Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Vituo vingi vya mafuta hutumia bati la paa bapa (flat roof) kwa sababu kadhaa za kiufundi na kiusalama: ✅ Usalama wa Moto – Paa bapa husaidia kudhibiti moto kwa urahisi ikiwa kuna dharura. Moto...
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Peace Be Upon Y’all Husika na kichwa Cha Habari Kuna site kimeoteshwa kibanda sasa uwani kumebaki nafasi ambayo plan ikawa iwekwe stand ya kubeba tank la maji la 10,000 ambayo litabebwa na stand...
2 Reactions
40 Replies
17K Views
SERIKALI YASAINI MKATABA UJENZI DARAJA LA JANGWANI, BILIONI 97.1 KUTUMIKA Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa Daraja la Jangwani lenye urefu wa mita 390 na barabara za maungio zenye urefu wa...
2 Reactions
2 Replies
954 Views
Ujenzi wa sasa hauishii tu kwenye muundo wa nyumba bali unapaswa kuzingatia ulinzi na usalama wa mali zako. Hapa kuna mambo muhimu ya kuzingatia ili kuhakikisha nyumba yako iko salama: 🔹 Mambo...
4 Reactions
0 Replies
645 Views
WILAYA YA LINDI YAANZA MBIO ZA MWENGE KWA KISHINDO NA MAFANIKIO Mkuu wa Wilaya ya Lindi- Victoria amepokea na kuanza kukimbiza Mwenge wa Uhuru 26/05/2025 Halmashauri ya Mtama ambayo itafuatiwa na...
0 Reactions
1 Replies
252 Views
Ni nyumba yenye vyumba 3 vya kulala Hapo ni material na ufundi Kama unataka tukujengee Utuchek 0743 257 669 Raman Mahesabu Ujenzi Tuchek Ofisi zetu zipo banana ukonga wa.me//255743257669
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau napenda kufahamu GHARAMA za kufyatua PAVEMENTS na kununua. Ipi ni nafuu. Je kwa kununua bei ya pavement moja ikoje.
1 Reactions
22 Replies
2K Views
[emoji120][emoji362][emoji375][emoji373][emoji997]
5 Reactions
4 Replies
1K Views
Raman ya vyumba 3 vya kulala Ina vitu vifuatavyo Chumba 1 master Chumba 1 hakina choo Chumba 1 hakina choo Seble Dinning Jiko Store Public toilet Inachukua mita 13 kwa mita 12 Sasa njoo whatsapp...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hio bajeti ya Hizo bati zilizo kimbia juu kama mt. Kilimanjaro si ndio ungetengeneza ka-study room kakiaina kenye mini -library mshenzi. Ila nitaishia kuambiwa: " TAFUTA HELA WEWE MATEMBELE...
21 Reactions
100 Replies
5K Views
Mwenye namba ya dalali wa vyumba /nyumba au anakijua chumba kinachopangishwa; i. kisiwe mbali na ofisi za Ruwasa za wilaya ya Siha, mkoa wa Kilimanjaro. ii. Kiwe self contained
0 Reactions
0 Replies
211 Views
habari mtaalam wa kupau na mtaalam wa kuchomelea unaitajika uwe na ofisi bunju au tegeta uwe na kazi ambazo uliishawai kufanya naitaji fundi maiko sio kampuni na pia usiwe dalali uwe fundi...
0 Reactions
1 Replies
332 Views
Watu wengi wamejikuta katika hali ngumu ya kifedha au hata kukwama katika ujenzi kutokana na kushindwa kuweka mikakati mizuri ya kupunguza gharama za ujenzi. Kwa kutambua umuhimu wa ujezi, na kwa...
9 Reactions
15 Replies
8K Views
Habari Wana JamiiForums,. Nimewaza juu ya kuwa na thread maalum kuhusiana na vifaa ama material bora vya ujenzi, mahali pa kuvipata, tahadhari n.k Pia tuweze kushirikishana changamoto mbalimbali...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Tafadhali husika na kicha cha habari hapo juu! Natafuta nguzo za miti (Wooden Poles) Kwa ajili ya kuzungushia uzio shambani (Nimeambatanisha picha hapo chini). Natafuta zile ambazo zina dawa...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Kama unataka ngazi za kisasa zinazojulikana kama floating stairs nichek Sikuhizi ushindwe wewe tu mafundi Tz wapo 0743 257 669 Ufundi 600,000 kwa nyumba za makazi material utanunua mwenyewe 0743...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Umuhimu wa kuwa na ramani ya nyumba ni mkubwa sana kabla ya kuanza ujenzi. Hapa ni sababu kuu: 1. Mwongozo wa Ujenzi: Ramani inaelekeza kila hatua ya ujenzi, kuanzia msingi hadi paa. 2. Kuzuia...
1 Reactions
3 Replies
997 Views
Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician) Mawasiliano inbox
0 Reactions
0 Replies
225 Views
Naomba mnijuze wanajf na wataalamu wa ujenzi!Mimi kwenye eneo hili sielewi chochote hasa ni kwa kuwa wengine tulizaliwa enzi zile za kutumia silingi bodi!Ninaomna mnielimishe boards nzuri kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom