Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naombeni msaada kati ya hizi sentensi ipi ipo sahihi. 1. Tuipe mvuto sura. 2. Tuipe sura mvuto.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamii forum naomba tafsiri ya kiswahili sanifu cha neno la kiingereza la pay row. Mn nimeulizwa na staff mate wangu (ni mwingereza tena wa rangi nyeupe) nikapata aibu kutofahamu neno mbadala...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Naomba maoni yenu wanajamvi. Hivi peni na penseli ni maneno fasaha ya (pen) na (pencil)? Kuna neno Kalamu hutumika kumaanisha hivyo vitu viwili. Peni huwa ni kalamu ya wino na penseli ni kalamu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa kiswahili cha neno "JUICE". :high5:
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Hello, JF members. Sorry I am not good in English language,I want to know the difference and uses of these two words "WILL" and "SHALL"
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KUKU WA KIENYEJI NA KUKU WA KIZUNGU – INSHA Na. M. M. Mwanakijiji Kuna kuku wa kienyeji na kuku wa kizungu; na katika watu wanaopenda kula kuku basi wapo wanaopenda ladha ya kuku...
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Kwa wale mlioangalia kipindi cha NIRVANA EATV, yaani huyu demu hata kama mawazo yake ni kuongea kiingereza ndo aonekane bab' kubwa, nadhani ingekua safi kama angepiga msasa kizungu chake kabla ya...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Katika kusoma magazeti ya kiswahili nimeona waandishi wengi wanapozungumzia vita sentensi huwa mfano:"Vita ya pili ya dunia" badala ya "Vita vya pili vya dunia" sasa wanaForum hebu tufahamishane...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
waungwana tafadhali naomba nijue majina ya vifaa hivi kwa kiswahili 1. projector 2. solar panel 3. TV tuner 4. Allen key 5. UPS 6.sound card
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naomba tafsri maana hawa ndo watendaji wakuu wa serikali yaelekea wazungu walitoa macho kwakutojua wajibu nini!!:dizzy:
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kila nikisikia hii habari huwa natafakari ni kwanini iliitwa hivo na sipati jibu. Sio uhusiano wowote na wala hata ukizingatia jina la kweli la mahala ambapo panafanyiwa uchafu huo haufananii na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna misemo mingi ya kiswahili ambayo tumeipokea kutoka kwa mababu na viongozi wetu wa kitaifa. Misemo mingine imekuwa inatafsiriwa au imekuwa ikileta maana tata. Tujaribu kuitazama kiundani...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jamani wadau wa elimu, tunashangazwa na hawa jamaa wa TATAKI UDSM eti wanatunga vitabu vya sekondari kwa kiswahili kama njia ya kukuza kiswahili wakati mitaala ya kufundishia kwanza hakuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani, inasikitisha kuona kwamba bado tunaendelea kupotosha jina halisi na lugha fasaha ya kiswahil kwa hiki chombo kinachoitwa Decoder kwa kiingereza. Decoder kwa kiswahili fasaha ni KISIMBUZI...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Heshima kwenu wakuu! Nauliza, hivi kwanini raia wa nchi jirani ya Rwanda wanajulikana kama Wanyarwanda na si Warwanda? Ebu angalia majina ya raia wa nchi zifuatazo wanavyotambulika kutokana na...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Watu wengi hasa watangazaji wa redio na TV wamezoea kuitaja timu ya YANGA kama Young Africa badala ya Young Africans. Ijulikane kuwa Africa ni bara na Africans ni waafrika. Wanapoitaja timu ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
tofauti ya tundu.shimo na tobo
0 Reactions
2 Replies
3K Views
hivi TBC wakisema "habari mpasuko" huwa wana maanisha nini.
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Malonyalonya Nguo za mtumba ambazo huuzwa katika furushi la jumla na kwa bei moja bila kujali ukubwa au aina ya nguo. Nguo hizi mara nyingi huhitaji marekebisho ya vipimo ili yaendane n aumbo la...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hola, tu hablas español??
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom