Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mara nyingi nisomapo makala ndefu za Kiswahili sikosi kukutana na angalau neno moja la Kiswahili linaloonekana kuwa jipya kwangu. At the same time, the same article may contain a few familiar...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Kuna Mtu Tunabishana, Nae Hapa!. Kuhusu Kirefu Cha Neno "SMS" Je, Wewe Unafahamu Kirefu Chake Tumalize Ubishi...!
0 Reactions
13 Replies
28K Views
Wabongo wengi tumezoea kumuita Nairobi Fly, mara ya kwanza kujua kuna mdudu kama huyu ilikuwa mwaka 2005 nikiwa A level. Niliposikia wanamuita Nairobi Fly nikajua kuwa ni wadudu wenye asili ya...
4 Reactions
18 Replies
5K Views
TABIA YA MUUNGWANA Kuno kunena kunena, leo nalinena hili Nalinena kwa mapana, kwa lugha ya kiswahili Tabiaze muungwana, si mtu wa ndimi mbili Kutosheka na akali, tabia ya muungwana. Nawala hawi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tafsiri ya wimbo "Neria" wa Oliver Mtukudzi
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waungwana naombeni maana ya neno kutoa radhi. Nini maana yake na nani anatoa radhi na kwa nani? mara nyingi uwa nasikia utapata radhi wewe shauri yako
0 Reactions
7 Replies
18K Views
1. Mwanaume huyu ameolewa. 2. Mwanaume huyu ameoa. Ahsante. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Scenario ina Maana gani.. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
669 Views
Kumekuwa na changamoto kwenye lugha ya Kiganda, tafadhali anayejua maneno mepesi yatakayomsaidia Mfanyabiashara kubargain biashara kwa lugha hii anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada tafadhali wanabodi kama mjuavyo hiki kizungu kilikuja na meli, sie zetu mashua.
3 Reactions
83 Replies
20K Views
Naomba msaada wa hiyo kauli nimeambiwa na rafiki yangu Leo " Gharama za kuelimika ni ndogo sana kuliko gharama za kuhifadhi ujinga kichwani." Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza kabisa napenda nianze kwa kukiri kuwa Kiswahili bado ni lugha inayonipiga chenga pahala pengi. Hivyo kuna pahala pengi katika hoja yangu nitachanganya na lugha ya Kiingereza, pamoja na...
4 Reactions
94 Replies
28K Views
Uwapi Ewe Kivuyo Mwema..? Ewe Kivuyo mwema, nduguyo nakusalimu Jangwani hali si njema, nawe pia u-adimu Mpira si lelemama, ligi hii si ya chandimu Uwapi Ewe Kivuyo Mwema? Habari zimenifika...
2 Reactions
1 Replies
814 Views
Can anyone please help me with the translation of the word "ritual" into Swahili? I am thinking in the meaning of religious ritual. For example, priests in the Old Testament had to wash before...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
ALLY BIN SAID BIN RAASHIDI JAHADHAMIY Ushairi katika Afrika ya mashariki umekua na historia ndefu,historia ambayo ipo inayo julikana wengi na zipo ambazo zinajulikana na watu wachache mno,na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu.Hivi karibuni nimegundua nina uwezo(sijui tuseme kipaji) cha kuandika makala. Ninaandika makala za aina mbalimbali,zikiwemo za elimu,uongozi bora,biashara na hata michezo. Hivyo...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki nchini Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amesema Tanzania ilizembea kupata fursa ya kufundisha lugha ya Kiswahili nchini Afrika Kusini...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba kuuliza, kwa wale wanaopenda kufuatilia kazi za riwaya za Prof. E. Kezilahabi watakuwa wanafahamu riwaya ya Rosa Mistika. Nimekisoma sana kitabu hiki ila sifahamu ni kwa nini serikali...
2 Reactions
80 Replies
39K Views
Wakuu naomba msaada je tunda la zambarau linaitwaje kwa lugha ya kiingereza?
2 Reactions
2 Replies
19K Views
Neno lolote Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…