Tafsiri ya Sentensi hizi kwa lugha ya Kiingereza ni ipi?

1. Mwanaume huyu ameolewa.

2. Mwanaume huyu ameoa.

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati unaandika au unaongea kingereza frikra zako zinatakiwa kuwa kwa kingereza na hivyo hivyo ukiandika au kiongea kiswahili fikra zako zinatakiwa kuwa kiswahili.

Utakapo kua unaongea au kuandika kingereza huku fikra zipo kiswajili una translate kingerza uatapata shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati unaandika au unaongea kingereza frikra zako zinatakiwa kuwa kwa kingereza na hivyo hivyo ukiandika au kiongea kiswahili fikra zako zinatakiwa kuwa kiswahili.

Utakapo kua unaongea au kuandika kingereza huku fikra zipo kiswajili una translate kingerza uatapata shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maelezo,
Kwahio tafsiri ya hapo juu ukiwa na mawazo ya Kiingereza ni ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mwanaume huyu ameolewa.

2. Mwanaume huyu ameoa.

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume huyu ameolewa
Mosi...kauli hii inakuwa ngumu kuifasiri kwa sababu katika utamaduni wa waswahili mwanaume haolewi na kumbuka lugha ni sauti za utamaduni
Pili....neno "marry" lipo katika kauli ya kutenda na kutendeana kwani hata neno "married" ambalo watu wanajua linamaanisha "ameolewa" sio sahihi sana bali linadokeza wakati uliopita wa kitendo hicho kwa jinsi zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahio unamaanisha kwamba ili uweze kujua tofauti kati ya sentensi hizo mbili ni lazima kuwe na maelezo ya ziada sio
Mwanaume huyu ameolewa
Mosi...kauli hii inakuwa ngumu kuifasiri kwa sababu katika utamaduni wa waswahili mwanaume haolewi na kumbuka lugha ni sauti za utamaduni
Pili....neno "marry" lipo katika kauli ya kutenda na kutendeana kwani hata neno "married" ambalo watu wanajua linamaanisha "ameolewa" sio sahihi sana bali linadokeza wakati uliopita wa kitendo hicho kwa jinsi zote

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mwanaume huyu ameolewa.

2. Mwanaume huyu ameoa.

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kila lugha ina mfumo wake, tukisema tulazimishe lugha ya kingereza iwe kama ya Kiswahili, itakuwa ni balaa.... Kuna baadhi ya matendo kwa Kiswahili kuna mtenda na mtendwa, Kwa minajili ya kuowa / kuolewa kwenye kingereza hamna mtenda wala mtendwa (Kwa ufahamu wangu mie). Kama walivyosema hapo kwa kingereza.
 
Mwanaume huyu ameolewa
Mosi...kauli hii inakuwa ngumu kuifasiri kwa sababu katika utamaduni wa waswahili mwanaume haolewi na kumbuka lugha ni sauti za utamaduni
Pili....neno "marry" lipo katika kauli ya kutenda na kutendeana kwani hata neno "married" ambalo watu wanajua linamaanisha "ameolewa" sio sahihi sana bali linadokeza wakati uliopita wa kitendo hicho kwa jinsi zote

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuongezea hapa ni kwamba kuoa/kuolewa katika Kiingereza wanatumia "Kisifa" yaani adjective. Kwa hiyo, " Married" pale inatumika kama adjective na sio verb.
Jibu la mtoa mada liko kwenye comment #2 ambayo ukiiboresha unaweza sema
A married man.
 
Back
Top Bottom