Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
I never heard this before: Thank you so very much. But I have heard: Thank you very much. Thank you so much. Is it okay to use two intensifiers - so and very?
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Kiswahili ni lugha fasaha na rahisi sana kwa mwenye kutaka kuielewa; nimeombwa niwaulize wajuvi waliobobea kwenye lugha hii mambo hayo 1. Zinaa 2. Mzinifu Je ni sifa zipi unapaswa uwe nazo ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Alichonong'ona mwezi, Kiza imekisikia, Wanga masikio wazi, macho wameyatoa, Mtabane kwa ujuzi, kitu hamtang'amua, Loo!!! ufanye kazi, Poo!!! umegumiwa. Kilichosemwa na jua, Nuru imekisikia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi all, Some members have expressed their interest in learning French. Inspired by Faiza Foxy interactive Arabic class and encouraged by AshaDii, Mtambuzi, Azimio Jipya and other members, I said...
30 Reactions
120 Replies
17K Views
Ukitoka nje unaingia ndani..ie ndani ya nyumba,ofisi,zizi,uwanja etc ukitoka ndani ya hizo sehemu wanasema unatoka nje,why not umetoka ndani unaingia nje? Wakati umetoka ndani? nisaidieni wakuu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Does it mean kuwa hakuna construction workers wanawake?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Thi jf.is collectivize for all of peoples in the world .1. ........2.because of negotiation difference thinks ..,..,,......,...3.it is necessary to be rapture.........,.,..., nipe kwa swahili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nini maana halisi ya neno "choo"? Hospitali ukiagizwa choo unapeleka kinyesi. Hii sawa. Sehemu watu wanakwenda haja pia panaitwa choo. Na hii ni sahihi. Je, wadau, "choo" nini? Ni kinyesi...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Naombeni kujuzwa tofauti kati ya maneno haya yafuatayo:- 1) malaya 2) mzinzi 3)muasherati
0 Reactions
2 Replies
969 Views
Hayawi hayawi sasa yanakuwa, Kile kilio cha wazalendo na waaminio katika lugha yao sasa kinaonyesha kuchanua, baada ya serikali kuridhia mswaada wa uanzishwaji wa Itifaki ya Kamisheni ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sidhani kama ukienda Uingereza utakuta radio zao zina majina ya Kiswahili lakini sisi kwa kuanzia hawa Clouds FM, Capital FM, Radio Free Africa, Voice of Tabora na kadhalika, sasa ukitaka...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
1.alikwenda kwa mjomba 2.ninakula kwa kijiko 3.amefungwa kwa wizi wa baiskeli 4.anakwenda shuleni kwa miguu 5.amenunua vitabu kwa bei ya juu (msada tafadhali)
1 Reactions
2 Replies
17K Views
  • Redirect
Kwa wale wajuzi wa lugha yetu tofauti ya maneno hayo ni nini hasa? Michango ya wadau Hayati ni neno la kiarabu likimaanisha uhai, kwa hiyo mtu aliyekufa na kuacha Legacy yaani bado kuna vitu...
0 Reactions
Replies
Views
Hebu tujikumbushe maneno ya kiswahili ambayo kwa sasa aidha yamesahaulika au yanatumika kwa nadara sana. Jokofu = Friji Sigiri = Jiko la Mkaa Kishida = Underskirt, Msusa = Majani ya Maboga...
0 Reactions
24 Replies
16K Views
Tangu nilipokuwa shule, mara ya kwanza kusikia msemo Aliye juu mngoje chini nilitatizika sana. Sikuelewa mtunzi wa msemo huu alikuwa na kinyongo, wivu au kukata tamaa. Hata hivyo niliishia kuamini...
2 Reactions
17 Replies
12K Views
Kama nchi inahitaji wataalamu wa lugha ya kiingereza basi msisitizo uwekwe kwenye kiingereza lakini kama nchi inahitaji wataalamu wenye ujuzi juu ya fani na taaluma mbalimbali zenye tija kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yani kuna tanagazo baya la magodoro sijawahi kuona! sasa kile ndio kiswahili gani na cha wapi? hebu wajuzi mtusaidie!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
inakera mno watumiaji wa kiswahili, kwa waswahili kutumia maneno ya kiingereza na kuita ni lugha ya kitaalam! jamani bakita mko wapi? hata roadblock ni lugha ya kitaalam? wabunge mawaziri viongozi...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Hello Comrades!!! It be said frankly that if one wants to learn something he or she must be curious and inquisitive... ofcoz,i genuenely want to learn english,i think the time when i will be able...
0 Reactions
5 Replies
26K Views
jamani msaada wenu kwenye maswali haya1)kwanini wamahiri wa lugha zaidi ya moja umahiri wao hauendi sambamba?2)jadili nafasi ya misimu ktk kiswahili sanifu?3)eleza uamilifu wa viambishi ktk vitenzi?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom