Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Sio wageni kuhusu hii dini ya freemasonry ambayo ikijitapa kuwa inanguvu ya pesa na watu maarufu. Huko nairobi wana deni la pango nyumba za serikali mpaka kufungiwa jumba lao maeneo ngara.
2 Reactions
5 Replies
577 Views
1. Ruto aKasema waliotekwa wote watapatikana, na wakapatikana wote 2. Muthuli anasema NIS inahusika kumteka mtoto wake na baadaye akapatikana 3. Activisits call upon Ruto to reveal abductors...
0 Reactions
11 Replies
511 Views
NTV Kenya: Wamepost video za walinzi wa aliyekuwa makamu wa Rais wa Kenya wakifyatua risasi hewani kuwatawanya wahuni waliovamia na kuleta vurugu wakati Gachagua akilaunch chama chake. Riggy G...
1 Reactions
6 Replies
515 Views
Wakuu, Polisi waliovaa kiraia wamevamia nyumba ya Gavana wa Trans Nzoia, George Natembeya, iliyoko Milimani, Kitale, mapema Jumatatu katika oparesheni inayodaiwa kuhusisha Tume ya Maadili na...
0 Reactions
2 Replies
301 Views
Mbunge wa Kenya Anatrend kwenye mitandao, hasa huko Nigeria. https://youtu.be/tBy_aGjSDro?si=jRPx2M-pLfpGBtyu
6 Reactions
15 Replies
818 Views
Wabunge katika Seneti ya Marekani wahoji kuhusu uaminifu wa Kenya kwa Marekani kufuatia ziara ya hivi karibuni ya Rais William Ruto nchini China. Katika muktadha wa vita vya kibiashara kati ya...
0 Reactions
3 Replies
695 Views
https://www.channelten.co.tz/raia-wa-100-kenya-wakamatwa-mara/ Kukamatwa kwa mamia ya wakenya huko ktk mkoa wa Mara, Tanzania kutaka kujiandikisha kuwa wapiga kura, kunaweza kuwa na maana mbili...
14 Reactions
168 Replies
13K Views
Inawezekana kukawa na chaguzi ndogo maana wabunge wa sasa wanaweza kujiuzulu especially in Mount Kenya area kwa kujiunga na Gachagua na hivyo kuwepo na ulazima wa chaguzi ndogo. My take: 1...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Serikali ya Kaunti ya Nairobi imefunga Jumba la Grand Lodge linalotumika kama Ukumbi wa ibada kwa wa waumini wa Freemasons wa Afrika Mashariki lililopo katikati mwa jiji kutokana na na malimbikizo...
5 Reactions
67 Replies
4K Views
Hatma ya washukiwa wa shambulizi dhidi ya jengo la Westgate kujulikana Jumanne hii Hukumu ya washukiwa wa mlipuko wa kigaidi katika jengo kubwa la maduka la Westgate jijini Nairobi mwaka 2013 na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waangalizi wa Uchaguzi nchini Kenya (Elections Observation Group – ELOG) wameonesha wasiwasi wake kuhusu hatua ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), kuwasilisha ripoti ya mchakato wa Uteuzi...
0 Reactions
1 Replies
547 Views
kuna kipindi nafatalia youtube kupitia Easterntv na bado kinaendelea nimeogopa sana tena swala la watoto. Najua wengi wa watanzania mtoto akijua kutembea unamuacha kama kuku ili mradi tu jioni...
3 Reactions
8 Replies
502 Views
Hii gari ya Kenya aki walahi ni beautiful sana. Mobius ni gari inayoundwa Kenya. #BuyKenyaBuildKenya #MadeInKenya Wengine kutoka Kusini waendelee tu kuunda gari linaloitwa nyumbu.
18 Reactions
76 Replies
7K Views
Katika hali ya kupiga butwaa, wengi mido inkamu Kenya yajivunia hatua ya watu wa vijiji vyao kujisaidia vyooni. Tuwapongeze majirani jamani.
15 Reactions
83 Replies
11K Views
Mtu mmoja amemrushia kiatu Rais wa Kenya William Ruto wakati akizungumza na wananchi wa Kehancha, Kitongoji cha Migori ambapo leo alikuwa anazindua mradi wa nyumba 298 zenye nafuu kwa wananchi...
10 Reactions
125 Replies
7K Views
Alipotupiwa kiatu, George Bush alicheka tu japo dent was done. Je kwanini watu wanafikia hatua hii? Je, wahusika wanajifunza nini? Je nini kifanyike? Je, kwanini watawala wanajiachia na...
0 Reactions
3 Replies
418 Views
Hawa walimuua mtoto kwa kumpiga risasi katika chaguzi za 2017. Kwa vile Kenye to a great or lesser extent ni democratic country, polisi leo wamefikishwa mahakamani kujibu mauaji na mateso ya...
0 Reactions
2 Replies
339 Views
Since the EACOP is gaining momentum, I would like to give my suggestion of having a single thread that will accommodate all matters regarding to development of a project. This will cub the...
10 Reactions
664 Replies
51K Views
Taarifa za hivi punde zinasema kwamba, watu wengi wameuliwa baada ya Alshabaab kuvamia basi la abiria jioni hii huko katika mkoa wa Wajir. Wakati tunaendelea kuomboleza mamia ya wakenya waliokufa...
2 Reactions
45 Replies
4K Views
Tazama video https://youtu.be/CuEc47jKEU0?si=ZURPWqS0Efdf8YdK
0 Reactions
1 Replies
299 Views
Back
Top Bottom