Hello wajuzi.
Ktk tafiti zangu, nimekuwa ninawaza kujenga Get away houses, Airbnb, na ki sehemu kwa ajili ya watu wanaotaka kuishi ktk mazingira ya nature, around sehemu fulani hivi Pwani.
Mwanzo...
Eeeh bana habari za saa hii mkuu, heshima yenu.
Nataka nikapange mitaa ya kwa aziziali, tafadhali naombeni A,B,C zenu kuhusiana na kipande icho.
Asante sana.
THIS DESIGN HAVE 3BEDROOMS (MPAKA KUPAUA 40M)
1. SPECIOUS LOUNGE
2.DINING OPEN TO LOUNGE
3.KITCHEN OPEN TO DINING
4.STORE
5.2SELF BEDROOMS
6.SPECIOUS M/BEDROOM WITH CLOSET AND BIG BATHROOM
PLOT...
WAZIRI ULEGA AKUTANA NA MTOTO MWENYE KIPAJI CHA UJENZI WA BARABARA NA MADARAJA
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amekutana na mtoto Ridhiwani Martin Asheri mwenye umri wa miaka 13 kutoka Kibaigwa...
Kwa wale wajenzi wa nyumba zinazotumia paaa la ‘Hidden roof’, huwa wanalazimika kuingia gharama za mamilioni yabpesa ili kununua rangi ‘specialised’ zinazoweza kuhimili mvua bila kubanduka...
Wakuu,
Naulizia gharama ya PVC board za dari nje ya nyumba.
Zinauzwa sh. ngapi?
Kwa nyumba za vyumba vitatu, sebule, jiko, dinning room & vyoo viwili, gharama ya ufundi ni Sh. ngapi?
Msaada ili...
Naomba anayefahamu kuhusu maana ya X ya kijani ni Nini?
Maana hapo mwanzo mwaka 2006 nyumba yetu ilivunjwa sehemu yote ya mbele lkn safar hii wamekuja kuweka X ya Kijani. Nyumba yetu hipo...
Huwa naangalia video za vita hizo nchi wanajenga nyumba nzuri sana na kwa mpangilio mzuri sana.
Wana ma-vita yasiyoisha lakini wanaonekana ni watu wenye mipango mizuri sana hasa kwenye Ujenzi...
Boss wangu
Karbu tukutengenzee vibanda vya biashara km restaurant au pub. Tukutengenzee kwa muonekano wa kasasa kuanzia Banda Hadi viti..
Pia kwa wale mnaotaka vibanda vya juis au fremu ila...
APPARTMENTS 2BEDROOMS SEBULE JIKO ,PLOT 2 PLOTS OF 900 SQM ZINAKAA UNITS 12, KILA 3UNITS NA GATE LAKE
FOR DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICE CALL US +255624004650
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.