Odinga na Jopo lake la Mawakili Wanaendelea Kuumbuka SCoK

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Katika yale Maboksi ambayo Azimio waliiomba Mahakama iiamuru IEBC kurudia kuhesabu kura
Hakuna Boksi hata moja lililokutwa na dosari!
.
Kura zilizopo kwenye Maboksi zinalingana na taarifa zilizopo kwenye fomu za Matokeo zilizobandikwa Vituoni na taarifa zake kutumwa kwenye tovuti ya Tume!
.
No matter how the lie runs fast but The truth will come to surpass it

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Katika yale Maboksi ambayo Azimio waliiomba Mahakama iiamuru IEBC kurudia kuhesabu kura
Hakuna Boksi hata moja lililokutwa na dosari!
.
Kura zilizopo kwenye Maboksi zinalingana na taarifa zilizopo kwenye fomu za Matokeo zilizobandikwa Vituoni na taarifa zake kutumwa kwenye tovuti ya Tume!
.
No matter how the lie runs fast but The truth will come to surpass it

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna uchaguzi hata mmoja ambao hautakuwa unapingwa makamani nchini Kenya hadi mwisho wa dunia; hii ni kwa sababu mbili:

Mosi Kwa kuwa katiba ya Kenya inaruhusu matokeo kupingwa,mahakamani basi mgombea urais hasa wa pili atakuwa anaenda mahakamani.

Pili, mwafrika mweusi karibia wote huwa hakubali kushindwa uchaguz lazima atatafuta loopholes ili kujustfy kutokubaliana na matakeo ya wapiga kura.
 
Katika yale Maboksi ambayo Azimio waliiomba Mahakama iiamuru IEBC kurudia kuhesabu kura
Hakuna Boksi hata moja lililokutwa na dosari!
.
Kura zilizopo kwenye Maboksi zinalingana na taarifa zilizopo kwenye fomu za Matokeo zilizobandikwa Vituoni na taarifa zake kutumwa kwenye tovuti ya Tume!
.
No matter how the lie runs fast but The truth will come to surpass it

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

IEBC used second set of results forms, Judiciary report reveals​

Thursday, September 01, 2022
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) used a second set of results transmission forms that it resolved with political parties to seal in tamper-proof envelopes prior to the August 9, 2022 Presidential election, a Judiciary report has revealed
Technical teams from the Judiciary were tasked with compiling reports on the recount, and a scrutiny of the Independent Electoral and Boundaries Commission’s (IEBC) servers.

Political parties in July protested at the printing of the second set of forms, prompting the IEBC to call them for a consultative meeting.

Tamper-proof envelopes

In the meeting, it was resolved that the second set of forms would not be used in the elections but sealed in tamper-proof envelopes.
In its report, the Judiciary team says it found nine polling stations where the second set of results forms was used, some of which had discrepancies in their tallying.
The 15 polling stations are in Nandi, Kericho, Mombasa, and Nyandarua. Some tallying discrepancies were noted after the vote recount.

The report states that another six polling stations failed to provide their sets of forms 34A book two.

Some returning officers explained the absence of form 34A book 2 by indicating that the presiding officers used them instead of form 34 book 1. In such cases the team verified the information by looking for the form 34A book 1 to confirm if it was indeed intact for purposes of accountability. The reason given by some returning officers is that some presiding officers mistook the two books because they did not understand the procedure,” the report states.

“Other returning officers had no explanation for the absence of form 34A book 2. They indicated that they had just learned of the anomaly together with the scrutiny. The Kiambaa constituency returning officer explained that her presiding officer used book 2 because he had spoilt book 1. They, however, did not provide the spoilt form 34A book 1 for the team’s scrutiny, and the PSD did not indicate that the form 34A book 2 had been spoilt,” the report further states.
The second set of forms 34A sampled were from Kericho, Kiambu, Bomet and Kakamega constituencies
 
Katika yale Maboksi ambayo Azimio waliiomba Mahakama iiamuru IEBC kurudia kuhesabu kura
Hakuna Boksi hata moja lililokutwa na dosari!
.
Kura zilizopo kwenye Maboksi zinalingana na taarifa zilizopo kwenye fomu za Matokeo zilizobandikwa Vituoni na taarifa zake kutumwa kwenye tovuti ya Tume!
.
No matter how the lie runs fast but The truth will come to surpass it

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Baada ya maswali waliyoulizwa na majaji mawakili wa Ruto na IEBC bado unasimamia kile ulichokiandika mleta mada??
 
Back
Top Bottom