Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Kati ya nambari 1 na nambari 2 kama fundi bomba wa kitaalamu ni ipi bora kwa mteja wako
0 Reactions
4 Replies
493 Views
Hello wajuzi. Ktk tafiti zangu, nimekuwa ninawaza kujenga Get away houses, Airbnb, na ki sehemu kwa ajili ya watu wanaotaka kuishi ktk mazingira ya nature, around sehemu fulani hivi Pwani. Mwanzo...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari.. Raman ipo hivi vipimo tutaweka baadae nkipata fundi Ukimodify nataka iwe hivyo mbele afu nijenge nusu nusu Mpauwo nafikiria uwe hivi Je , wataalamu inawezekana . Lengo ni...
0 Reactions
2 Replies
394 Views
Eeeh bana habari za saa hii mkuu, heshima yenu. Nataka nikapange mitaa ya kwa aziziali, tafadhali naombeni A,B,C zenu kuhusiana na kipande icho. Asante sana.
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Habari zenu jf members Naomba kuuliza...hivi kujenga msingi wa nyumba bila kuweka nguzo kwenye kona ya nyumba ni sawa? Nyumba sio ghorofa.
0 Reactions
4 Replies
492 Views
Wakuu, Huu mti unaitwaje? Je una sifa gani katika ujenzi hasa kupauwa? Mbao zake zina uwezo wa kuhimili wadudu waharibifu na mchwa?
0 Reactions
4 Replies
513 Views
THIS DESIGN HAVE 3BEDROOMS (MPAKA KUPAUA 40M) 1. SPECIOUS LOUNGE 2.DINING OPEN TO LOUNGE 3.KITCHEN OPEN TO DINING 4.STORE 5.2SELF BEDROOMS 6.SPECIOUS M/BEDROOM WITH CLOSET AND BIG BATHROOM PLOT...
0 Reactions
28 Replies
853 Views
WAZIRI ULEGA AKUTANA NA MTOTO MWENYE KIPAJI CHA UJENZI WA BARABARA NA MADARAJA Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amekutana na mtoto Ridhiwani Martin Asheri mwenye umri wa miaka 13 kutoka Kibaigwa...
2 Reactions
21 Replies
935 Views
Habari wadau humu! Hii kazi unaipa marks ngapi?
3 Reactions
7 Replies
469 Views
Kwa wale wajenzi wa nyumba zinazotumia paaa la ‘Hidden roof’, huwa wanalazimika kuingia gharama za mamilioni yabpesa ili kununua rangi ‘specialised’ zinazoweza kuhimili mvua bila kubanduka...
7 Reactions
40 Replies
3K Views
Wakuu, Naulizia gharama ya PVC board za dari nje ya nyumba. Zinauzwa sh. ngapi? Kwa nyumba za vyumba vitatu, sebule, jiko, dinning room & vyoo viwili, gharama ya ufundi ni Sh. ngapi? Msaada ili...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba anayefahamu kuhusu maana ya X ya kijani ni Nini? Maana hapo mwanzo mwaka 2006 nyumba yetu ilivunjwa sehemu yote ya mbele lkn safar hii wamekuja kuweka X ya Kijani. Nyumba yetu hipo...
3 Reactions
8 Replies
566 Views
TENGENEZA GARDEN YAKO KWA GHARAMA NAFUU SANA. NAMBA : 0714 693107
0 Reactions
0 Replies
242 Views
Huwa naangalia video za vita hizo nchi wanajenga nyumba nzuri sana na kwa mpangilio mzuri sana. Wana ma-vita yasiyoisha lakini wanaonekana ni watu wenye mipango mizuri sana hasa kwenye Ujenzi...
2 Reactions
11 Replies
780 Views
4BEDROOMS SIMPLE STOREY PLOT SIZE 600SQM CALL US +255624004650
0 Reactions
0 Replies
256 Views
Boss wangu Karbu tukutengenzee vibanda vya biashara km restaurant au pub. Tukutengenzee kwa muonekano wa kasasa kuanzia Banda Hadi viti.. Pia kwa wale mnaotaka vibanda vya juis au fremu ila...
1 Reactions
1 Replies
340 Views
APPARTMENTS 2BEDROOMS SEBULE JIKO ,PLOT 2 PLOTS OF 900 SQM ZINAKAA UNITS 12, KILA 3UNITS NA GATE LAKE FOR DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICE CALL US +255624004650
1 Reactions
9 Replies
410 Views
Back
Top Bottom