Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Sifa za baby wangu😅😅 nimtakae: Muislam Kuanzaia miaka 34 na kuendelea Mrefu wastani Mstaraabu na mcheshi Ukiwa na watoto sawa Aijue dini kiasi *Sifa zangu ni miaka 34, mweupe kiasi, nina mtoto...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
  • Redirect
Nyumba nyingi wamebaki wabibi na wamama zaidi endapo mmoja ameondoka. Najiuliza labda huenda wanaume wanafight sana kuliko wanawake. Nyumba jirani wabibi ndio wameishi miaka mingi zaidi na...
6 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mods, hili sio tangazo na wala mimi sio mganga wa kienyeji bali nafahamu mitishamba inayoweza kumfanya mwanamke ashike ujauzito, hivyo naomba msiufute huu uzi muhimu kwa WATANZANIA. Wakuu, kama...
0 Reactions
Replies
Views
Mwanaume kuzin ,maana unaujinasi mwili wako.na kufanya ww kuwa mtumwa wa ngono waza kutaft mungu,zinaa inua nyota yako unaweza...
2 Reactions
5 Replies
149 Views
Kuna bibie nilikua namtafuna hapa,sasa usiku kucha alikua analalamika eti uume wangu ni mkubwa sana. Sasa naomba kuuliza ,uume mkubwa huwa unaanzia size gani
5 Reactions
56 Replies
2K Views
Mko poa watu wa humu? Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa. Je analika au haliki?
9 Reactions
129 Replies
7K Views
Wanaume wa dasalama nani kawaroga inakuje unalipa litita cha 50k kwenda kumsikiliza mwanaume ambae alinyimwa papuch kwa wiki mbili mpaka aliponunua simu ndo siku hiyo akaonjeshwa papuch? Mengine...
5 Reactions
10 Replies
312 Views
Naomba kuuliza, kumtongoza mke wa mtu na mumewe akajua ni kosa kisheria akikushitaki?
3 Reactions
7 Replies
295 Views
Mapenzi ila ni mazuri kama ushafikia malengo yako. Kuna rafiki yangu ambaye alikuwa akinieleza, kuwa tangu azaliwe hajawai shiriki mapenzi na saivi yupo 23yrs Siyo kama hana marafiki wa kike...
4 Reactions
6 Replies
314 Views
Yani, waamasai ndilo kabila lenye wanawake wenye heshima, na ukioa mmaasai atakuheshimu kweli kuliko ukikimbizana na wachaga wasioelewa somo. Mimi naona bora mmasai kuliko mchaga...
7 Reactions
51 Replies
864 Views
Yani uyo mwanamke kakaa kijanja anajua kwa madhaifu aliyonayo ukimfunua tu mara moja utotaka kurudia tena ndo maana anakunyima iyo ni defensive mechanism yake Mwanamke anayejiamini na uanamke...
4 Reactions
49 Replies
904 Views
Binadamu amekuwa na vitu vyake anavyovipenda sana na vingine kuvichukia sana. Vipo anavyovipenda kidogo na vingine anavichukia kidogo, lakini vipo ambavyo hajui kama anavipenda ama anavichukia...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Kichwa cha Uzi: Jinsi ya kutongoza wanawake ( mbinu za ndani sana hakuna mwanamke atakataa ) kabla ya kuanza kuandika na kushusha nondo naomba radhi kwakua siku za karibuni sikwepo sana online...
10 Reactions
88 Replies
2K Views
Unaishi peke yako. Huna rafiki wa karibu, sasa ikatokea umepata Changamoto ya kiafya kama kuugua Ghafla usiku au kuumia bahati mbaya Mnawezaje kupata usaidizi wa dharura? Au ndio ile ku adapt...
8 Reactions
36 Replies
587 Views
Mambo ya kushangaza kabisa, mbele ya mchungaji mwanamke ni mpole, mnyenyekevu, anafunga mdomo wake, akisikiliza zaidi kuliko kusema. Hata akisema maneno ni machache tu....Ameen...amina... Njoo...
3 Reactions
5 Replies
208 Views
Hivi sasa kinachoendelea huko mitandaoni ni kelele kwamba Mheshimiwa flani kaachana na mke wake baada ya DNA kuonyesha mtoto si wa kwake, Hakuna chanzo rasmi kilichothibithisha kwa uhakika kama...
14 Reactions
87 Replies
3K Views
Kibaka akitaka kumwibia mwanamke, kwanza kabisa ataangalia kama ameongozana na mwanaume. Muuza magari akitaka kumuuzia mwanamke gari bovu au kumpiga kwenye bei, ataangalia kwanza kama yupo na...
14 Reactions
38 Replies
892 Views
Watu wengi sana wanatumia huo mfumo, maana hakuna gharama, n kuvuta tu la kwako bila yeyote kujua. Hata mimi nimesogeza la kwangu, hatatujamaliza wiki mbili tumeachana...
5 Reactions
13 Replies
327 Views
Back
Top Bottom