Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
ninamgogoro wa ardhi katika baraza la wilaya kesi bado japo nimemaliza kutoa ushahidi kwa upande wa mdai na pia mdaiwa anatarajia kutoa ushahidi wake.
yapo mambo ambayo naomba msaada wenu...
Ni msemo mzuri na wenye maana yake inayojipambanua. Lakini ktk uhalisia ni kwamba kuna watu wako juu ya sheria hasa hapa TZ.
Kwa namna walivyojipanga na kuzitafasiri sheria mbalimbali...
Habari zenu wakuu.
Natuhumiwa na kesi ya kutotunza kumbukumbu za dereva. Mambo yalikua hivi, tarehe 8/6/2014 jamaa alichukua pikipiki yangu kwa ajiri ya shughuli zake binafsi huwa namuazima kila...
Je ukikamatwa na kizibiti/ushahidi mfano unauza bangi,ukakutwa na gunia 5 au unauza gongo,ukakamatwa na dumu 20 za lita 20.
1. Je ukifikishwa mahakamani kizibiti chako chote kinaletwa...
Ndg wanasheria,
Kuna rafiki yangu mmoja alimpaga ujauzito binti yeye akaenda masomoni,imepita miaka mitatu hajarudi lakini wazazi wake walimtoleaga mahari huyo binti na akaenda kuishi kwao na...
Tumesikia Serikali ya Uganda ikiwekewa vikwazo na inayoitwa jumuiya ya kimataifa kwa kuweka sheria inayoharamisha ndoa na vitendo vya mapenzi ya jinsia moja. Serikali ya Uingerza pia imetangaza...
Habari zenu wandugu!
Kuna jamaa kaniuliza swali kuwa RB ile ambayo mtu akiripoti tukio polisi huwa anapewa kirefu chake ni nini? Sikuwa na uhakika na jibu langu lakini nilijibu nadhani itakuwa...
Kwa kuwa mpaka sasa mchakato wa kupata katiba mpya umevurugwa kwa makusudi kukidhii masilahi ya makundi machache katika jamiii haswaa WANASIASA nashauri TLS (Chama cha wanasheria Tanganyika)...
Nina mpwa wangu kaolewa miaka mitano iliyopita. Kabla ya kuolewa alikuwa mfanyabiashara, na alipoolewa mumewe akamwambia afunge biashara yake wawe wanafanya pamoja akakubali.
Baada ya muda...
Wana JF poleni na mihangaiko ya toka asubuhi.
Leo baada ya kutoka kanisani nilimkuta mama mmoja jirani yangu, akaniomba ushauri ila ilikuwa ngumu sana kwangu kumpatia jibu la moja kwa moja.
Mama...
CHADEMA wana wanasheria makini kama Tundu Lissu,Marando,prof. Safari,Kibatara,Kichere,Kimomogoro nk. Walioishinda serikali dhidi ya kesi za uchochezi,uchaguzi,ugaidi nk.
Mawakili hawa...
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam imeweka zuio la muda kwa uongozi wa muda wa Kampuni ya Uwekezaji ya Taifa (Nicol) kwa kuitaka kutojihusisha na biashara au shughuli yoyote ya...
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna (CP), Suleiman Kova, amewataka madereva wanaoendesha vyombo vya moto, kutoa taarifa za askari wanaodai rushwa pindi wanapobainika na...
Jamani naomba kujuzwa mambo haya.
1. Mtu anapo nunua gari kutoka kwa mtu binafsi maandikishano yanatakiwa kimsingi yafanyikeje?
2. Ni vitu gani vya msingi anatakiwa avipata kutoka kwa muuzaji...
Ndugu zangu naombeni ushauri,ndugu yangu amesababisha ajali ya basi na imeua mmoja,baada ya ajali alikimbia hadi sasa ila anatafutwa na polisi na basi lipo kituoni.
Kuna thread ipo jukwaa la habari mchanganyiko,huko Morogoro mikese kuna mtoto wa miaka kumi na nne amelawiti watoto wadogo yani wadogo zaidi yake.Swali langu ni je sheria inasemaje mtu wa umri...
habari za majukumu wana jamii forum; naomba ushauri kadri inavyowezekana, mm ni mtaalamu wa miamba yaani mjiolojia nilipata mteja akiomba kuandikiwa ripoti ya kijiolojia katika eneo lake...
Nilienda jela miaka10 iliyopita kwa kosa la kumpa mimba mwanafunz.Kimsingi mimba haikuwa yang ilikuwa ya mwanaume mwingine
Kwa sababu ya binti kutaka kumhifadhi aliyempa mimba wakapanga dili...
Habari zenu wakuu!
Binafsi naishi nyumba ya kupanga uswahilini na nimegombana na wenye nyumba, wamenikatia umeme kwenye vyumba vyangu, je nitawezaje kupata tena umeme kumbuka mkataba unasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.