Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mbona mmeanza kutuogopesha wajamene Yaan kila ukifingua fb unakutana na sijui unatatizo la kuwahi kutandani Una tatixo la mashine kulegeaaaa Wengine vidada nahisi kama vina tumia majina ya kike...
5 Reactions
20 Replies
374 Views
Sikuwa na lengo ka kuanzisha uzi katika muda mbovu kama huu, ila nimeshindwa kujizuia. Kelele nilizoziona kwa wingi ni juu ya kufunga ndoa au kutokufunga ndoa; lakini je, tunataka watu wafunge...
27 Reactions
102 Replies
10K Views
Daah! Wakuu sisi tunaoishi na SINGLE MOTHERS tuwe makini sana. Mwenzetu huko Afrika Kusini aliyekuwa akiishi na single mama yamemkuta. Kaamriwa kuendelea kulipia matunzo ya watoto wa single mama...
1 Reactions
21 Replies
607 Views
Eti, "...mwenye hofu ya mungu..." Kwa nini mungu anaogopwa hivi? πŸ€”. Seran.
9 Reactions
97 Replies
842 Views
Daah Nakutana na vituko gani sijui Huyu sasa ni Muhaya yaani kwa namna anavyojisifia ananikata stimu Sasa kuna haja gani ya mwanaume kuanza kujisifiasifia mara nina mabiashara mara mahela...
17 Reactions
96 Replies
2K Views
Yaani nilikuaga nikitongoza demu lazima anichomolee Sasa hivi nimeanza mazoezi kitambi kimetoka napiga pamba Kali aisee huwezi amini wakuu mpaka wake za watu wananishobokea nilikua najiona na...
5 Reactions
31 Replies
760 Views
Wakati mwingine inabidi uwe gentleman unayemjali mpenzi wako, kumnunulia maua au zawadi ndogo. Hii sio simping, ni kuwa gentleman. Kumfungulia mpenzi wako mlango au kumsaidia kubeba vitu vyake...
3 Reactions
31 Replies
717 Views
Hakuna watu wanaongoza kucheat kwenye mahusiano kama wanawake !!
1 Reactions
5 Replies
283 Views
Kuna jambo nimekuwa nikiliangalia sana kwenye mahusiano ya siku hizi. Dunia imebadilika, na hata namna ya kuanzisha mahusiano imebadilika. Zamani kulikuwa na kitu kinaitwa kutongoza. Mwanaume...
23 Reactions
171 Replies
3K Views
Siku ya jumanne niliamua kuokoka na kuacha uovu wote, jana nikiwa njiani kutoka kazini nikasimamishwa na mdada aliyekuwa anaelekea uelekeo ninao elekea akaomba nikamwache sehemu fulani, basi...
27 Reactions
89 Replies
7K Views
Usiumizwe sana na marafiki wa ukubwani Usiwaamini sana marafiki wa ukubwani Wachache sana huwa wakweli na wasio na agenda kificho Marafiki wa kukutana high school Marafiki wa kukutana vyuoni...
71 Reactions
179 Replies
13K Views
β€’Mimi Kuna siku tumbo liliunguruma akasema nifundishe na Mimi β€’Siku nyingine akaniambia eti nikimuacha atakunywa maji ya mvua afe β€’Juzi hapa akaniambia anatoka mara moja kumbe kaenda dubai
2 Reactions
8 Replies
281 Views
Haya mapenzi yanatesa sana,nimeamua ntafute hela maana nikijikita huko nnapoteza mal nlizo nazo.Ila nkiwa na hamu ntapg nyet hayo mambo yantok
2 Reactions
9 Replies
238 Views
Leo kuna sehemu fulani nilikuwa nimekaa zangu nakunywa soda. Karibu yangu kulikuwa na baba mmoja wa makamo kidogo, alikuwa meza ya pembeni anakunywa pombe na tayari alikuwa amelewa chakalii...
4 Reactions
22 Replies
652 Views
𝗗𝗔𝗗𝗔 𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 π—˜π—Ÿπ—”, π—žπ—¨π—’π—Ÿπ—˜π—ͺ𝗔 π—¦π—œπ—’ π—”π—π—œπ—₯𝗔. Dada hatakama maisha magumu na huna kazi ila usiharakie kuolewa kama back-up ya kupata msaada wa mume. Olewa kama ni mapenzi na mipango ya pamoja kati yako na...
9 Reactions
65 Replies
930 Views
Kuna kidume kinalalamika wanawake wako tayari kutoa penzi la bure kwa wanaume tajiri au maarufu wakati kwa mafukara na wavuja jasho wanawabania wakitaka chochote kitu kwanza! Ni jambo linalotia...
4 Reactions
25 Replies
475 Views
Huyu dada namkubali. Sana Najma Paul mwambieni jamani ucheshi wako lmimi ni shabiki wako, NAKUPENDA sana Mimi kijana wa hovyo sijui umeolewa Sina kitu Sina hela, Mimi ni kafwebe 😞
9 Reactions
134 Replies
3K Views
Let's be short and clear... Kama kijana, unawezaje kukabiliana na wimbi kubwa la ushawishi wa wanawake wa Rika zote eneo lako la kazi, hasa ukiwa mgeni kazini? Unawezaje kuepuka bila kuvunja...
5 Reactions
15 Replies
362 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…