Wakuu nimetoka kuvuta Chek yangu hapa BOT kwa wale wanaopendelea kula Bata na watoto wa nje hususani Bara la Asia nipeni mawili ma3 jinsi ya kwenda kujivinjari na watoto wa Asia.
Visa nimepata...
Mimi ndimi.
Eeebana wanawake sometimes mnatufanya sisi tuwe wababe na roho mbaya.
Utakuta mwanamke kiburi, anaongea Kama kameza CD, yani analeta umwamba Kama yeye ndio mwanaume! Ama hakika...
oohhooooo!!!
eeebanaaae!
ama hakika, mimi ndimi.
KING KIPEPE.
Aseeee! wanawake, sisi wanaume cha kwanza kuangaliaga inakuaga ni Wowowo, halafu tunaangali kifuani napo kama panalipa mazeeeee...
Chanzo cha habari ni global TV
Mwanaume amelalamika kuwa mkewe alileta HIV ndani , pia aliendelea kutenda mambo ya ovyo ndipo ninja akafanya yake.
Wanawake hakikisheni mnapambana kutengua...
Hivi Uvinza kukoje?? Kuna nini uko?? Naona daily vijana wanakukimbilia sana. Mimi msimamo wangu ni kwamba nitakapo oa tu, nitaingia uvinza kiroho safi bila kuambiwa.
Ila kwa sasa siwezi hata...
Baada ya kipindi kirefu kupita kwenye mahusiano na warembo kadhaa ambayo yalikuwa hayana furaha upande wa kutimiziana haja za mwili kutokana na warembo hao kulalamika kuwa nawaumiza sehemu zao...
Habari zenu Grear thinkers
Mapenzi ni mazuri na ni matamu sana pia yanaumiza haswa,ni matamu pale unapoona yanakufit kwa namna yako na jinsi unavyo ya tafsiri,
Mapenzi hayana tofauti na...
Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulikaa kama miezi minne. Baadae naona alipata mtu ambaye aliona alikuwa sahihi kwake kuliko mimi. Dada na vitimbi na visa kibao nikaamua kuachia nafasi kwa moyo...
UBINAFSI
Wanawake ni watu wa ajabu sana, kama haujawai gundua watu hawa hutanguliza maslahi yao mbele kwanza iwe kwenye ndoa au mahusiano, wanawake huwa tayari amekwisha pima na kutambua kitu cha...
UMESHAWAHI kukutana kimwili na watu wenye uhusiano wa karibu?
Kama vile
Mtu na rafiki yake?
Mtu na ndugu yake?
Mtu na jirani yake?
Mtu na mtoto wake?
Mtu na mama yake?
Mtu na mfanyakazi...
Naimani sipo peke yangu mwenye mke mzuri mrembo mweupe wa asili na nampenda sio kidogo. Yani akisema uwahi kutoka kazini..fasta nimerudi, naomba sijui nitumie gari yako weekend ijayo..fasta naweka...
Katika maisha ya kuishi watu tofauti Kama marafiki,Ndugu na jamaa wengine lazima kutakuwa na tofauti za kimaumbile na kitabia baina yetu bila shaka.
Kama tu rafiki ambaye unakutana nae katika...
Kwa maisha town pesa ndio injini ya maisha ya kila siku kwa kila kitu iwe umebanwa na kiu au umebanwa na haja ndogo au kubwa lazima pesa itahusika kuondoa tatizo lako. Sasa nimegundua hata kiumeni...
Wadau kama ukiwa na mume wa mtu ni unaharibu ndoa ya watu husika. Je, kuhusu waislamu wanaoongeza wake na ni wahalali wao hawaaribu ndoa ya huyo waliomkuta kwani wao ni malaika?
Bila shaka...