Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hili neno lina maana gani? Utasikia mtu anakwambia "yule jamaa ni kavu tu."
0 Reactions
11 Replies
3K Views
PANDE ZA TABU NA RAHA 1 Dunia tunayoishi,nayo ina mengi mambo Shida huwa haziishi, mawio msalagambo Tuishini kwa ucheshi,hilo ndio kubwa jambo Na imejazwa dunia, pande za tabu na raha 2 Lililo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Binti kurudi shule Bado nalitafakari, hatima ya jambo hili Nawaza na kufikiri, matamko mbalimbali Jambo hili ni hatari, siasa tuweke mbali Binti kujifungua, arudi shuleni tena. Mimi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumekuwa na mlolongo wa maneno na maana zake. Ni katika kukuza lugha ya kiswahili nami nimekutana na maneno kadhaa hapa naomba tuendelee kushea ili kufahamu mengi zaidi kadri...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam! Naombeni kujuzwa ni sehemu gani kwa hapa Dar es Salaam wanatoa huduma ya kufundisha kispanyola. Naombeni mchanganuo wao mfano Ada zake, contacts zao nk.. Asanteni
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu I Napenda kujua wapi nitapata Jukwaa la Vitabu/hadithi za Kiswahili humu katika jamii ya Jamii Forum?
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Huwa inanishangaza Sana unakuta mtu kafa, R.I.P zinamiminika Sasa sijui azipokee nani wakati mhusika hayukpo!! Nadhani hiyo rest in peace angepewa yeye mwenyewe na akasema thank you. Sasa...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Jambo lakimaskini na kifukara la wanasiasa hafifu kifikra nikufikia hatua yakusifia lugha. Nilichukizwa na Kiswahili kutumika kisiasa awamu ya Tano na watu wenye madaraka kuacha kushughulika na...
4 Reactions
5 Replies
824 Views
Wanalugha naomba kujua ikiwa neno hili Kupiga haliwezi kupata usaidizi au lipo neno lingine lifaalo kwa ajili ya kusaidia neno hilo. Utasikia Kupiga deki, kupiga mswaki, kupiga kura, kupiga...
1 Reactions
6 Replies
841 Views
Nisaidie tafsiri ya nyimbo za fally ipupa 1. Alo telephone 2. ecole
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimeanza kea kuuliza swali kwa maana namaanisha wakati wa kuongea Kiswahili kila mtu anarafudhi yake. Kwa mfano mwingine huongea Kiswahili kwa lafudhi ya Kichaga hadi unajua 'huyu ni mchaga'...
1 Reactions
135 Replies
22K Views
Eti reviews laws. Khaa!! Edition yenu ya 19th Jan 2022. Fanyeni homework yenu vizuri hakuna Kizungu cha hivyo. Usahihi hapo ni 'Ministry review laws on community development' Kama wangetaka...
6 Reactions
194 Replies
11K Views
Habari za wakati huu, Nimekuwa nikisoma nyuzi mbali mbali humu Jamii Forums na nimefurahishwa nazo. Ila sifurahishwi na hii tabia ya mtu kupachika mstari wa kiingereza eti ndo kuonesha Msisitizo...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari ya wakati huu Naomba kuuliza maana hiki kitu kinanichanganya sana. Sijui kichwa changu ndio kigumu. ~Ni Yesu Kristu au Yesu kristo ~Je, dini ni Mkristu au Mkristo Naombeni majibu...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Wadau nisaidieni shule nzuri au CLUB nzuri ya kiingereza kwa mkoa wa Arusha.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombeni kujua tofauti ya kuwa mtu wa huruma ama upendo..kwenye uhalisi wa maisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi ni mkoa gani Tanzania unaongea lafudhi nzuri ya lugha ya Kiswahili?
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Aawali ya yote ninapenda kuwashukuru kwa kubahatika kunusa uzi huu. Ifuatayo ni Tafakuri fupi ya uchambuzi Inayotokana na shairi la Tausi lililo ghaniwa na Mpoto akiwa na Mbosso. Tausi wewe...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Lipi ni neno sahihi kwa matumizi. Maneno kama Yuko na Yupo, Wapo na Wako, Sipo na Siko, Tupo na Tuko, Uko na Upo. Baba yuko nyumbani au Baba yupo nyumbani. Kesho sipo nitakwenda Moshi au Kesho...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom