Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Malonyalonya Nguo za mtumba ambazo huuzwa katika furushi la jumla na kwa bei moja bila kujali ukubwa au aina ya nguo. Nguo hizi mara nyingi huhitaji marekebisho ya vipimo ili yaendane n aumbo la...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hola, tu hablas español??
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hivi maji yanatibiwa? Naomba wana-jamvi tuelimishane.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu, kuna misa ya Mwaka Mpya inaendelea sasa hivi Rome na kuonyeshwa live na kituo kimoja cha televisheni kiitwacho EWTN. Misa inaendeshwa kwa lugha ya Kilatini lakini nimefurahi sana kumuona...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Akichangia hoja ya Waziri wa Elimu , hivi majuzi Mhe. Tundu Lissu, namnukuu ; "Huu muswaada aliouleta waziri hauna mantiki wala tija yeyote ktk Elimu ya Tanzania. Hii ni sawa serikali iliopo...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Jaman naomba msaada wa tofauti kati ya maonesho na maonyesho
0 Reactions
3 Replies
3K Views
1.Gari la kuvutwa hali overtake. 2.Hata uwe na bahati vipi hauwezi kuokota nyumba. 3.Mganga wa jadi haagizi tembele. 4.Wimbo wa taifa haupigwi disco. 5.Kandambili haipigwi kiwi 6.Usiteme Big G kwa...
5 Reactions
59 Replies
6K Views
"kibalakala" nimetafuta kwenye kamusi zote nimekosa,mwenye msaada tafadhali.
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Amweye mwawagima?nie nouza wang'wele wayangu mudijamv wabaho?kama wabaho niwaone mana ukolo mdodo sana uno.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kujua, mtu mwenye vidole sita huitwaje?
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Bahati haina kwao popote inathibiti ili niwe na upeo nasubiri siipati moyo nimesema nao isipokuja sijuti, sihusudu wapatao ingawa mimi sipati sihusudu wenye vyao siihimizi bahati toka kale hadi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wana jf,tunabishania kuchinja tu.baada ya kupewa maelezo na mzee wangu mmoja nikaenda kwenye kamusi nikakuta maana ya kibudu.1.mnyama alikufa bila kuchinjwa,mzoga,nyamafu anayeliwa.2.kufa bila...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimesikia mara nyingi Spika au Mwenyekiti wa vikao vya Bunge akimwambia Mbunge: Kaa chini! Maneno haya yanasemwa kwa ukali kidogo kuonyesha uzito wa mamlaka alio nao spika au mwenyekiti...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba mnitajie neno na kiswahili linaloishia na FO lisiwe kifo wala fofofo...?
1 Reactions
19 Replies
10K Views
Wakuu nahitaji kufahamu lugha ya kilingala
1 Reactions
15 Replies
8K Views
Keki kavu hupendeza sio yenye maji ndani, Utaila unacheza ngoma haionekani, Kama utajilegeza utaomba hadharani, Haikwami ukimeza mambo hua burudani, Kwa kweli yanishangaza utamu hadi ndotoni...
0 Reactions
3 Replies
883 Views
SULE badala ya SALEHE SHAKAZULU badala ya MASHAKA OMMYGUY badala ya OMARI DULA badala ya abdallah SIDEBOY badala ya SAIDI MUDYGUY badala ya MOHAMMED
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hii nyimbo itachangia mno kuharibu kiswahili..... sio kiswahili fasaha kusema hakunaga.....
1 Reactions
68 Replies
9K Views
laptop au personal computer ni lugha ya kiingereza, Kwa m2 anayefahamu naomba aniambie LAPTOP inaitwaje kwa KISWAHILI plz
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wanajamvi!! Nimekua nikifatilia sana maswala yahusuyo lugha yetu adhimu ya Kiswahili na mara nyingi huwa najaribu kutafuta majibu kwanza mwenyewe kwa Misamiati mingi ya lugha, unakuta...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom