Nahitaji Ramani ya Single room Sebule na jiko

Ulitaka kitu kizuri, fanya haya:
1. Chora chini (roughly) kile unachokiwaza kichwani kwako.

2. Mtafute mchora ramani, mpe huo mchoro wako, mawazo yako, mueleze ukubwa na mazingira ya kiwanja chako. (Patana naye, mpe kazi, msumbue mpaka kupata kile unachokitaka).

Ipo siku utakuja hapa kunishukuru.
 
20220709_105220.jpg
 
Back
Top Bottom