Rais William Ruto ametangaza kuwa serikali yake imevifungia zaidi ya vituo 1,000 vya afya vilivyohusika na udanganyifu dhidi ya Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA). Akizungumza na Wakenya wanaoishi...
Maelfu ya vijana siku ya Alhamisi walivamia na kulichoma kituo cha Polisi cha Mawego kilichopo Rachuonyo Mashariki, Kaunti ya Homa Bay, huku wakibeba jeneza la marehemu mwanablogu Albert Ojwang’...
Vijana nchini Kenya wametambulisha chama kipya cha siasa kilichopewa jina la 47 Voices of Kenya Congress, ambacho tayari kimeingia rasmi kwenye uwanja wa siasa baada ya kusajiliwa rasmi.
Hiki ni...
"Rais Ruto aliniuliza kuhusu Kikosi Maalum cha Mauaji (Special Service Unit) mara tu baada ya kuapishwa, na mimi nilikuwa naisikia kwa mara ya kwanza. Waziri wa Mambo ya Ndani hafahamu kila...
My Take
Technically Wakunya hawana Cha kupoteza ndio maana kuuana kwao ni jambo la kawaida Kwa sababu wana njaa na maisha magumu sana
https://www.instagram.com/p/DLjw1wxqMVh/?igsh=MWw5dzB4c3o5b25o
Rais wa Kenya, William Ruto amesema hatomuomba msamaha yoyote kwa kitendo cha yeye kujenga Kanisa Ikulu ambapo amewashangaa wanaoanza kuleta manenomaneno kwasababu amejenga Kanisa hilo huku...
https://youtu.be/05F_thApmuY?si=2FY_ab04Lot3yoUn
Hili limetafsiriwa tofauti na wananchi waliokuwa wanamsikiliza. Waziri Murkomen ameliambia jeshi la polisi la Kenya kama atatokea mtu anataka...
Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi sana na vurugu zilizotokea wakati wa maandamano nchini Kenya ambapo takriban watu 16 walifariki huku wengine wakiwa na majeraha huku wakitoa wito wa...
Kenya ina vijana wengi sana ambao wameikimbia nchi yao, na wengi wao ni wale wenye elimu na akili nyingi. Hawa waliobaki Kenya hali zao za kiuchumi sio nzuri na hawajui kwanini hali zao kiuchumi...
Naomba tupate clip ya huyu Dada Stella Agara akiongea juu ya utawala ulioshindwa WA Ruto. Dada kashusha nondo vibaya Sana. Ana sema Ruto aondoke kwa kujiuzulu mwenyewe, ikiwa njia zingine...
Ukifika Kenya hakuna story zaidi ya habari za nairobi,Huwa najiuliza maswali serikali ya kenya haiendelezi maeneo mengine zaidi ya nairobi
Maana story zote ni Nairobi,Wakiposti vitu ni vya...
Gavana wa Embu, Cecily Mbarire, amemshambulia vikali aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, akimtuhumu kufadhili makundi yenye vurugu kuingia kwenye maandamano ya vijana hivi karibuni na...
Rais wa Jamhuri ya Kenya na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto, amemteua Meja Jenerali David Kipkemboi Ketter kuwa Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu (Kenya...
Rais William Ruto amepuuza wito unaoongezeka kutoka kwa viongozi wa upinzani wanaomtaka ajiuzulu, akiwataka badala yake waje na mpango mbadala unaotekelezeka badala ya kuchochea vurugu na hali ya...
Hiyo ndio taarifa kutoka nchi jirani ya Kenya kwamba jana kulikuwa na jaribio la kupindua Serikali
Waziri wa mambo ya ndani mh Murkomeni amesema wanasiasa waliofadhili Uhaini huo wanasakwa...
Kenya ni taifa ambalo halijawahi kuupata Uhuru wake hata kidogo. Hata Mzee Jaramongi Odinga alipoandika kitabu chake cha "Not yet Uhuru" alimaanisha lakini walimpuuza.
Wakenya ni wakimbizi kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.