Mhubiri mwenye utata kutoka Kenya, Gilbert Deya, amefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea Jumanne jioni karibu na mji wa Kisumu, magharibi mwa Kenya
Kwa mujibu wa taarifa ya polisi...
Huduma ya Polisi ya Taifa (NPS) imepokea kwa wasiwasi mkubwa tukio la kupigwa risasi kwa raia asiye na silaha na askari wa polisi aliyekuwa akitumia bunduki ya kudhibiti ghasia, tukio lililotokea...
Ni kwasababu hawajui wanachotaka, hawamjui aduai yao au hawaelewi namna bora ya kudai mabadiliko wanayohitaji na badala yake wanajikita kwenye uharibifu wa samani za umma ambazo baadae...
Mamlaka Huru ya Uangalizi wa Polisi (IPOA) imemuita Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Eliud Lagat, kuhojiwa kuhusiana na kifo cha mwalimu na mwanablogu Albert Ojwang, aliyefariki akiwa kizuizini...
KONSTABO James Mukhwana, ambaye kwa sasa anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya kikatili ya mwanablogu na mwalimu Albert Ojwang’, hatimaye amevunja ukimya na kufichua kwa kina kilichotokea usiku wa...
Katika LIVE moja iliokua inaendelea kule mjini TIKTOK wakati wengine wakiwa na mabango vikundi kadhaa vilkua bussy na uizi katika mduka ya Smoothers, Polisi wameingilia kati lakini walikua...
Kwa kinachoendelea hivi sasa na vijana kwa ubishi mkashindwa kumsikiliza Gachagua akiwaonya juu ya mauji kutokea katika hizi vurugu
Wakina Martha Karua mpo kimya, waokoeni Hawa vijana dhidi ya...
Baba wa marehemu Albert Omondi Ojwang’, Meshack Ojwang’, amesema kuwa familia inaendelea kuzingatia kumsafirisha mtoto wao mahali pa mwisho pekee tu baada ya kuthibitishwa kuwa haki imekamilika...
Kiongozi wa Chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amekataa ombi la Naibu Rais Kithure Kindiki la kumuomba na kumshawishi ajiunga na utawala wa Rais Ruto
Haya yanajiri baada ya DP Kindiki kujaribu...
Mamlaka ya Uangalizi wa Polisi Huru (IPOA) nchini Kenya imewakamata raia watatu kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha Albert Ojwang’, aliyefariki katika mazingira ya kutatanisha akiwa mikononi mwa...
Naibu Inspekta Jenerali (DIG) wa Huduma ya Polisi ya Kenya, Eliud Kipkoech Lagat, ametangaza rasmi kujiondoa kwa muda kazini wakati uchunguzi ukiendelea kuhusu kifo tata cha mwanablogu Albert...
Polisi wa kutuliza ghasia wasababisha kifo cha kijana mmoja aliyekuwa kwenye maandamano ya kudai haki kifo cha Ojwang na hivyo kuongeza hasira ya wananchi dhidi ya ukatili wa polisi
Video...
An artistic impression of JW Marriott Masai Mara Lodge’s junior suite tent bedroom. PHOTO | COURTESY | MARIOTT INTERNATIONAL
Global hotel chain Marriott International has signed an agreement with...
Lamu Port will on Thursday come to life as 204-metre long Mv CAP Carmel, a Denmark-based shipping line, with general cargo from Port of Dar es Salaam, docks on its way to Salalah in Oman.
Mv...
Rais wa Kenya, William Ruto, amezungumza kwa msisitizo kuhusu siasa za upinzani, akisema kuwa serikali haiwezi kuachia madaraka kwa watu ambao mpango wao pekee wa kisiasa ni kauli ya “Ruto must...
Wakuu,
Kwa niaba ya JF, nitahakikisha mnafahamu kinachojiri toka hapa Kenya ambapo uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika hapo kesho.
Tayari Raila Odinga ametangaza kuwa Muungano wa NASA utakuwa...
Waandamanaji na vijana wenye hasira kali wamemfukuza kwenye mochwari mbunge wa Wanawake wa Kaunti ya Homa Bay, Joyce Atieno, anayejulikana kama 'Bensouda'.
Bensouda alikuwa ameendaa kutazama...
https://www.youtube.com/watch?v=Wn-0pGD3hwg
Mamia ya waandamanaji wamekusanyika katika maeneo mbalimbali ya jiji la Nairobi na miji mingine nchini Kenya wakipinga mipango ya serikali kuhusu...
Video ya ulinzi (CCTV) iliyopatikana hivi punde imethibitisha kuwa Albert Ojwang’ alikuwa tayari amefariki wakati alipofikishwa katika Hospitali ya Mbagathi na maafisa wa polisi kutoka Kituo Kikuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.