Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Kwa wadau na manguli wa sheria za bongo tuu.
Je ni kweli kisheria za tanzania ukiwa ni mtumishi kiongozi wa (ngo) non government organization huruhusiwi kugombea nafasi yeyote ya kisiasa...
Naomba kujua haki za dereva anapokamatwa na askari wa usalama barabarani, pia nataka kujua kama suala la bima ya gari linamhusu sana traffic kiasi cha kukulima faini.:bange:
Wadau nadhani wengi mtakuwa mnashitushwa na hili,lakini ninamdogo wangu ambae alishwahi kufanya kazi katika taasisi fulani kwa mda wa miaka takribani miwili,na kisha akaenda masomoni.
Akiwa...
habar. nimesimamishwa kazi ila kila siku huwa tunapewa pesa ya chakula kazin pamoja na mshahara mwisho wa mwez. je bado nina haki ya kupata malipo niliyokuwanikipata hapo awali kwa sasa siko...
Jamani hili langu mimi mwenyewe
nimekuwa nikifanya kazi kwa takribani miaka 5 sasa na shirika moja la kimataifa hapa nchini, na position yangu ni ya juu tu.
1. Mshahara wangu umekuwa haulidhishi...
lawyers tujuzane juu ya hizi departments mbili DPP-director of Public Prosecution & DCI-director of Criminal Investigation...juu ya tofauti ya kazi zao, je zinatofautiana au zinafanana na kama...
Katika vitabu vitakatifu vya neno la Mungu vinatuasa kukiri dhambi ili tupate kusamehewa dhambi zetu. Lakini hili ni tofauti na sheria za nchi nyingi duniani hapa hasa zinazotumia sheria za...
baba yangu alikuwa ni mwalimu,alifariki 2004 na mirathi ilitoka mwaka 2005 kipindi hicho tulikuwa wadogo hatukuwa tunafaham sana kuhusu mirathi lakini aunt yetu ndo aliyekuwa msimamizi mama...
Habari za asubuhi wanajamii naomba ushauri wenu hasa wa kisheria,mie nafundisha katika chuo kimoja hapa nchini tz,katika tawi nililopo kiongozi wetu ameanzisha utaratibu wa kukata mshahara kwa...
Habari wana jamvi je ni kosa kisheria kupeperusha(kuweka) bendera ya taifa katika eneo lako la makazi (kuweka kama wanavyoweka katika mahoteli, ofisi za kiserikali n.k)?
Stori: Makongoro Oging'
SERIKALI imethibitisha kuwa kitendo alichokuwa akifanya babu wa Loliondo, Mchungaji Ambilikile Masapile, cha kutoa dawa ya kutibu magonjwa, ukiwemo Ukimwi aliyokuwa amedai...
Habari wakuu.
Naomba kufahamishwa kisheria yafuatayo;
1)Je mawasiliano ya simu yanaweza kutumika kama ushahidi kwa mtuhumiwa aliyetumia simu yake kufanya uhalifu eg kuiba,kutukana?
2)Sheria ipi...
Wakuu habari zenu.
Mimi nipo mjini lakini huwa nafanya biashara ya kununua mazao mashambani/vijijni kwa kutumia wadau wangu, naweka stock halafu baadaye nayauza. Sasa mwaka huu kuna baadhi ya...
Habari wana jukwa,
Ndugu yangu anataka kuanzisha shule. Lakini hana majengo. Taratibu ni kwamba lazima awe na majengo ya kwake sio kupanga....sasa anabakiwa na yafuatayo;
1. Ama asajili kwa jila...
Habari ndugu wana-Jf!
Naombeni kuuliza kuwa,huu utaratibu kwa wajumbe wa nyumba kumi/serikali za mitaa kutoza Tsh/= 2,000 hadi 5,000 kwa barua moja kwa wananchi wanaohitaji huduma hiyo, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.