kuunganisha pumzi zako na mawazo yako. Kila unapovuta pumzi, unaruhusu utulivu kuingia ndani...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Kila akivua ananiambia nitoke nje, nikimuuliza anasema mimi wa kiume na yeye wa kike na hatak niuone uchi wake. Jaman mie mwenzenu simuelewi.
8 Reactions
34 Replies
600 Views
Habari zenu wana jukwaa? Ni sehemu gani hatarishi uliwahi kufanya ngono? Mimi ni hospital, nilimgegeda nurse ninayefahamiana nae.
146 Reactions
5K Replies
2M Views
Baadhi ya maudhi madogomadogo yanayokera wakati wa tendo 1. Mwenza kutoa harufu mbaya kama vile kutoa harufu mbaya mdomoni maungoni au sehemu za siri n.k 2. Mwenza kuwa na majeraha, madonda...
12 Reactions
100 Replies
2K Views
Wanaume wengi wanapenda wanawake weupe.wengi wanasema uweupe unavutia.ila uweusi unaogofya sana wengi wanausema uweusi unaharibu kizazi
7 Reactions
87 Replies
985 Views
Kuna aina fulani ya wadada wachache mno ambao ni kama uwepo wao una nguvu supernatural ya kuweza kubadirisha energy mahali atakapo fika. Ni aina ya wadada ambao wana amplify lust ya mwanaume...
6 Reactions
27 Replies
513 Views
Usiogope kukagua simu ya mke/mpenzi wako kuna baadhi ya details za muhimu sana utazipata na utajishukuru sana.
2 Reactions
13 Replies
214 Views
Mkoa kama Dar,Dodoma Mbeya, ukiwa na buku 5 unakula demu Nenda njombe, na songea then rudi hapa uje uendeleze kampeni za kataa ndoa Hiyi miji unaweza kuwa na laki na usipate dadapoa wa kumla...
4 Reactions
22 Replies
307 Views
Umewai kusikia Nini kuhusu mahusiano na mwanamke asiye na uvungu mguuni (chini ya unyayo. CHANZO CHA KULETA HII MADA ni hiki, Kuna jamaa yangu jana nilimsindikiza hospital kumwona Kwa mama yake...
34 Reactions
146 Replies
10K Views
asilimia 99 ya wanawake wanaingia kwenye mahusiano kwa ajili ya pesa na sio mapenzi ya kweli. ukiondoa pesa kwenye mahusiano au ndoa asilimia kubwa ya wanawake hawatoona sababu ya kubaki kwenye...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…