Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Gachagua amesema hatua hiyo ni Usaliti kwa Jamii yao hivyo kuwataka watu kutosikiliza Nyimbo zao, kuwa "unfollow" kwenye Mitandao ya Kijamii na kutowaalika kutumbuiza katika matamasha na vilabu...
0 Reactions
1 Replies
466 Views
Taharuki imetanda miongoni mwa waumini wa Kanisa la Anglikana (ACK) St. Matthew’s Mutithi lililopo Kirinyaga nchini Kenya, baada ya watu wasiojulikana kuvunja na kuiba mali ya kanisa, huku...
1 Reactions
10 Replies
556 Views
Nipo mjini huko youtube, wanaharakati wachache waliokamatwa huku kwetu wamezua balaa na umoja wa ajabu kukemea tukio hilo, huwa tunasega IME - BACKFIRE. Kweli ile nchi kuiongoza ni ngumu, Kuna...
2 Reactions
10 Replies
595 Views
Jengo hili ndilo litakuwa tallest residential tower in Africa. Yaani jengo refu zaidi ya makaazi Africa. Kuna watu watakuwa wakiishi kuanzia floor ya chini hadi ya juu kabisa ya 44. Jengo lenyewe...
21 Reactions
293 Replies
38K Views
Mbunge wa Juja, George Koimburi, amepatikana akiwa amejeruhiwa vibaya kwenye shamba la kahawa Kaunti ya Kiambu. Koimburi,ambaye ni mtetezi mkubwa wa Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua...
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Poleni sana majirani, ila hii Corona imewaonyesha uwezo wenu na udhahifu wenu kama nchi katika kukabiliana na majanga, sasa ninadhani kwa wakenya wengi wanajua kwamba kwa kipindi kirefu walikua...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
"Kwa Roho ya Afrika Mashariki, Tusaidieni Kuadhibu Wanaharakati Wasiotii," Seneta Cherargei Aisifu Tanzania kwa Kushughulikia Wanaharakati wa Kenya ====================== In the spirit of East...
1 Reactions
2 Replies
273 Views
Yaani kweli kabisa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasimama hadharani, bila aibu, bila busara, na kusema Wakenya ni watovu wa nidhamu? For real? That’s messed up! Mama Samia, hii siyo...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
By Joseph Ludovick Tanzanians are a peace loving people, defined by a history of diplomacy, order, and an unwavering respect for sovereignty. But recent events surrounding the arraignment of...
1 Reactions
4 Replies
720 Views
Aliyekuwa Makamu wa Rais nchini Kenya Mheshimiwa Rigathi Gachagua amesema maisha yake yapo hatarini akimtuhumu Rais William Ruto kuhusika na tishio hilo. Gachagua amesema alipewa taarifa kuwa...
0 Reactions
4 Replies
532 Views
1. Walitangaza nafasi, wakaomba watu.wengi , wakawa shortlisted??? 2. Wakafanyiwa Interview ya wazi, televised kila Mkenya anaona na kusikia 3. Wanampelekea Rais kati ya majina 5???? ateue mmoja...
0 Reactions
1 Replies
270 Views
“Wametembea, wamejaribu kwenda kuleta mchezo wanaoleta hapa katika manchi jirani, nini kimetokea?, tukiambia Waty that Kenya is so democratic they don’t believe it” “Watu wanatoka katika Taifa...
0 Reactions
5 Replies
586 Views
Familia moja katika eneo la Narok, Kenya, imepigwa na butwaa kufuatia kauli ya Rais William Ruto aliyodai katika mkutano wa hadhara kuwa alizungumza na baba yao na kufikia makubaliano kuhusu...
0 Reactions
6 Replies
626 Views
Kumekuwa na mwenendo unaotia wasiwasi katika mitandao ya kijamii, ambapo baadhi ya Wakenya wamejipa mamlaka ya kuingilia na hata kudhalilisha masuala ya ndani ya siasa za Tanzania. Hili si jambo...
4 Reactions
52 Replies
3K Views
Takriban watu watatu wamekamatwa kufuatia tukio la kutupwa kiatu kuelekea kwa Rais William Ruto katika eneo la Kuria Magharibi, Kaunti ya Migori. Soma Pia: VIDEO: Rais Ruto apigwa na kiatu usoni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
KENYA: Serikali imemsafirisha Mmoja wa Viongozi wa NRM, Miguna Miguna kuelekea nchini Canada ikiwa ni saa chache baada ya Majaji kusimamisha kesi zake zote kufuatia Polisi kushindwa kumfikisha...
4 Reactions
105 Replies
16K Views
https://x.com/kenyanwalstreet/status/1920710670007369997?t=7R1hJAOxEGvKDNa-_WPzog&s=19 https://x.com/MwangoCapital/status/1920750699245433156?t=P05PrDyoB4a5_mw6gcL4LQ&s=19 Ethiopia is a drag on...
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Wanaharakati wa kisiasa Morara Kebaso na Kasmuel McOure wameungana kuanzisha harakati ya vijana kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2027. Wanasema kuwa wameweka tofauti zao kando ili...
1 Reactions
1 Replies
455 Views
Nelson Amenya, mtoa taarifa wa Kenya ambaye aliibua kashfa ya mkataba wa uwanja wa ndege wa Adani uliobatilishwa hivi karibuni, ameibuka tena akidai kuwepo kwa mpango mpya wa kukodisha Uwanja wa...
0 Reactions
1 Replies
332 Views
Mashirika Saba Yafungua Kesi Mahakamani Kupinga Kukatizwa kwa Intaneti Nchini Kenya Katika hatua kubwa ya kulinda haki za kidijitali na uhuru wa kikatiba, Shirika la CIPESA (Collaboration on...
0 Reactions
1 Replies
424 Views
Back
Top Bottom