Vituo vingi vya mafuta hutumia bati la paa bapa (flat roof) kwa sababu kadhaa za kiufundi na kiusalama:
✅ Usalama wa Moto – Paa bapa husaidia kudhibiti moto kwa urahisi ikiwa kuna dharura. Moto...
Peace Be Upon Y’all
Husika na kichwa Cha Habari
Kuna site kimeoteshwa kibanda sasa uwani kumebaki nafasi ambayo plan ikawa iwekwe stand ya kubeba tank la maji la 10,000 ambayo litabebwa na stand...
SERIKALI YASAINI MKATABA UJENZI DARAJA LA JANGWANI, BILIONI 97.1 KUTUMIKA
Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa Daraja la Jangwani lenye urefu wa mita 390 na barabara za maungio zenye urefu wa...
Ujenzi wa sasa hauishii tu kwenye muundo wa nyumba bali unapaswa kuzingatia ulinzi na usalama wa mali zako. Hapa kuna mambo muhimu ya kuzingatia ili kuhakikisha nyumba yako iko salama:
🔹 Mambo...
WILAYA YA LINDI YAANZA MBIO ZA MWENGE KWA KISHINDO NA MAFANIKIO
Mkuu wa Wilaya ya Lindi- Victoria amepokea na kuanza kukimbiza Mwenge wa Uhuru 26/05/2025 Halmashauri ya Mtama ambayo itafuatiwa na...
Ni nyumba yenye vyumba 3 vya kulala
Hapo ni material na ufundi
Kama unataka tukujengee
Utuchek 0743 257 669
Raman
Mahesabu
Ujenzi
Tuchek
Ofisi zetu zipo banana ukonga
wa.me//255743257669
Raman ya vyumba 3 vya kulala
Ina vitu vifuatavyo
Chumba 1 master
Chumba 1 hakina choo
Chumba 1 hakina choo
Seble
Dinning
Jiko
Store
Public toilet
Inachukua mita 13 kwa mita 12
Sasa njoo whatsapp...
Hio bajeti ya Hizo bati zilizo kimbia juu kama mt. Kilimanjaro si ndio ungetengeneza ka-study room kakiaina kenye mini -library mshenzi.
Ila nitaishia kuambiwa: " TAFUTA HELA WEWE MATEMBELE...
Mwenye namba ya dalali wa vyumba /nyumba au anakijua chumba kinachopangishwa;
i. kisiwe mbali na ofisi za Ruwasa za wilaya ya Siha, mkoa wa Kilimanjaro.
ii. Kiwe self contained
habari mtaalam wa kupau na mtaalam wa kuchomelea unaitajika uwe na ofisi bunju au tegeta uwe na kazi ambazo uliishawai kufanya naitaji fundi maiko sio kampuni na pia usiwe dalali uwe fundi...
Watu wengi wamejikuta katika hali ngumu ya kifedha au hata kukwama katika ujenzi kutokana na kushindwa kuweka mikakati mizuri ya kupunguza gharama za ujenzi.
Kwa kutambua umuhimu wa ujezi, na kwa...
Habari Wana JamiiForums,.
Nimewaza juu ya kuwa na thread maalum kuhusiana na vifaa ama material bora vya ujenzi, mahali pa kuvipata, tahadhari n.k
Pia tuweze kushirikishana changamoto mbalimbali...
Tafadhali husika na kicha cha habari hapo juu!
Natafuta nguzo za miti (Wooden Poles) Kwa ajili ya kuzungushia uzio shambani (Nimeambatanisha picha hapo chini). Natafuta zile ambazo zina dawa...
Kama unataka ngazi za kisasa zinazojulikana kama floating stairs nichek
Sikuhizi ushindwe wewe tu mafundi Tz wapo 0743 257 669
Ufundi 600,000 kwa nyumba za makazi material utanunua mwenyewe 0743...
Umuhimu wa kuwa na ramani ya nyumba ni mkubwa sana kabla ya kuanza ujenzi. Hapa ni sababu kuu:
1. Mwongozo wa Ujenzi: Ramani inaelekeza kila hatua ya ujenzi, kuanzia msingi hadi paa.
2. Kuzuia...
Naomba mnijuze wanajf na wataalamu wa ujenzi!Mimi kwenye eneo hili sielewi chochote hasa ni kwa kuwa wengine tulizaliwa enzi zile za kutumia silingi bodi!Ninaomna mnielimishe boards nzuri kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.