Unapojenga gholofa unatakiwa upange mawe ili upige jamvi je
Upi umuhimu wa mawe kwenye ujenzi wa ghorofa
Mawe yana umuhimu mkubwa katika ujenzi wa ghorofa, hasa wakati wa kupiga jamvi (slab)...
Wakuu poleni na majukumu.
Moja kwa Moja kwenye mada, nahitaji msaada wenu, Mimi ni mhitimu wa chuo Cha MUST mbeya nlieamua kujitafuta hapa hapa mbeya.
Baada ya kujitafuta kwa miezi kadhaa kitu...
Kifaa kinachowasha taa pindi jua linapozama au giza kuingia kinajulikana kama Photocell Sensor au Light Sensor Switch.
🔹 Jinsi Kinavyofanya Kazi:
✅ Hugundua mwanga wa jua – Kifaa hiki kina sensor...
🏡 DON'T JUST BUILD A HOUSE — BUILD YOUR DREAM HOME!
YOU DESERVE MORE THAN JUST WALLS AND A ROOF. LET'S CREATE THE HOME YOU'VE ALWAYS IMAGINED — CRAFTED WITH CARE, QUALITY, AND YOUR VISION IN MIND...
Wasalaam.
Natafuta mchora ramani aliye Dodoma nina eneo la square meters 197 ambapo nataka nijenge frem za kisasa. Kwa mpango wangu nataka chini zikae nne na juu zikae nne.
Mchora ramani mzoefu...
Akilini kwako unatakiwa kujua kuwa Ujenzi ni gharama.
Unapaswa kutumia gharama kwa busara ili kupata ubora bila kuingia kwenye matumizi yasiyo ya lazima. Watu wengi hujarahisisha kazi wakidhani...
Nyumba zinaweza kuwa na paa linaloonekana au paa lililofichwa (hidden roof), na kila aina ina faida na changamoto zake.
1. Nyumba zenye bati linaloonekana
✅ Muonekano wa kawaida – Hizi ni nyumba...
🏡 DON'T JUST BUILD A HOUSE — BUILD YOUR DREAM HOME!
YOU DESERVE MORE THAN JUST WALLS AND A ROOF. LET'S CREATE THE HOME YOU'VE ALWAYS IMAGINED — CRAFTED WITH CARE, QUALITY, AND YOUR VISION IN MIND...
"Need a construction team that does it all? From stunning 3D designs to full site execution, Mkuzibuilders brings your dream space to life – professionally, efficiently, and beautifully."...
ULEGA AMBANA MKANDARASI BARABARA KUELEKEA MAKAO MAKUU YA JESHI (JWTZ).
Amtaka akabidhi barabara ifikapo Disemba mwaka huu
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemtaka Mkandarasi Kampuni ya CHICO...
🏢 Proud to Present: Our Latest Apartment Building Project! 🏗️✨
Designed and built from the ground up by us +255624004650
💡 Features: 2bedrooms each unit jumla zipo 4units with 600sqm plot
We’re...
HAPA CHINI 3BEDROOMS JUU MASTER BEDROOMS NA KASEBULE KDGO YAAN SIMPLE NA AFFORDABLE SANA
PLOT SIZE KUANZIA 20X20M AU 20X30M
UNAHITAJI NN ZAIDI CALL US +255624004650
OFISI ZETU ZIKO SINZA DAR ES...
Habari zenu? Wakuu nisaidieni hapa nahitaji kupunguza gharama, hichi kitanda mafundi wananitaji bei kubwa sana.
Hivyo nimeona ili kupunguza gharama ni bora nikanunue mbao mwenyewe, fundi...
Heri za Sikukuu wana jamvi.
Mwaka ndio huo umekatika, presha imeanza kupanda na kushuka kwa kuukabili mwaka ujao.
Kwa upande wangu ninapla kuukabili mwaka ujao mapema iwezekavyo kwa kazi ya...
Ramani ya kupangisha
Wapangaji wawili kila mpangaji anavitu vifuatavyo
Chumba 1 self
Chumba 1 havina choo
Seble
Jiko
Choo cha wageni
Nyumba nzima kwa wapangaji wote Inachukua mita 8 kwa mita 12...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.