Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

I need a lecturer who will help me to proof read my ll.b research paper.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tulipanga chumba kwa mkataba wa miezi 12.tukalipa fedha yote. Mwenye nymba kanipa notice niondoke mwezi wa kumi. Nimeona nitafute chumba kingine,nimepata.Namtaka mama anipe hela yangu kwa miezi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba msaada jamani wana JF kuhusu hili:- Mimi nimehitimu elimu ya Sekondari mwaka 2008 lkn bahati mbaya matokeo yangu hayakuwa mazuri sana ya kuniwezesha kuendelea na kidato cha V, lakini wakati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada wandugu , wazazi walifariki 17 years ago , hakuna mirathi iliyowai funguliwa, inawezekana ikafunguliwa now? gharama kiasi gani kwa lawyer kusimamia hii kesi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tangu Kombe la Dunia limeanza hawa jamaa wamekuwa wanalazimisha kuniletea updates za matokeo ya michezo hiyo kitu ambacho sijakiomba kutoka kwao na kila SMS ikiletwa nakatwa hela. Nimejaribu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, ni jumatatu nyingine bila shaka kila mmoja yuko kwenye harakati za ujenzi wa taifa. Naomba kusaidiwa juu ya utaratibu wa kucertify vyeti kwa ajili ya maombi ya kazi. Je inaruhusiwa ku...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wadau naomba msaada wa kisheria. Nimehukumiwa nimlipe mshtaki wangu milioni sita wakati kazi sina na wal sina asset yoyote ninayoweza kuuza ili kupata pesa hiyo.Itakuwaje?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari wanajamvi,naombeni mnisaidie hili swali,with relevant authorities(case laws,books and acts) under which circumstances may a minor enter into a contract.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu, hivi ikibainika kua mwanamke anapanga njama za kumuua mumewe na ikathibitishwa kua ni ili arithi mali na ushahidi ukawa ni wa sms ambazo anawasiliana na ndugu zake kutaka kufanikisha...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu, naomba kufahamishwa ni kosa kuwapiga picha askari wakiwa kazini kwa mtu ambaye si mwandishi wa habari? Naomba kujuzwa kama ni kosa sheria inasemaje? Mfano wakati wanamkamata mwizi mtaani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kampala A court in Kampala has ordered former vice president Gilbert Bukenya to defend himself against allegations that he seduced the wife of his former...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
"Majaji waliamua kuwa mkewe Mason hakufanya kosa lolote" Kuna kisa kimeibuka nchini Uingereza ambapo mwanamume mmoja kwa jina David Mason, mwenye umri wa miaka 30, alimshitaki mkewe Brenda kwa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
habari wakuu polen namajukumu.kuna rafiki yangu alikua na mke na mtoto 1 huyu mwanamke alimuoa baada ya kupata mimba inamaana walikua marafikitu kabla.na walikutana huku mjini jamaa mchaga mke...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
SIKU ya Jumatano 25,Juni 2014 mahabusu tisa wa gereza la Wilaya ya Geita mkoani hapo walivua nguo hadharani mbele ya Mahakama ya Wilaya kwa madai ya kucheleweshwa kusikilizwa kwa shauri lao. - See...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wajuzi wa sheria naombeni ushauri wa haraka, bajeti imepitishwa jana moja kati ya vitu vilivyopitishwa ni kuondoa nafuu ya kodi ya magari yenye umri chini ya miaka kumi na kwasasa nafuu hiyo...
0 Reactions
1 Replies
951 Views
Japokuwa wanasema kutokujua sheria sio excuse ya kufanya makosa lakini hebu check hizi hapa chini zote ni sheria zinazotumika hapa Tanzania utazijua saa ngapi? LAWS OF TANZANIA TABLE OF...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Mpangaji mwenzangu alilipa kodi ya miezi sita, kumbe pale kuna mauzauza kibao yani uchawi. Suspect ni mwenye nyumba madharau, matusi kibao na vijana wake baada ya huyo mpangaji kuyasema bayana...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Hello Members! I had a contract for renting a house and I paid a rent totaling 2,100,000/= TShs. to rent a house for six months at 350,000/= TShs. per month. Before moving into the house my...
0 Reactions
3 Replies
809 Views
Habari zenu ndugu zangu nilipata mkataba wa kazi katika kampuni fulani miezi 6 iliyopita lakini mwezi mmoja kabla ya kuanza kazi nikapewa barua ya kuvunja mkataba. Je,kuna compasation yoyote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kimazingira naona haya maigizo aliofanyiwa yamepikwa vizuri. kibongo bongo kila kitu kinawezekana panapopitishwa rupia. je wakuu kisheria imekaaje kaaje hii. anaweza nyea debe?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom