Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Kenya imeshika nafasi ya pili barani Afrika kwa ugumu wa wakopeshaji wa kidijitali kukusanya madeni, ikitanguliwa na Nigeria na kufuatiwa na Uganda, kwa mujibu wa Acorn Research. Licha ya kuwa...
1 Reactions
7 Replies
433 Views
Polisi jijini Nairobi wanachunguza kisa ambapo Wakili maarufu katika Kaunti ya Nairobi Mathew Kyalo Mbobu, alipigwa risasi na kuuawa na watu wasiojulikana Jumanne jioni. Mbobu alimiminiwa risasi...
2 Reactions
2 Replies
342 Views
Jeshi la Polisi jijini Nairobi limewakamata takribani washukiwa 300 katika msako mkubwa wa kuwakabili wezi wa mitaani na uhalifu wa usiku unaoendelea kushamiri katika eneo la katikati ya jiji...
1 Reactions
2 Replies
334 Views
The auction of the first set of Eliud Kipchoge’s non-fungible tokens (NFTs) closed on Thursday 23.00 Kenyan time and was sold for a total of 17.9837 in Ethereum currency, equivalent to Ksh...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Taifa la Kenya lina jamii mchanganyiko. Ila moja ya jamii ambayo ni ya kipekee sana ni Wasomali ambao kiuhalisi walijikuta wako Kenya kutokana na sababu za kikoloni. Ila baada ya Kenya kupata...
13 Reactions
18 Replies
1K Views
Haya sasa deni la taifa limefika trillion 12.1, kila mkenya anadaiwa 208k
1 Reactions
8 Replies
475 Views
Aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Wefula Chebukati aliamua kukata jina la mgombea Urais asiyeona Dr Kigame bila sababu za msingi Dr Kigame akaenda mahakamani na Mahakama ikamtaka...
2 Reactions
3 Replies
439 Views
Kama ulipata kutazama tamthilia ya Money Heist basi jina la Álvaro Morte sio geni masikioni kwani huyu ndio alikuwa Mastermind kupita maelezo wa michongo yote ya kupiga pesa, Morte tunamfahamu...
31 Reactions
101 Replies
5K Views
A few years ago Kenya announced grand plans to construct Africa's largest infrastructure dubbed LAPSSETT which would see a modern port in Lamu, then poised to be the largest in Africa, served with...
3 Reactions
89 Replies
17K Views
Mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Kenya, Boniface Mwangi, ametangaza kuwania urais katika uchaguzi wa mwaka 2027. Mwangi, ambaye amekuwa mstari wa mbele kuongoza maandamano ya kupinga...
1 Reactions
6 Replies
884 Views
Mamlaka nchini Kenya imeweka marufuku ya kutotoka nje kwa siku saba (7) kuanzia jioni hadi alfajiri katika baadhi ya sehemu za kaunti ya Nakuru baada ya kuanza kwa ghasia za kikabila kwenye eneo...
1 Reactions
2 Replies
413 Views
Mamlaka za wanyamapori nchini Kenya zimeanzisha uchunguzi baada ya video za mtalii wa Kihispania kusambaa mtandaoni zikimuonyesha akimimina bia kwenye mwembe wa ndovu. Tukio hilo lililofanyika...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Leo tu taasisi ya kupambana na Rushwa imewakamata Magavana watatu na wako korokoroni hadi kesho watakapopandishwa kizimbani Waziri wa Afya amekabidhi kwa DCI mafaili ya zaidi ya mafisadi 100...
1 Reactions
0 Replies
335 Views
Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kusitishwa kwa muda ujenzi wa kanisa la kudumu au jengo lolote la kidini katika majengo ya Ikulu, nchini humo. Agizo hilo la muda pia linazuia ujenzi kama huo...
3 Reactions
5 Replies
827 Views
Nimefuatilia hii hadithi, nadhani ni kweli kuwa jamaa huyu ni mtoto wa hayati mzee Jomo. https://www.youtube.com/watch?v=B9GsiVtTRek
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakenya wanaopenda vinywaji vya kilevi wamepata pigo kubwa baada ya Serikali kuchukua hatua ya kupiga marufuku uuzaji wa pombe katika maduka makubwa (supermarkets), migahawa (restaurants)...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Rostam Aziz speaks out on the difficulty of Tanzanians investing in Kenya WEDNESDAY MAY 05 2021 Mr Rostam Aziz in an interview with BusinessWeek PHOTO|SYRIACUS BUGUZI Summary Rostam was...
22 Reactions
121 Replies
20K Views
Maseneta sasa wametoa vitisho vya kuanzisha mchakato wa kuwapigia kura ya kutokuwa na imani (impeachment) Maspika wa Bunge la Kitaifa na Seneti iwapo hawatamuita Rais William Ruto kufika mbele ya...
1 Reactions
4 Replies
559 Views
Back
Top Bottom