Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Inaonekana wajibu maombi wanakazia kuwa Raila hajatoa ushahidi wa aliyoyasema kama mapungufdu katika uchaguzi. Mfano ametaja kuwa mifumo ya seva ya IEBC iliingiliwa lakini hajatoa ushahidi...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Shirika la ndege la Kenya (KQ) limeripoti kifo cha abiria katika ndege yake kutoka Nairobi-New York. Abiria, kulingana na shirika la ndege, alikufa katikati ya safari ya Alhamisi, Septemba 1...
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Mahakama Kuu imeamuru Tume ya Uchaguzi IEBC kumpa Mgombea Urais Raila Odinga idhini ya kuzipitia na kuangalia Server zote za Kituo cha Taifa cha Kujumlisha Kura za Uchaguzi Mkuu. Pia Mahakama...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Katika yale Maboksi ambayo Azimio waliiomba Mahakama iiamuru IEBC kurudia kuhesabu kura Hakuna Boksi hata moja lililokutwa na dosari! . Kura zilizopo kwenye Maboksi zinalingana na taarifa zilizopo...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Hali ya sintofahamu imezuka kuhusu iwapo Tume ya Uhuru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imewezesha upatikanaji wa seva nane kama ilivyoagizwa na Mahakama ya Juu mnamo Jumanne, Agosti 30. Katika siku...
0 Reactions
1 Replies
834 Views
Julie Soweto, wakili katika timu ya wanasheria wa kiongozi wa Azimio Raila Odinga, amedai kuwa kura 4,463 zilitolewa kutoka kwa mteja wake na kuongezwa kwa Rais mteule William Ruto katika Kaunti...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa mnaofuatilia mnakumbuka wale makamishna 4 wa IEBC walivyotoka saa ya mwisho matokeo yakitaka kutangazwa na kusema hawayatambui Jaji anawauliza mawakili wa Odinga kwa nini muda wote walikuwepo...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Seneta mteule wa Busia Okiya Omtatah Jumatano alidai kuwa kuna zaidi ya kura 500,000 ambazo hazijaelezewa katika takwimu zilizotangazwa na Tume ya uchaguzi baada ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mahakama ya Juu ilisema Alhamisi kwamba IEBC ilitii maagizo ya kuagiza tume hiyo kuruhusu timu ya mlalamishi wa urais Raila Odinga kupata seva zake. Hii ilikuwa baada ya Philip Murgor, wakili...
1 Reactions
0 Replies
828 Views
Wakati wa kusikilizwa kwa kesi ya malalamiko ya uchaguzi wa urais siku ya Jumatano, Orengo aliibua kitendawili cha kihisabati kwa jinsi idadi ya jumla ya wapigakura ilivyorekodiwa na kutangazwa...
1 Reactions
0 Replies
762 Views
Watu wawili wanaoshukiwa kuwa majambazi walifariki katika ajali mbaya ya barabarani eneo la Tiwi Sokoni kaunti ya Kwale Jumatano jioni. .inaarifiwa kuwa wawili hao walifariki papo hapo baada ya...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Nasubiri Barua Yangu ya Kufukuzwa Kazi,' Justina Azungumza Huku Wajackoyah Akizindua Maafisa Wapya wa Chama Chama chaRoots Cha Kenya, kinachoongozwa na Prof. George Wajackoyah kimeteua maafisa...
0 Reactions
0 Replies
413 Views
CHAMA cha Jubilee kimemwandikia Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati kikiomba kupata baadhi ya vifaa vilivyotumiwa katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 kwa madhumuni...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Nimesikia hbr kutoka kwa majirani wenzetu kenya kuwa vijana wawili kutoka Venezuela wamekamtwa kwa kuingia kwenye saver za tume ya uchaguzi IEBC na kuiba kura za odinga HAYO wamelezwa na mawakili...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wabunge walitaka huduma za Urembo na "Massage" zijumuishwe kwenye Vifurushi vya Bima za Matibabu yao ambapo Tume ya Huduma za Bunge (PSC) imekataa na kuwataka kutumia fedha zao wenyewe kupata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Githu Muigai: Waangalizi wote walirudi na hitimisho moja. Huu ulikuwa uchaguzi wa wazi na wazi. Githu Muigai: Ningekuhimiza uwaulize mawakili ikiwa wanafurahia uchaguzi wao wenyewe. Ikiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Dunia nzima na culture zote watu wanaofanana muenekano hupendeleana na kumtenga yule anayeonekana tofauti, siyo sawa lkn ni kawaida, ukienda China ukiwa siyo Mchina watakutenga, Uarabuni ukiwa...
3 Reactions
58 Replies
3K Views
Mahakama ya Juu imeamuru Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) iruhusu Azimio la Umoja kufikia seva zinazotumiwa kutuma matokeo katika Kituo cha Kitaifa cha Kujumlisha Kura ikiwa ni pamoja na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Fred Matiang’i amesema wananchi wamepewa miezi 18 kubadili Namba za zamani na kuweka mpya ambapo magari Milioni 4.8 yaliyosajiliwa yataingia kwenye utaratibu...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Wapenda demokrasia mnaweza kufuatilia kupitia Citizen TV. Tofauti na kesi hii ya Halima Mdee na wenzake MMM anasikiliza halafu ndio anatusimulia! Mungu wa mbinguni awabariki. Updates...
14 Reactions
51 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…