Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

🏘️ Airbnb Apartments Design - 2 Bedroom Units 📐 Plot Size: 30m x 20m Each unit includes: ✅ 2 Bedrooms ✅ Spacious Lounge ✅ Open-Plan Kitchen ✅ Dining Area Ideal for short-term or long-term...
1 Reactions
10 Replies
495 Views
Chukua hii Unapojenga gholofa je umwage nguzo kwanza au uanze tofali kujenga kwanza ndipo umwage nguzo? karibu chukua hii mbinu moja ya ujenzi ya kupata kitu cha kisasa na bora hasa kama...
2 Reactions
0 Replies
353 Views
Kipisi cha ardhi mita 30 kwa 20, nje ya mji kanda ya ziwa, nikifanyie shughuli gani ili baada ya miaka mitatu hivi niwe na pesa ya maana? Karibuni wakuu
0 Reactions
7 Replies
354 Views
Mwenye anajua bei ya kitanda Cha mninga design ni SABUFA
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu! Nipo DAR Kuna kamkopo Natarajia Kupewa Mwez Wa Pili Mwakani. Wazoefu naomba mnishauri Kama pesa hizo zitatosha na vp upatikanaji wa bidhaa hizo kwa bei ya jumla na mapendekezo yenu...
2 Reactions
97 Replies
51K Views
Mbinu mojawapo kubwa ya kupunguza ghalama za ujenzi wakubwa Heshima kwenu leo nakusogezea hii huwa haisemwi Mbinu kubwa ya kupunguza gharama ya ujenzi: Tumia Interlocking Stabilized Soil Blocks...
3 Reactions
3 Replies
753 Views
Umekuwa ukifikilia ni namna gan utapendezesha nyumba yako hasa katika ngazi ya ndani (gorofani) kibalazani, au fremu zak (hasa gorofa) na huja pata jibu , basi bado hujachelewa sisi ndo suruhisho...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Ndugu zangu . Kama kichwa cha habari kinavyosema Ni upi muonekano mzuri wa nyumba kwa nje ukitoa rangi.
0 Reactions
6 Replies
888 Views
WE DO DESIGN AND BUILD SERVICES 5BEDROOMS TOTAL FIT ON 400SQM PLOT SIZE TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM CALL/WHATSAP +255624004650
1 Reactions
21 Replies
817 Views
Hello nilikuwa nataka kuuliza maana kuna watu kutoka board of architects and quantity surveyors' registration board wananifuatilia toka mwezi wa 6 mwaka huu kuwa sijaweka bango hilo la ujenzi, pia...
0 Reactions
2 Replies
519 Views
Habari za wakati huu ndugu na jamaa, mimi ni mhanga wa tatizo la mbao za nyumba yangu niliyopaua miezi 9 iliyopita toka mwezi wa 9 mwaka jana ila kufika leo hii nasikia juu kwenye dali kelele za...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Kwa wenye uhitaji wa mafundi wa balluster na ushauri wa design mbalimbali karibu ofisini kwetu
1 Reactions
0 Replies
158 Views
Hizo isolated posts ni rahisi kutumika kama ndoano ya kamba za panya road ili kupanda ukuta na kufanya yao
10 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wajenz /mafundi na wajenz wenzangu , naomba ushurik wenu hapa Nipo katika kujiandaa kuanza ujenzi na nataka nijenge kwanza hatua ya msingi kwanza kutokan na kipato changu naomba makadirio...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
6BEDROOMS SEBULE KUBWA NA NDOGO JIKO 2 (WET KITCHEN AND DRY KITCHEN) DINING WITH PATIO MASTER WITH PATIO TUPIGIE KWA HUDUMA NZURI 0624004650 TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
0 Reactions
3 Replies
503 Views
Wataalamu habari??? Nimekaa nikawaza kutokana na ugumu wa pesa na uhitaji nilionao... nataka kujenga ukuta/ uzio wa eneo langu sasa nafikiria badala ya kufyetua tofali ya inchi 5' au 6, basi...
0 Reactions
14 Replies
651 Views
Wakuu Tunatengeneza furniture aina zote Showcase za kujengea na zakuhamishika. Makabati ya kujengea na yakawaida. Kitchen cabinets za kujengea na zakuhamishika. Pia tunatengeneza vibanda vya...
1 Reactions
15 Replies
844 Views
Ndugu zangu, habarini. Naomba ushauri, nataka kujenga. Nimepigiwa mahesabu kwamba paka nyumba kuisha ninatakiwa mifuko 300 ya cement. Sasa, nafikiria kununua toka kiwandani kwa jumla ili kupata...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula.. nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana.. Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz. Karibu...
1 Reactions
0 Replies
251 Views
Back
Top Bottom