I never heard this before:
Thank you so very much.
But I have heard:
Thank you very much.
Thank you so much.
Is it okay to use two intensifiers - so and very?
Kiswahili ni lugha fasaha na rahisi sana kwa mwenye kutaka kuielewa; nimeombwa niwaulize wajuvi waliobobea kwenye lugha hii mambo hayo
1. Zinaa
2. Mzinifu
Je ni sifa zipi unapaswa uwe nazo ili...
Hi all,
Some members have expressed their interest in learning French. Inspired by Faiza Foxy interactive Arabic class and encouraged by AshaDii, Mtambuzi, Azimio Jipya and other members, I said...
Ukitoka nje unaingia ndani..ie ndani ya nyumba,ofisi,zizi,uwanja etc
ukitoka ndani ya hizo sehemu wanasema unatoka nje,why not umetoka ndani unaingia nje? Wakati umetoka ndani?
nisaidieni wakuu
Thi jf.is collectivize for all of peoples in the world .1. ........2.because of negotiation difference thinks ..,..,,......,...3.it is necessary to be rapture.........,.,..., nipe kwa swahili...
Nini maana halisi ya neno "choo"?
Hospitali ukiagizwa choo unapeleka kinyesi. Hii sawa.
Sehemu watu wanakwenda haja pia panaitwa choo. Na hii ni sahihi.
Je, wadau, "choo" nini? Ni kinyesi...
Hayawi hayawi sasa yanakuwa,
Kile kilio cha wazalendo na waaminio katika lugha yao sasa kinaonyesha kuchanua, baada ya serikali kuridhia mswaada wa uanzishwaji wa Itifaki ya Kamisheni ya...
Sidhani kama ukienda Uingereza utakuta radio zao zina majina ya Kiswahili lakini sisi kwa kuanzia hawa Clouds FM, Capital FM, Radio Free Africa, Voice of Tabora na kadhalika, sasa ukitaka...
1.alikwenda kwa mjomba
2.ninakula kwa kijiko
3.amefungwa kwa wizi wa baiskeli
4.anakwenda shuleni kwa miguu
5.amenunua vitabu kwa bei ya juu
(msada tafadhali)
Kwa wale wajuzi wa lugha yetu tofauti ya maneno hayo ni nini hasa?
Michango ya wadau
Hayati ni neno la kiarabu likimaanisha uhai, kwa hiyo mtu aliyekufa na kuacha Legacy yaani bado kuna vitu...
Hebu tujikumbushe maneno ya kiswahili ambayo kwa sasa aidha yamesahaulika au yanatumika kwa nadara sana.
Jokofu = Friji
Sigiri = Jiko la Mkaa
Kishida = Underskirt,
Msusa = Majani ya Maboga...
Tangu nilipokuwa shule, mara ya kwanza kusikia msemo Aliye juu mngoje chini nilitatizika sana.
Sikuelewa mtunzi wa msemo huu alikuwa na kinyongo, wivu au kukata tamaa.
Hata hivyo niliishia kuamini...
Kama nchi inahitaji wataalamu wa lugha ya kiingereza basi msisitizo uwekwe kwenye kiingereza lakini kama nchi inahitaji wataalamu wenye ujuzi juu ya fani na taaluma mbalimbali zenye tija kwa...
inakera mno watumiaji wa kiswahili, kwa waswahili kutumia maneno ya kiingereza na kuita ni lugha ya kitaalam! jamani bakita mko wapi? hata roadblock ni lugha ya kitaalam? wabunge mawaziri viongozi...
Hello Comrades!!! It be said frankly that if one wants to learn something he or she must be curious and inquisitive... ofcoz,i genuenely want to learn english,i think the time when i will be able...
jamani msaada wenu kwenye maswali haya1)kwanini wamahiri wa lugha zaidi ya moja umahiri wao hauendi sambamba?2)jadili nafasi ya misimu ktk kiswahili sanifu?3)eleza uamilifu wa viambishi ktk vitenzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.