Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Wakuu, nampongeza mwanzilishi wa jukwaa hili bwana Maxence Melo kwa kuanzisha jukwaa hili huru. Hongera sana mzee.
4 Reactions
5 Replies
141 Views
South African self employed olosho business woman makes recording after a Nigerian man booked her service and decided to pull a fast one on her by not paying in full after a successful Tatata...
1 Reactions
2 Replies
115 Views
Huu ni uzi maalumu kwa wasukuma wote hapa tanzania,kupeana taarifa,maarifa, elimu na ujuzi mbalimbali kuhusu kabila hili kubwa nchini,uzi huu hauna lengo la kupromote ukabila bali kuleta jamii...
15 Reactions
377 Replies
3K Views
siri yenu tu wale mbaopenda kuoa wachaga nimekaa marangu..mamba kotela nkaenda rombo mwika nkarudi kibosh then uruuu huku kote kuna ndugu wa ukoo ama walioa ama kuolewa na wengi wazee wa...
1 Reactions
4 Replies
103 Views
Naweza kusema ni state of mind pale unapoona kiuno cha kike shanga zimeonekana kidoogo! Kile kimuhemuhe na ashiki unayopata na mawazo yako unakoyapeleka. Shanga ni kivutio cha asili kwenye...
50 Reactions
548 Replies
160K Views
Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa...
22 Reactions
99 Replies
7K Views
Kuna binti mmoja, ni mke wa mtu, lakini ananiumiza kichwa sana siku hizi. Mume wake alimfungulia duka kubwa tu awe anakuwa bize, na kwa kuwa hata mimi nina duka katika mitaa hiyo, tulianza...
1 Reactions
19 Replies
396 Views
Sababu kubwa ni kwamba wakinga wengi hupenda kujishughulisha na maduka, kuna biashara nyingi sana lakini mkinga kachagua maduka. Madukani wakinga huwa wanashinda na wake zao, hakuna mke wa kubaki...
10 Reactions
30 Replies
637 Views
Historia na maandiko matakatifu mara nyingi hutufundisha jambo moja muhimu sana: mara nyingi hatuangushwi na maadui wa mbali, bali na watu wa karibu wanaojua siri zetu. Maelfu ya askari wa...
3 Reactions
3 Replies
87 Views
Kwenye video hii kuna mwanamke anayewapatia ushauri watoto wa kike. Baadhi ya wanawake wamemuunga mkono sana huku wanaume wakionesha kuwa ameongea tope. Ukitazama ushauri wake ni sawa na kusema...
3 Reactions
13 Replies
133 Views
Wanabodi, Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe?!. Naomba niwape mfano mdogo tuu toka humu humu jf, Siku...
1 Reactions
76 Replies
10K Views
Kuna faida kubwa sana kwa wanaume kuzaa nje (michepuko), kwa mwanzo unaweza kuona ni changamoto ila baada ya miaka kwenda matunda yake uonekana...
7 Reactions
29 Replies
429 Views
hakunaga kitu kinaua confidence kwa mwanaume kama vile anapoambiwa ukweli (sio kusingiziwa) na mke wake anaempenda (sio girlfriend au mchepuko ) "huniridhishi" "unanichafua tu" "unanipapasa...
3 Reactions
6 Replies
224 Views
Ndugu salaam Sisi wanaume tumekua tukiwapa wanawake pipi kijiti (lolipop) kama njia ya kuridhika na ombi lao la kusamahewa ili hali tunajua kabisa ni starehe ovu na ya kikatili dhidi ya...
2 Reactions
10 Replies
905 Views
Musiki ni therapy, burudani na njia ya kufikisha ujumbe kwenye jamii. Kuna namna nyingi za kufurahia mziki. Miaka ya karibuni imeibuka hii trend ya mabinti na wanawake kutuma video fupi za kucheza...
18 Reactions
87 Replies
1K Views
Kwa nini ubebe mimba ya mtu ambaye hajaitaka!! Kisa kinaanza kuna mwanamke mmoja (mchepuko) nilikuwa na mahusiano nae siku moja niliruka nae ila kabla ya sex alinihakikishia kuwa ana kijiti cha...
7 Reactions
10 Replies
395 Views
Leo dunia inaadhimisha nguvu, busara na mchango mkubwa wa mwanamke katika kujenga jamii na mataifa. Mwanamke si tu mzazi wa kizazi, bali pia ni nguzo ya maadili, dira ya jamii na tumaini la taifa...
3 Reactions
5 Replies
120 Views
Wakuu siwasalimii, mlinidanganya kuwa kuoa bikra ndio uanaume, nami nikauchukua ushauri wenu nikaoa bikra,nimekaa nae yapata 8months sasa ameanza kuchepuka,tafrani nyumbani. Nifanyaje wakuu...
5 Reactions
52 Replies
550 Views
Baada ya maambukizi , inachukua miaka 10 hadi 15 mtu kuanza kuona dalili za hiv, Kumbe wengi wazinzi naweza sema watoto wa 2000s walioanza uzinzi let's say 2018 wakiwa na miaka 18+, Dalili...
2 Reactions
12 Replies
228 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…