Hii ni English Ya Mwanafunzi Bora Wa Form4.. Akimwambia Mzungu Ugumu Wa Kupanda Mlima Kilimanjaro Sababu Haujanyooka Moja Kwa Moja:
SIR,TO PLANT MOUNT KILIMANJARO IS NOT A PRESIDENT JOB BECOZ...
wanajamvi naomba mnijuze maana ya msemo huu "atangazaye nilimo si mwana wa liwali" nimeusikia leo prof kabudi wa udsm akiusema katika mahafali ya chuo cha usimamizi wa kodi tra-ita
Nimesikia redio za hapa nchini (Mfano za Rev. Dk G. Rwakatare na Rev. Mtume Ephata) kutumia neno "Kumwambukiza" mtu uwezo au kipawa cha kufanya miujiza au upako. Je ni kiswahili sanifu?. Neno...
Imekuwa ni kawaida kusikia watu wazima wakijiita yatima eti kisa ni kufiwa na wazazi..........Ninavyojua mimi msingi wa uyatima unaanza pale ambapo mtoto anapofiwa na mzazi/wazazi wakati akiwa...
Wakuu
sio kwamba nimekosea jukwaa ila naona hili linahusika sana humu pia
mara nyingi sana kwa sisi watz utakua akiwepo mzungu mmoja au wawili au watatu lugha inabadilishwa tunaongea kiingereza...
Enyi wadau wa Kiswahili. Habari zenu? Nawasilisha hapa misemo hii ninayoisikia kwenye radio na tv na kuisoma kwenye magazeti (hata hapa JF) na napata shida kuielewa.
Naanza kuzungumzia moja baada...
Baraza la Kiswahili la Taifa limezitaka mamlaka zote zinashughulika na kucimamia teknolojia ya habari (Tehama) pamoja na vyombo vya habari (ikiwa ni pamoja na JF) kusitisha matumizi ya maneno...
Wakuu
sio kwamba nimekosea jukwaa ila naona hili linahusika sana humu pia na nitairusha pia jukwaa la sheria
mara nyingi sana kwa sisi watz utakua akiwepo mzungu mmoja au wawili au watatu lugha...
Ni karine nyingi sana tangu afrika mashariki ilipoanzisha msemo wa lunga ya kiswahili. Na hii ilisababishwa na muungano wa wageni nchini na wenyeji.
Tangu wakati huo, lugha hii ilichukuliwa kama...
TENDE:
Tende hii maalumu yenye utamu Wa shani, Tende hii tafauti nazile zamadukani, Tende hii si adimu imejaa mitaani, wazee hadi vijana wote wanaithamini, kwayule alojaaliwa anaimiliki ndani...
Hivi ni nani anadai kuwa kiswahili ni RAHISI?Kiswahili ni moja ya lugha ngumu zaidi ninayoifahamu.
Kama unabisha na hutaki kukubaliana na Bazazi;
Hebu jaza sehemu zilizoachwa wazi kwa kutumia...
Hivi neno baka(T) linahusiana kibaka?na kama ndio mtu akibakwa anaweza sema amebakwa na kibaka?na mtu akiporwa kitu na kibaka atakuwa amebakwa na kibaka.?na yule mbakaji kwa nini hatumuiti...
Nataman kujua kilugha changu cha kinyakyusa jaman,the bad thing is naskia tu kuitikia sasa kimbembe..sina bibi,babu nor aunties wakunifundisha basi naishia kudakia hicho hicho cha baba na mama...
Wakuu ni muda sasa tokea niache kutunga na kusoma mashairi ila naamini hiki ni kipaji ndani yangu naomba wote wenye uwezo wa kutunga na kuimba mashairi tujitokeze hapa kuweka mashairi yetu ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.