Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hii ni English Ya Mwanafunzi Bora Wa Form4.. Akimwambia Mzungu Ugumu Wa Kupanda Mlima Kilimanjaro Sababu Haujanyooka Moja Kwa Moja: SIR,TO PLANT MOUNT KILIMANJARO IS NOT A PRESIDENT JOB BECOZ...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
wanajamvi naomba mnijuze maana ya msemo huu "atangazaye nilimo si mwana wa liwali" nimeusikia leo prof kabudi wa udsm akiusema katika mahafali ya chuo cha usimamizi wa kodi tra-ita
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimesikia redio za hapa nchini (Mfano za Rev. Dk G. Rwakatare na Rev. Mtume Ephata) kutumia neno "Kumwambukiza" mtu uwezo au kipawa cha kufanya miujiza au upako. Je ni kiswahili sanifu?. Neno...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
sentensi ni tungo lakini si kila tungo ni sentensi, jadili
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Imekuwa ni kawaida kusikia watu wazima wakijiita yatima eti kisa ni kufiwa na wazazi..........Ninavyojua mimi msingi wa uyatima unaanza pale ambapo mtoto anapofiwa na mzazi/wazazi wakati akiwa...
0 Reactions
1 Replies
15K Views
Hivi maneno haya kwa kiingereza yanaitwaje?1.Sukari guru 2.Mkungu wa ndizi.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu sio kwamba nimekosea jukwaa ila naona hili linahusika sana humu pia mara nyingi sana kwa sisi watz utakua akiwepo mzungu mmoja au wawili au watatu lugha inabadilishwa tunaongea kiingereza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Enyi wadau wa Kiswahili. Habari zenu? Nawasilisha hapa misemo hii ninayoisikia kwenye radio na tv na kuisoma kwenye magazeti (hata hapa JF) na napata shida kuielewa. Naanza kuzungumzia moja baada...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani neno "live/directo " lina kiswahili chake? Nifahamisheni mwenzenu maana najiuliza luninga zetu hawajui ka mie au halipo bora waandike laivu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesoma mahala kuwa "Nyani haoni kundule" Sio msemo ngeni kwangu ila naomba anaelewa anisaidie wanaposema Kundule wana maana ipi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baraza la Kiswahili la Taifa limezitaka mamlaka zote zinashughulika na kucimamia teknolojia ya habari (Tehama) pamoja na vyombo vya habari (ikiwa ni pamoja na JF) kusitisha matumizi ya maneno...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Wakuu sio kwamba nimekosea jukwaa ila naona hili linahusika sana humu pia na nitairusha pia jukwaa la sheria mara nyingi sana kwa sisi watz utakua akiwepo mzungu mmoja au wawili au watatu lugha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni karine nyingi sana tangu afrika mashariki ilipoanzisha msemo wa lunga ya kiswahili. Na hii ilisababishwa na muungano wa wageni nchini na wenyeji. Tangu wakati huo, lugha hii ilichukuliwa kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
TENDE: Tende hii maalumu yenye utamu Wa shani, Tende hii tafauti nazile zamadukani, Tende hii si adimu imejaa mitaani, wazee hadi vijana wote wanaithamini, kwayule alojaaliwa anaimiliki ndani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama unataka kumuuliza mzazi wako swali lifuatalo: "Baba, mimi ni mtoto wa ngapi kuzaliwa?", Utasemaje kwa Kiingereza? Msaada tafadhali!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hivi ni nani anadai kuwa kiswahili ni RAHISI?Kiswahili ni moja ya lugha ngumu zaidi ninayoifahamu. Kama unabisha na hutaki kukubaliana na Bazazi; Hebu jaza sehemu zilizoachwa wazi kwa kutumia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi neno baka(T) linahusiana kibaka?na kama ndio mtu akibakwa anaweza sema amebakwa na kibaka?na mtu akiporwa kitu na kibaka atakuwa amebakwa na kibaka.?na yule mbakaji kwa nini hatumuiti...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nataman kujua kilugha changu cha kinyakyusa jaman,the bad thing is naskia tu kuitikia sasa kimbembe..sina bibi,babu nor aunties wakunifundisha basi naishia kudakia hicho hicho cha baba na mama...
1 Reactions
1 Replies
6K Views
Wakuu ni muda sasa tokea niache kutunga na kusoma mashairi ila naamini hiki ni kipaji ndani yangu naomba wote wenye uwezo wa kutunga na kuimba mashairi tujitokeze hapa kuweka mashairi yetu ili...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom