Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Chama cha Wanasheria nchini Kenya (LSK) kimemkosoa vikali Waziri wa Mambo ya Ndani, Kipchumba Murkomen, kwa kutoa kauli inayopingana na uamuzi wa Mahakama Kuu uliopiga marufuku polisi kuficha...
1 Reactions
2 Replies
349 Views
Hatimaye Madaktari nchini Kenya wamepata ushindi mkubwa baada ya serikali kuwalipa malimbikizo ya mwisho ya mishahara ya mwaka 2017–2024. Hatua hii inahitimisha mzozo wa miaka saba kati ya Chama...
3 Reactions
4 Replies
576 Views
In Nairobi’s Westlands district, 24-year-old Grace Wanjiku checks her Bitcoin wallet instead of M-Pesa. A trained economist without a formal job, she survives on freelance graphic design earnings...
1 Reactions
2 Replies
560 Views
Wanachama wa Chama cha Wahadhiri wa Vyuo Vikuu (UASU) wameanza mgomo wao licha ya Hazina ya Taifa kutoa KSh. 2.5 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa awamu ya pili ya mkataba wa pamoja wa...
1 Reactions
2 Replies
423 Views
Mahakama Kuu ya Kenya imeamuru kukamatwa kwa raia wa Uingereza anayetuhumiwa kumuua Agnes Wanjiru karibu na kambi ya mafunzo ya jeshi la Uingereza huko Nanyuki miaka 13 iliyopita. Mwili wa Agnes...
1 Reactions
2 Replies
372 Views
Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF), kupitia taarifa iliyotolewa Jumapili, Septemba 14, linasema kuwa zoezi hili litalenga kuajiri Wakandarasi wa Huduma za Kawaida (GSO) – kwa kawaida na wahitimu wa...
1 Reactions
3 Replies
447 Views
Ripoti mpya ya usalama wa chakula nchini Kenya, inaonyesha kuwa karibu watu milioni mbili katika Kaunti kame nne za Kaskazini Mashariki mwa Kenya, wanakabiliwa na Uhaba mkubwa wa chakula...
2 Reactions
4 Replies
405 Views
Bilionea wa Tanzania, Rostam Aziz amepiga kizuizi cha kisheria nchini Kenya, ambapo mahakama imekataa kuondoa amri ya kufungia kiwanda chake cha gesi ya petroli iliyoyeyushwa yenye thamani ya Sh16...
4 Reactions
9 Replies
864 Views
Upinzani Umeungana umetuma orodha ya madai kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), wakidai kuwa tume hiyo imekiuka masharti ya Katiba. Kupitia barua yao, upinzani umesema kuwa kufichua taarifa...
0 Reactions
0 Replies
316 Views
Serikali ya Kenya, imeanzisha sheria mpya kudhibiti sekta ya boda boda kutokana na kuongezeka kwa ajali na uhalifu unaohusishwa na waendeshaji wa pikipiki, ikiwemo visa vya kuchoma magari baada ya...
2 Reactions
2 Replies
433 Views
Moja ya msafiri wa ndege ya Kenya Airways ameonesha uchakavu wa baadhi ya vitu vilivyomo kwenye ndege hiyo vikiwa vimechakaa na kuharibika. Ujumbe wa abira "Kenya Airways gave us trauma bonding...
1 Reactions
6 Replies
575 Views
Sherehe ya mazishi katika eneo la Kitutu Chache Kaskazini iligeuka vurugu baada ya Wabunge wawili, Japheth Nyakundi (Kitutu Chache Kaskazini) na Anthony Kibagendi (Kitutu Chache Kusini), kushikana...
1 Reactions
3 Replies
356 Views
Rais William Ruto: Watu wengi hawaelewi kwa nini nafanya kazi kwa bidii kubadilisha Kenya. Baadhi wanasema nafanya mambo mengi sana katika muhula wangu wa kwanza kiasi kwamba ningesukuma miradi...
1 Reactions
2 Replies
331 Views
Kenya imeshika nafasi ya pili barani Afrika kwa ugumu wa wakopeshaji wa kidijitali kukusanya madeni, ikitanguliwa na Nigeria na kufuatiwa na Uganda, kwa mujibu wa Acorn Research. Licha ya kuwa...
1 Reactions
7 Replies
460 Views
Polisi jijini Nairobi wanachunguza kisa ambapo Wakili maarufu katika Kaunti ya Nairobi Mathew Kyalo Mbobu, alipigwa risasi na kuuawa na watu wasiojulikana Jumanne jioni. Mbobu alimiminiwa risasi...
2 Reactions
2 Replies
368 Views
Jeshi la Polisi jijini Nairobi limewakamata takribani washukiwa 300 katika msako mkubwa wa kuwakabili wezi wa mitaani na uhalifu wa usiku unaoendelea kushamiri katika eneo la katikati ya jiji...
1 Reactions
2 Replies
357 Views
The auction of the first set of Eliud Kipchoge’s non-fungible tokens (NFTs) closed on Thursday 23.00 Kenyan time and was sold for a total of 17.9837 in Ethereum currency, equivalent to Ksh...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Taifa la Kenya lina jamii mchanganyiko. Ila moja ya jamii ambayo ni ya kipekee sana ni Wasomali ambao kiuhalisi walijikuta wako Kenya kutokana na sababu za kikoloni. Ila baada ya Kenya kupata...
13 Reactions
18 Replies
1K Views
Haya sasa deni la taifa limefika trillion 12.1, kila mkenya anadaiwa 208k
1 Reactions
8 Replies
512 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…