Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kila nkipita kitaa wananizungumzia,yan mdog wako anaoa mbele yako. Hata humu jukwaan wamenisema vibaya baada ya ule uzi wa bora wa kuwa...
9 Reactions
66 Replies
794 Views
Hofu yangu kubwa ni kuendelea kukaa single naona kama sijakamilika bila kuwa kwenye mahusiano wala kuwahi kuchakata mbususu hadi namaliza, naamini kuna jf experts mliowahi kuvuka hii hatua...
3 Reactions
14 Replies
348 Views
Nyota yake imeng'aa sana, hayupo kwenye mfumo Lakini imani yangu kwake ni kuwa atashinda urais 2030
3 Reactions
22 Replies
253 Views
Wakuu, Hali ni mbaya kila pembe nchini,ukiwa mji wowote ktk nchi hii huwezi kutembea mita hamsini bila kukutana na mwanamke aliyevaa nguo fupi na ya kutia kinyaa na aibu kwa watazamaji. Unakuta...
8 Reactions
71 Replies
3K Views
Kuna jamaa kitaa ni bodaboda ana mke na mtoto mmoja, mke wake alipoondoka kwa kugombana,jamaa sasa amekuwa mtu wa mawazo kila muda,anakuja na kujiinamia tu, Mipangilio wa maisha yake imebadilika...
8 Reactions
35 Replies
619 Views
Natafuta mwanamke mwenye umbile la asili sio surgery awe na tako kubwa asiwe amejichubua awe mzuri wa sura na tabia njema Asiwe mzanaki, asiwe mvivu wa kufanya kazi Ajue kulea watoto Awe na...
2 Reactions
15 Replies
367 Views
Mbona mmeanza kutuogopesha wajamene Yaan kila ukifingua fb unakutana na sijui unatatizo la kuwahi kutandani Una tatixo la mashine kulegeaaaa Wengine vidada nahisi kama vina tumia majina ya kike...
5 Reactions
20 Replies
374 Views
Sikuwa na lengo ka kuanzisha uzi katika muda mbovu kama huu, ila nimeshindwa kujizuia. Kelele nilizoziona kwa wingi ni juu ya kufunga ndoa au kutokufunga ndoa; lakini je, tunataka watu wafunge...
26 Reactions
102 Replies
10K Views
Daah! Wakuu sisi tunaoishi na SINGLE MOTHERS tuwe makini sana. Mwenzetu huko Afrika Kusini aliyekuwa akiishi na single mama yamemkuta. Kaamriwa kuendelea kulipia matunzo ya watoto wa single mama...
1 Reactions
21 Replies
607 Views
Eti, "...mwenye hofu ya mungu..." Kwa nini mungu anaogopwa hivi? 🤔. Seran.
9 Reactions
97 Replies
841 Views
Daah Nakutana na vituko gani sijui Huyu sasa ni Muhaya yaani kwa namna anavyojisifia ananikata stimu Sasa kuna haja gani ya mwanaume kuanza kujisifiasifia mara nina mabiashara mara mahela...
17 Reactions
96 Replies
2K Views
Yaani nilikuaga nikitongoza demu lazima anichomolee Sasa hivi nimeanza mazoezi kitambi kimetoka napiga pamba Kali aisee huwezi amini wakuu mpaka wake za watu wananishobokea nilikua najiona na...
5 Reactions
31 Replies
758 Views
Wakati mwingine inabidi uwe gentleman unayemjali mpenzi wako, kumnunulia maua au zawadi ndogo. Hii sio simping, ni kuwa gentleman. Kumfungulia mpenzi wako mlango au kumsaidia kubeba vitu vyake...
3 Reactions
31 Replies
716 Views
Hakuna watu wanaongoza kucheat kwenye mahusiano kama wanawake !!
1 Reactions
5 Replies
280 Views
Kuna jambo nimekuwa nikiliangalia sana kwenye mahusiano ya siku hizi. Dunia imebadilika, na hata namna ya kuanzisha mahusiano imebadilika. Zamani kulikuwa na kitu kinaitwa kutongoza. Mwanaume...
23 Reactions
171 Replies
3K Views
Siku ya jumanne niliamua kuokoka na kuacha uovu wote, jana nikiwa njiani kutoka kazini nikasimamishwa na mdada aliyekuwa anaelekea uelekeo ninao elekea akaomba nikamwache sehemu fulani, basi...
27 Reactions
89 Replies
7K Views
Usiumizwe sana na marafiki wa ukubwani Usiwaamini sana marafiki wa ukubwani Wachache sana huwa wakweli na wasio na agenda kificho Marafiki wa kukutana high school Marafiki wa kukutana vyuoni...
71 Reactions
179 Replies
13K Views
•Mimi Kuna siku tumbo liliunguruma akasema nifundishe na Mimi •Siku nyingine akaniambia eti nikimuacha atakunywa maji ya mvua afe •Juzi hapa akaniambia anatoka mara moja kumbe kaenda dubai
2 Reactions
8 Replies
281 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…